Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MNYAMA AUAWA TAIFA

Mshambuliaji wa Simba Sc, Ramadhani Singano 'Messi' akikwaana na beki wa Coastal Union wakati wa mechi ya leo. Mashabiki wa Simba SC wakiwa wamepoa.…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

‘Mnyama unyamani’ Taifa leo

Simba inajitupa uwanjani leo kuikabili JKT Oljoro katika pambano la Ligi Kuu litakalopigwa kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.

 

10 years ago

GPL

MNYAMA AISAMBARATISHA RUVU SHOOTING TAIFA

Wachezaji wa Simba SC wakishangilia lao la kwanza lililofungwa na Ibrahim Ajibu kwa mkwaju wa penalti. Mshambuliaji wa Simba SC, Emmanuel Okwi (25) akiipangua ngome ya Ruvu Shooting. Kocha Mkuu wa Simba SC, Goran Kopunovic akishangilia ushindi na wachezaji wake. WEKUNDU wa Msimbazi 'Mnyama' au Simba SC leo…

 

11 years ago

GPL

MNYAMA HOI TAIFA, AZAM YAAMBULIA SARE CHAMAZI

WEKUNDU wa Msimbazi, Simba SC 'Mnyama' leo wamepokea kichapo cha bao 3-2 kutoka kwa JKT Ruvu katika mechi ya Ligi Kuu Bara iliyopigwa Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam. Nao Azam FC waliokuwa wenyeji wa Tanzania Prisons wamelazimishwa sare ya bao 2-2 katika Uwanja wa Chamazi Complex jijini Dar.

 

9 years ago

BBCSwahili

Mchezaji wa timu ya taifa Honduras auawa kwa risasi

Mchezaji wa timu ya taifa Honduras Arnold Peralta amepigwa risasi akiwa likizoni mji wake wa kuzaliwa wa La Ceiba.

 

11 years ago

GPL

Mnyama achinja

Mchezaji wa Simba SC, Ali Badru (kushoto) akimtoka mchezaji wa Rhino Rangers, Laban Kambole siku ya jana Taifa. Na Sweetbert Lukonge
MBIO za ubingwa wa Ligi Kuu Bara ziliendelea jana kwenye Uwanja wa Taifa ambapo Simba ilifanikiwa kuibuka na ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Rhino Rangers. Simba ambayo ilionyesha soka zuri na kutawala…

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mnyama hatari sana

SWALI la Nani Mtani Jembe baina ya vigogo wa soka Simba na Yanga lililodumu kwa siku 75, jana lilipata jibu baada ya Simba kuibuka na ushindi wa mabao 3-1 katika...

 

11 years ago

GPL

MNYAMA HOI KWA MGAMBO!

Wachezaji wa Mgambo Shooting wakifurahia ushindi wao wa bao 1-0 dhidi ya Simba. Patashika wakati wa mtanange huo kati ya Simba na Mgambo…

 

10 years ago

Mwananchi

Mbeya City yatafuna mnyama

Mabingwa wa zamani wa Tanzania Bara, Simba jana walishindwa kutamba nyumbani baada ya kukubali kipigo cha mabao 2-1 mbele ya Mbeya City jana, mchezo uliofanyika kwenye Uwanja wa Taifa.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani