Mnyama achinja
![](http://api.ning.com:80/files/eiC0hTlxr2Lssa34Lggy0jNaddyjkfn7OjwV-38W3hfQFHvl2tXxFAkcvt50c8neW6VLErYbNqIk1KRnNnNhwkfp7eIOtyyT/1.jpg?width=650)
Mchezaji wa Simba SC, Ali Badru (kushoto) akimtoka mchezaji wa Rhino Rangers, Laban Kambole siku ya jana Taifa. Na Sweetbert Lukonge MBIO za ubingwa wa Ligi Kuu Bara ziliendelea jana kwenye Uwanja wa Taifa ambapo Simba ilifanikiwa kuibuka na ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Rhino Rangers. Simba ambayo ilionyesha soka zuri na kutawala…
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili01 Apr
Kijana achinja familia na kuwala
10 years ago
Habarileo24 Sep
Achinja mkewe watoto wakishuhudia
POLISI mkoani Katavi wanamsaka mkazi wa kijiji cha Urwila wilayani Mlele, Mohamedi Katyukuru (49) kwa kumuua mkewe kwa kumchinja.
10 years ago
Habarileo24 Oct
Achinja mkewe, naye ajiua
MWANAMUME mwenye umri wa miaka 30 amejinyonga kwa kamba ya katani hadi kufa baada ya kumuua mkewe kwa kumchinja shingo kwa kisu kutokana na kile alichodai kuwa ni kudharauliwa na mkewe.
10 years ago
Habarileo17 Mar
Achinja mpwawe, auawa na kuchomwa moto
KATIKA hali isiyokuwa ya kawaida, wakazi wa Mtaa za Nsalaga jijini hapa, jana asubuhi walishuhudia matukio ya mauaji ya watu wawili ndugu, moja likiwa ni mtu aliyemchinja na kumtenganisha kichwa na kiwiliwili mtoto wa dada yake, kabla naye kuuawa kwa kupigwa mawe na kisha mwili wake kuchomwa moto.
11 years ago
Habarileo18 Feb
Achinja mke kwa kunyimwa unyumba
MTU mmoja mkazi wa wilayani Nzega mkoani Tabora, Juma Kiyabo (45) amempiga kisha kumchinja shingo mkewe, Wande Monera (34) na yeye kujaribu kujiua kwa kujikata koromeo lake.
11 years ago
Tanzania Daima31 Dec
Achinja mpenzi wake kisha ajiua
MKAZI wa Kijiji cha Migori mkoani Iringa, Alex Sihayo (38) amemchinja kwa kumkata koromeo na kumua mwanamke anayedaiwa kuwa ni mpenzi wake kisha kujiua kwa kunywa sumu. Kamanda wa Polisi...
11 years ago
GPLMNYAMA AUAWA TAIFA
11 years ago
Tanzania Daima22 Dec
Mnyama hatari sana
SWALI la Nani Mtani Jembe baina ya vigogo wa soka Simba na Yanga lililodumu kwa siku 75, jana lilipata jibu baada ya Simba kuibuka na ushindi wa mabao 3-1 katika...
11 years ago
GPLMNYAMA HOI KWA MGAMBO!