MNYAMA AISAMBARATISHA RUVU SHOOTING TAIFA
Wachezaji wa Simba SC wakishangilia lao la kwanza lililofungwa na Ibrahim Ajibu kwa mkwaju wa penalti. Mshambuliaji wa Simba SC, Emmanuel Okwi (25) akiipangua ngome ya Ruvu Shooting. Kocha Mkuu wa Simba SC, Goran Kopunovic akishangilia ushindi na wachezaji wake. WEKUNDU wa Msimbazi 'Mnyama' au Simba SC leo…
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPLYANGA YAICHAPA RUVU SHOOTING 5-0 UWANJA WA TAIFA, DAR
10 years ago
MichuziSIMBA YAONA MWEZI TAIFA LEO, YAIFUNGA RUVU SHOOTING 1-0
BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI
11 years ago
MichuziYANGA YAINYOA RUVU SHOOTING BAO 7-0 UWANJA WA TAIFA JIJINI DAR LEO
11 years ago
GPLYANGA VS RUVU SHOOTING LINE UP
11 years ago
Mwananchi21 Feb
Yanga, Ruvu Shooting watambiana
11 years ago
Tanzania Daima24 Feb
7-0 zawakalisha chini Ruvu Shooting
BAADA ya kupigwa kipigo cha mbwa mwizi cha mabao 7-0 na Yanga kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam juzi, uongozi wa Ruvu Shooting unatarajiwa kuketi kutafakari na kusaka...
11 years ago
GPLSIMBA YAWAKALISHA MAAFANDE WA RUVU SHOOTING
9 years ago
Mtanzania04 Sep
Azam kuvaana na Ruvu Shooting leo
NA MWALI IBRAHIM, DAR ES SALAAM
MABINGWA wa Kombe la Kagame, Azam FC, leo wanatarajia kufunga ratiba zao za mechi za kirafiki kwa kujipima tena na wanajeshi timu ya Ruvu Shooting, mchezo utakaochezwa Uwanja wa Chamazi, Dar es Salaam.
Hivi karibuni Azam ilipokea kichapo cha mabao 2-1 dhidi ya JKT Ruvu na kuvurugiwa rekodi ya kutokufungwa bao hata moja ndani ya dakika 90 katika michuani ya Kagame.
Akizungumza na MTANZANIA jana, Ofisa Habari wa klabu hiyo, Jaffari Idd, alisema mchezo huo...