Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Libya yaitaka UN kuiruhusu Kununua silaha

Libya imetoa wito kwa Umoja wa Mataifa kuondoao vikwazo vya kununua silaha iliiweze kupambana na ISIS

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Libya yaharibu silaha zake za sumu

Libya yakamilisha uharibifu wa silaha za kemikali ya sumu katika mpango ulioanza miaka tisa iliyopita.

 

10 years ago

Mwananchi

Watu wenye silaha wavamia kituo cha polisi Dar, waua, waiba silaha

>Watu wenye silaha wamevamia kituo cha polisi cha Staki Shari jijini Dar es Salaam ambapo katika tukio hilo, watu saba wameripotiwa kuuawa, huku silaha zilizokuwepo katika kituo hicho zikiibwa.

 

11 years ago

Michuzi

TFF yaitaka Airtel kudhamini U-20

Meneja Masoko wa Airtel Tanzania Rebeca Mauma akizungumza wakati wa semina elekezi ya Airtel Rising Stars iliyofanyika kwenye uwanja wa Taifa, Dar es Salaam mwishoni mwa wiki.Baadhi ya washiriki wa semina elekezi ya Airtel Rising Stars wakifutilia kwa makini moja ya mada zilizowasilishwa kwenye semina hiyo iliyofanyika uwanja wa Taifa, Dar es Salaam mwishoni mwa wiki.Katibu mkuu wa TFF Selestine Mwesigwa akisisitiza jambo wakati wa semina elekezi ya Airtel Rising Stars iliyofanyika uwanja wa...

 

9 years ago

Mtanzania

SuperSport yaitaka Ligi Kuu Bara

NA SELEMAN SHINENI, MAURITIUS

KAMPUNI ya MultiChoice Africa kupitia channel zake za SuperSport, inatarajia kuonyesha michuano ya Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara (VPL), baada ya mkataba wa Azam kuonyesha ligi hiyo kufika tamati.

Azam waliingia mkataba wa kuonyesha ligi hiyo mwaka 2014, ambapo mkataba huo unatarajiwa kumalizika katika msimu wa 2017.

Akizungumza na MTANZANIA jana, wakati wa tamasha la 2015 Content Showcase Extravaganza, Mkurugenzi wa SuperSport Kusini mwa Afrika, Graeme...

 

10 years ago

Uhuru Newspaper

CCM yaitaka serikali kuacha urasimu


SERIKALI imeshauriwa kupunguza urasimu wa ufanyaji biashara katika maeneo ya mipakani, ili wananchi wengi  watumie fursa hiyo katika kujiongezea kipato.
Kauli hiyo ilitolewa juzi na Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana, alipokuwa akizungumza na wakazi wa Himo.
Alisema Tanzania ni nchi pekee ambayo mikoa yake zaidi ya 14 imekuwa ikipakana na nchi za jirani.
Kinana alisema  iwapo wananchi wa mikoa hiyo wakitumia fursa hiyo ya kupakana na nchi jirani kufanya biashara, kutawasaidia katika...

 

10 years ago

BBCSwahili

ICC yaitaka A. Kusini kumkamata Bashir

Mahakama ya kimataifa ya uhalifu wa kivita ICC imeitaka Afrika Kusini kumkamata rais wa Sudan Omar Al-Bashir

 

10 years ago

BBCSwahili

USA yaitaka K.Kazkazini kuilipa Sony

Marekani imezitaka China na nchi zingine kuthibitisha Korea Kaskazini ilihusika na uhalifu wa mtandao dhidi ya Sony Pictures.

 

9 years ago

BBCSwahili

Iran yaitaka Nigeria kumwachilia kiongozi wa Kishia

Iran imeitaka Nigeria kumwachilia huru kiongozi wa Kishia Sheikh Ibrahim al Zakzaky aliyekamatwa baada ya vurugu kutokea kati ya wafuasi wa kundi lake na wanajeshi mwezi uliopita.

 

10 years ago

Habarileo

CWT yaitaka serikali ilipe madeni ya walimu

CHAMA cha Walimu Tanzania (CWT) kimeitaka Serikali kutekeleza ahadi ya kulipa madeni ya fedha za walimu ambayo yamewasilishwa serikalini ili kuepusha kutokea msuguano katika kipindi cha kuelekea uchaguzi mkuu Oktoba mwaka huu.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani