Libya yaitaka UN kuiruhusu Kununua silaha
Libya imetoa wito kwa Umoja wa Mataifa kuondoao vikwazo vya kununua silaha iliiweze kupambana na ISIS
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili05 Feb
Libya yaharibu silaha zake za sumu
10 years ago
Mwananchi13 Jul
Watu wenye silaha wavamia kituo cha polisi Dar, waua, waiba silaha
11 years ago
Michuzi21 Jul
TFF yaitaka Airtel kudhamini U-20
9 years ago
Mtanzania04 Sep
SuperSport yaitaka Ligi Kuu Bara
NA SELEMAN SHINENI, MAURITIUS
KAMPUNI ya MultiChoice Africa kupitia channel zake za SuperSport, inatarajia kuonyesha michuano ya Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara (VPL), baada ya mkataba wa Azam kuonyesha ligi hiyo kufika tamati.
Azam waliingia mkataba wa kuonyesha ligi hiyo mwaka 2014, ambapo mkataba huo unatarajiwa kumalizika katika msimu wa 2017.
Akizungumza na MTANZANIA jana, wakati wa tamasha la 2015 Content Showcase Extravaganza, Mkurugenzi wa SuperSport Kusini mwa Afrika, Graeme...
10 years ago
Uhuru Newspaper26 Mar
CCM yaitaka serikali kuacha urasimu
SERIKALI imeshauriwa kupunguza urasimu wa ufanyaji biashara katika maeneo ya mipakani, ili wananchi wengi watumie fursa hiyo katika kujiongezea kipato.
Kauli hiyo ilitolewa juzi na Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana, alipokuwa akizungumza na wakazi wa Himo.
Alisema Tanzania ni nchi pekee ambayo mikoa yake zaidi ya 14 imekuwa ikipakana na nchi za jirani.
Kinana alisema iwapo wananchi wa mikoa hiyo wakitumia fursa hiyo ya kupakana na nchi jirani kufanya biashara, kutawasaidia katika...
10 years ago
BBCSwahili14 Jun
ICC yaitaka A. Kusini kumkamata Bashir
10 years ago
BBCSwahili21 Dec
USA yaitaka K.Kazkazini kuilipa Sony
9 years ago
BBCSwahili04 Jan
Iran yaitaka Nigeria kumwachilia kiongozi wa Kishia
10 years ago
Habarileo05 Apr
CWT yaitaka serikali ilipe madeni ya walimu
CHAMA cha Walimu Tanzania (CWT) kimeitaka Serikali kutekeleza ahadi ya kulipa madeni ya fedha za walimu ambayo yamewasilishwa serikalini ili kuepusha kutokea msuguano katika kipindi cha kuelekea uchaguzi mkuu Oktoba mwaka huu.