Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Libya yaharibu silaha zake za sumu

Libya yakamilisha uharibifu wa silaha za kemikali ya sumu katika mpango ulioanza miaka tisa iliyopita.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Libya yaitaka UN kuiruhusu Kununua silaha

Libya imetoa wito kwa Umoja wa Mataifa kuondoao vikwazo vya kununua silaha iliiweze kupambana na ISIS

 

10 years ago

BBCSwahili

Nigeria yapanga kuunda silaha zake

Rais wa Nigeria Muhammadu Buhari ameiamuru wizara ya ulinzi kujenga uwezo wa taifa hilo kujitengenezea silaha zake

 

10 years ago

Mwananchi

Simba kuanika silaha zake leo

Kocha wa Simba, Dylan Kerr ataitumia siku ya klabu hiyo kuonyesha wapinzani wake matokeo ya mazoezi ya Lushoto na Zanzibar, ingawa kikubwa zaidi ni kuonyesha wachezaji ambao klabu hiyo itawatumia msimu ujao.

 

10 years ago

Mwananchi

Watu wenye silaha wavamia kituo cha polisi Dar, waua, waiba silaha

>Watu wenye silaha wamevamia kituo cha polisi cha Staki Shari jijini Dar es Salaam ambapo katika tukio hilo, watu saba wameripotiwa kuuawa, huku silaha zilizokuwepo katika kituo hicho zikiibwa.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Teknolojia yaharibu wanafunzi

MABADILIKO ya sayansi na teknolojia katika nyanja ya mawasiliano nchini yametajwa kuwa miongoni mwa sababu zinazochangia kwa kiasi kikubwa kuharibu uelewa wa wanafunzi katika kuandika barua mbalimbali zikiwemo za kuombea...

 

11 years ago

Mwananchi

Mvua yaharibu barabara Tanga

Mvua kubwa inayoendelea kunyesha nchini imesababisha kusombwa daraja, kuharibu barabara na kuzolewa nyumba katika Wilaya tatu za Mkoa wa Tanga.

 

9 years ago

Mwananchi

Mvua yaharibu makazi ya familia 14

Familia 14 zenye watu 74 za kijiji cha Ngumbu, wilaya ya Liwale, mkoani Lindi hazina makazi kutokana na mvua iliyoambatana na upepo mkali ambayo pia imeezua madarasa  matatu na stoo ya shule ya kijiji hicho.

 

11 years ago

GPL

MVUA YAHARIBU MIUNDOMBINU YA WAMACHINGA

Mvua zinazoendelea kunyesha jijini Dar es Salaam zimeonekana kuvuruga dili za wafanyabiashara ndogondogo 'wamachinga' wanaopanga bidhaa zao kando ya barabara kufuatia maeneo wanayotumia kupanga bidhaa zao kujaa maji. Pichani ni maeneo ya barabara ya Msimbazi jijini Dar yalivyonaswa na kamera yetu leo mchana. (PICHA:  RICHARD BUKOS  / GPL)

 

11 years ago

Mwananchi

Mvua yaharibu miundombinu reli

Wakati timu ya wahandisi ikiendelea kufanya tathimni na marekebisho ya awali ya kipande cha reli reli kilichoharibika eneo la Godegode kutokana na mvua kubwa zilizoanza kunyesha mwanzoni mwa Januari mkoani Dodoma, hali imekuwa mbaya zaidi baada ya kipande kingine kuharibika upya.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani