MVUA YAHARIBU MIUNDOMBINU YA WAMACHINGA
Mvua zinazoendelea kunyesha jijini Dar es Salaam zimeonekana kuvuruga dili za wafanyabiashara ndogondogo 'wamachinga' wanaopanga bidhaa zao kando ya barabara kufuatia maeneo wanayotumia kupanga bidhaa zao kujaa maji. Pichani ni maeneo ya barabara ya Msimbazi jijini Dar yalivyonaswa na kamera yetu leo mchana. (PICHA:Â RICHARD BUKOSÂ / GPL)
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi25 Jan
Mvua yaharibu miundombinu reli
11 years ago
Mwananchi13 Apr
Mvua yaharibu barabara Tanga
9 years ago
Mwananchi01 Dec
Mvua yaharibu makazi ya familia 14
10 years ago
Mwananchi27 Jan
Mvua yaharibu mazao ya Sh5 mil
10 years ago
Mwananchi14 Feb
Mvua yaharibu nyumba, ekari 300 za mashamba
11 years ago
MichuziMVUA YAHARIBU SEHEMU YA BARABARA KATIKA HIFADHI YA TAIFA YA SERENGETI
11 years ago
GPL10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-XYSxNlc18Go/VUdwNeziqzI/AAAAAAAHVOQ/L0WqEbDoGig/s72-c/unnamed%2B(2).jpg)
News alert:mvua za masika zasababisha maafa, uharibifu wa nyumba na miundombinu leo
![](http://1.bp.blogspot.com/-XYSxNlc18Go/VUdwNeziqzI/AAAAAAAHVOQ/L0WqEbDoGig/s1600/unnamed%2B(2).jpg)
10 years ago
Dewji Blog07 May
Exclusive mvua ya siku 3 Dar: Jiji lasimama, miundombinu kero tupu kila kona
Na Andrew Chale, Modewji blog
Kufuatia mvua kubwa inayoendelea kunyesha kwa siku ya tatu leo imeendelea kusababisha uharibifu wa miundombinu mingi ya jiji la Dar es Salaam kuharibika vibaya huku mingine ikifungwa kwa kushindwa kutumika hasa kwa magari yaingiayo katikati ya jiji la Dar es Salaam.
Modewji blog imeshuhudia maeneo kadhaa katikati ya jiji na maeneo mengineo ya nje ya jiji yakiwa katika ubovu mkubwa hata magari kupita kwa taabu na mengine kuzama katika madimbwi.
Baadhi ya...