Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mnyama achinja

Mchezaji wa Simba SC, Ali Badru (kushoto) akimtoka mchezaji wa Rhino Rangers, Laban Kambole siku ya jana Taifa. Na Sweetbert Lukonge
MBIO za ubingwa wa Ligi Kuu Bara ziliendelea jana kwenye Uwanja wa Taifa ambapo Simba ilifanikiwa kuibuka na ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Rhino Rangers. Simba ambayo ilionyesha soka zuri na kutawala…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Kijana achinja familia na kuwala

Mwanaume mmoja raia wa Hong Kong amehukumiwa kifungo cha maisha jela kwa mauaji,kuwanyunyizia chumvi na kuwapika nduguze.

 

10 years ago

Habarileo

Achinja mkewe watoto wakishuhudia

POLISI mkoani Katavi wanamsaka mkazi wa kijiji cha Urwila wilayani Mlele, Mohamedi Katyukuru (49) kwa kumuua mkewe kwa kumchinja.

 

10 years ago

Habarileo

Achinja mkewe, naye ajiua

MWANAMUME mwenye umri wa miaka 30 amejinyonga kwa kamba ya katani hadi kufa baada ya kumuua mkewe kwa kumchinja shingo kwa kisu kutokana na kile alichodai kuwa ni kudharauliwa na mkewe.

 

10 years ago

Habarileo

Achinja mpwawe, auawa na kuchomwa moto

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mbeya, Ahmed MsangiKATIKA hali isiyokuwa ya kawaida, wakazi wa Mtaa za Nsalaga jijini hapa, jana asubuhi walishuhudia matukio ya mauaji ya watu wawili ndugu, moja likiwa ni mtu aliyemchinja na kumtenganisha kichwa na kiwiliwili mtoto wa dada yake, kabla naye kuuawa kwa kupigwa mawe na kisha mwili wake kuchomwa moto.

 

11 years ago

Habarileo

Achinja mke kwa kunyimwa unyumba

MTU mmoja mkazi wa wilayani Nzega mkoani Tabora, Juma Kiyabo (45) amempiga kisha kumchinja shingo mkewe, Wande Monera (34) na yeye kujaribu kujiua kwa kujikata koromeo lake.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Achinja mpenzi wake kisha ajiua

MKAZI wa Kijiji cha Migori mkoani Iringa, Alex Sihayo (38) amemchinja kwa kumkata koromeo na kumua mwanamke anayedaiwa kuwa ni mpenzi wake kisha kujiua kwa kunywa sumu. Kamanda wa Polisi...

 

11 years ago

GPL

MNYAMA AUAWA TAIFA

Mshambuliaji wa Simba Sc, Ramadhani Singano 'Messi' akikwaana na beki wa Coastal Union wakati wa mechi ya leo. Mashabiki wa Simba SC wakiwa wamepoa.…

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mnyama hatari sana

SWALI la Nani Mtani Jembe baina ya vigogo wa soka Simba na Yanga lililodumu kwa siku 75, jana lilipata jibu baada ya Simba kuibuka na ushindi wa mabao 3-1 katika...

 

11 years ago

GPL

MNYAMA HOI KWA MGAMBO!

Wachezaji wa Mgambo Shooting wakifurahia ushindi wao wa bao 1-0 dhidi ya Simba. Patashika wakati wa mtanange huo kati ya Simba na Mgambo…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani