Libya yaharibu silaha zake za sumu
Libya yakamilisha uharibifu wa silaha za kemikali ya sumu katika mpango ulioanza miaka tisa iliyopita.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili19 Feb
Libya yaitaka UN kuiruhusu Kununua silaha
Libya imetoa wito kwa Umoja wa Mataifa kuondoao vikwazo vya kununua silaha iliiweze kupambana na ISIS
10 years ago
BBCSwahili07 Aug
Nigeria yapanga kuunda silaha zake
Rais wa Nigeria Muhammadu Buhari ameiamuru wizara ya ulinzi kujenga uwezo wa taifa hilo kujitengenezea silaha zake
10 years ago
Mwananchi08 Aug
Simba kuanika silaha zake leo
Kocha wa Simba, Dylan Kerr ataitumia siku ya klabu hiyo kuonyesha wapinzani wake matokeo ya mazoezi ya Lushoto na Zanzibar, ingawa kikubwa zaidi ni kuonyesha wachezaji ambao klabu hiyo itawatumia msimu ujao.
10 years ago
Mwananchi13 Jul
Watu wenye silaha wavamia kituo cha polisi Dar, waua, waiba silaha
>Watu wenye silaha wamevamia kituo cha polisi cha Staki Shari jijini Dar es Salaam ambapo katika tukio hilo, watu saba wameripotiwa kuuawa, huku silaha zilizokuwepo katika kituo hicho zikiibwa.
10 years ago
Tanzania Daima27 Sep
Teknolojia yaharibu wanafunzi
MABADILIKO ya sayansi na teknolojia katika nyanja ya mawasiliano nchini yametajwa kuwa miongoni mwa sababu zinazochangia kwa kiasi kikubwa kuharibu uelewa wa wanafunzi katika kuandika barua mbalimbali zikiwemo za kuombea...
11 years ago
Mwananchi13 Apr
Mvua yaharibu barabara Tanga
Mvua kubwa inayoendelea kunyesha nchini imesababisha kusombwa daraja, kuharibu barabara na kuzolewa nyumba katika Wilaya tatu za Mkoa wa Tanga.
9 years ago
Mwananchi01 Dec
Mvua yaharibu makazi ya familia 14
Familia 14 zenye watu 74 za kijiji cha Ngumbu, wilaya ya Liwale, mkoani Lindi hazina makazi kutokana na mvua iliyoambatana na upepo mkali ambayo pia imeezua madarasa matatu na stoo ya shule ya kijiji hicho.
11 years ago
GPLMVUA YAHARIBU MIUNDOMBINU YA WAMACHINGA
Mvua zinazoendelea kunyesha jijini Dar es Salaam zimeonekana kuvuruga dili za wafanyabiashara ndogondogo 'wamachinga' wanaopanga bidhaa zao kando ya barabara kufuatia maeneo wanayotumia kupanga bidhaa zao kujaa maji. Pichani ni maeneo ya barabara ya Msimbazi jijini Dar yalivyonaswa na kamera yetu leo mchana.
(PICHA:Â RICHARD BUKOSÂ / GPL)
11 years ago
Mwananchi25 Jan
Mvua yaharibu miundombinu reli
Wakati timu ya wahandisi ikiendelea kufanya tathimni na marekebisho ya awali ya kipande cha reli reli kilichoharibika eneo la Godegode kutokana na mvua kubwa zilizoanza kunyesha mwanzoni mwa Januari mkoani Dodoma, hali imekuwa mbaya zaidi baada ya kipande kingine kuharibika upya.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania