‘Mnyama unyamani’ Taifa leo
Simba inajitupa uwanjani leo kuikabili JKT Oljoro katika pambano la Ligi Kuu litakalopigwa kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPLMNYAMA AUAWA TAIFA
Mshambuliaji wa Simba Sc, Ramadhani Singano 'Messi' akikwaana na beki wa Coastal Union wakati wa mechi ya leo. Mashabiki wa Simba SC wakiwa wamepoa.…
10 years ago
GPLMNYAMA AISAMBARATISHA RUVU SHOOTING TAIFA
Wachezaji wa Simba SC wakishangilia lao la kwanza lililofungwa na Ibrahim Ajibu kwa mkwaju wa penalti. Mshambuliaji wa Simba SC, Emmanuel Okwi (25) akiipangua ngome ya Ruvu Shooting. Kocha Mkuu wa Simba SC, Goran Kopunovic akishangilia ushindi na wachezaji wake. WEKUNDU wa Msimbazi 'Mnyama' au Simba SC leo…
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/VMB94olbxS3VX4CHlPtGb7IZG1UyZYKm1UA8rEv4loCDJNMM54E62hRnUzWcYvlPo7iY9xPWjV-Ch3HNV2beu-jYiWeVN8QP/SIMBA.jpg?width=650)
MNYAMA HOI TAIFA, AZAM YAAMBULIA SARE CHAMAZI
WEKUNDU wa Msimbazi, Simba SC 'Mnyama' leo wamepokea kichapo cha bao 3-2 kutoka kwa JKT Ruvu katika mechi ya Ligi Kuu Bara iliyopigwa Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam. Nao Azam FC waliokuwa wenyeji wa Tanzania Prisons wamelazimishwa sare ya bao 2-2 katika Uwanja wa Chamazi Complex jijini Dar.
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-YFSAOLE0D-A/VDqqTUqZhqI/AAAAAAAGpl0/SWlOON-qJBI/s72-c/MMGM1084.jpg)
Taifa Stars yatakata Uwanja wa Taifa leo,Yaitungua Bao 4-1 Benin
![](http://4.bp.blogspot.com/-YFSAOLE0D-A/VDqqTUqZhqI/AAAAAAAGpl0/SWlOON-qJBI/s1600/MMGM1084.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-NlUWrOLm_MY/VDqqSciQUQI/AAAAAAAGplo/WDumNWIiiQQ/s1600/MMGM1095.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-rw1cH6fb7bA/VDqqSY43IwI/AAAAAAAGpls/oJNT5cTcrZ0/s1600/MMGM1119.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-JgZ7IQqwkHA/VDqqUA2wFKI/AAAAAAAGpl8/O9cNCzaZok4/s1600/MMGM1140.jpg)
5 years ago
CCM BlogTAARIFA YA HALI YA UCHUMI WA TAIFA KWA MWAKA 2019 NA MPANGO WA MAENDELEO WA TAIFA WA MWAKA 2020/21 WAWASILISHWA BUNGENI, LEO
UTANGULIZI
1. Mheshimiwa Spika, naomba kutoa hoja kwamba Bunge lako Tukufu lipokee na kujadili Taarifa ya Hali ya Uchumi wa Taifa kwa Mwaka 2019 na Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa Mwaka 2020/21. Pamoja na hotuba hii ninawasilisha vitabu vya Taarifa ya Hali ya Uchumi wa Taifa kwa...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/BY6VWIVrp20ZEJ5EvqildWtSCivD11EdnSmHH0k5L2R35VcgoVN6ywuqhEmhhUYbd8D6pKvoWJMUHhLH-wC*Eqs*PcDoURh4/matumaini.jpg)
TAMASHA LA MATUMAINI 2014 LEO NDIYO LEO TAIFA
Ile siku iliyokuwa inasubiriwa kwa hamu kubwa, hatimaye imewadia ambapo leo (Agosti 8, 2014) tamasha kubwa la Usiku wa Matumaini litatingisha kinomanoma ndani ya Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam, burudani ya nguvu ikitarajiwa kuongozwa na mkali wa songi la Johnny, Yemi Alade kutoka nchini Nigeria. Ali Kiba. ALLY KIBA
“Kwa mara ya kwanza, nitapanda jukwaa la Uwanja wa Taifa kuweka historia mpya. Nitagonga kali kama...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/eiC0hTlxr2Lssa34Lggy0jNaddyjkfn7OjwV-38W3hfQFHvl2tXxFAkcvt50c8neW6VLErYbNqIk1KRnNnNhwkfp7eIOtyyT/1.jpg?width=650)
Mnyama achinja
Mchezaji wa Simba SC, Ali Badru (kushoto) akimtoka mchezaji wa Rhino Rangers, Laban Kambole siku ya jana Taifa. Na Sweetbert Lukonge
MBIO za ubingwa wa Ligi Kuu Bara ziliendelea jana kwenye Uwanja wa Taifa ambapo Simba ilifanikiwa kuibuka na ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Rhino Rangers. Simba ambayo ilionyesha soka zuri na kutawala…
11 years ago
Tanzania Daima22 Dec
Mnyama hatari sana
SWALI la Nani Mtani Jembe baina ya vigogo wa soka Simba na Yanga lililodumu kwa siku 75, jana lilipata jibu baada ya Simba kuibuka na ushindi wa mabao 3-1 katika...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania