TFF yaitaka Airtel kudhamini U-20
Meneja Masoko wa Airtel Tanzania Rebeca Mauma akizungumza wakati wa semina elekezi ya Airtel Rising Stars iliyofanyika kwenye uwanja wa Taifa, Dar es Salaam mwishoni mwa wiki.
Baadhi ya washiriki wa semina elekezi ya Airtel Rising Stars wakifutilia kwa makini moja ya mada zilizowasilishwa kwenye semina hiyo iliyofanyika uwanja wa Taifa, Dar es Salaam mwishoni mwa wiki.
Katibu mkuu wa TFF Selestine Mwesigwa akisisitiza jambo wakati wa semina elekezi ya Airtel Rising Stars iliyofanyika uwanja wa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziTFF yaweka msisitizo Airtel Rising Stars
![](http://3.bp.blogspot.com/-X_hbK4d9TXo/VZzpnFRzp3I/AAAAAAAHnr4/klyMQCkvrOA/s640/Picture%2B2.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-bBzRTpprnzI/VgBJfaADfNI/AAAAAAAH6rg/pAUuFdBrS7A/s72-c/arsfinal.png)
RAIS WA TFF JAMAL MALINZI LEO AFUNGA FAINALI ZA MICHUANO YA KOMBE LA AIRTEL RISING STARS
![](http://4.bp.blogspot.com/-bBzRTpprnzI/VgBJfaADfNI/AAAAAAAH6rg/pAUuFdBrS7A/s640/arsfinal.png)
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-azZA5E--RyE/VlYkIeDiOwI/AAAAAAAIIaM/bove7Pc73jY/s72-c/40c8b8d5-8024-4fe4-8b75-13e973062579.jpg)
Airtel yazindua 'Airtel Care' programu kwa wateja * huduma ya kwanza na kipekee kutolewa na kampuni ya mawasiliano ya simu nchini, inawawezesha wateja kupata huduma zote za Airtel kwa urahisi
10 years ago
Uhuru Newspaper26 Mar
CCM yaitaka serikali kuacha urasimu
SERIKALI imeshauriwa kupunguza urasimu wa ufanyaji biashara katika maeneo ya mipakani, ili wananchi wengi watumie fursa hiyo katika kujiongezea kipato.
Kauli hiyo ilitolewa juzi na Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana, alipokuwa akizungumza na wakazi wa Himo.
Alisema Tanzania ni nchi pekee ambayo mikoa yake zaidi ya 14 imekuwa ikipakana na nchi za jirani.
Kinana alisema iwapo wananchi wa mikoa hiyo wakitumia fursa hiyo ya kupakana na nchi jirani kufanya biashara, kutawasaidia katika...
10 years ago
BBCSwahili14 Jun
ICC yaitaka A. Kusini kumkamata Bashir
10 years ago
BBCSwahili19 Feb
Libya yaitaka UN kuiruhusu Kununua silaha
9 years ago
Mtanzania04 Sep
SuperSport yaitaka Ligi Kuu Bara
NA SELEMAN SHINENI, MAURITIUS
KAMPUNI ya MultiChoice Africa kupitia channel zake za SuperSport, inatarajia kuonyesha michuano ya Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara (VPL), baada ya mkataba wa Azam kuonyesha ligi hiyo kufika tamati.
Azam waliingia mkataba wa kuonyesha ligi hiyo mwaka 2014, ambapo mkataba huo unatarajiwa kumalizika katika msimu wa 2017.
Akizungumza na MTANZANIA jana, wakati wa tamasha la 2015 Content Showcase Extravaganza, Mkurugenzi wa SuperSport Kusini mwa Afrika, Graeme...
10 years ago
BBCSwahili21 Dec
USA yaitaka K.Kazkazini kuilipa Sony
10 years ago
Vijimambo03 Mar
Azam kudhamini daraja la kwanza
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/TFF-3March2015.jpg)
Mkutano Mkuu wa Bodi ya Ligi Tanzania (TPLB) ambao hukutanisha viongozi wa Klabu za Ligi Kuu ya Soka Bara na Ligi Daraja la Kwanza, uliofanyika Februari 28 mwaka huu, umejadili mambo mbalimbali ikiwa ni pamoja kujulishwa taarifa za kupatikana kwa mdhamini wa Ligi Daraja la Kwanza msimu ujao, ambaye ni Azam Media.
Akizungumza na gazeti hili jana, Kaimu Mtendaji wa Bodi hiyo, Fatma Shibo, alisema kuwa katika mkutano huo pia wajumbe walijadili utendaji wa kazi za kila siku za bodi hiyo na mfumo...