Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Iraq yapanga kuwashambulia IS

Majeshi ya Iraq na Wakurd yanapanga kuutwaa mji wa Mosul kwa kuwashambulia wapiganaji wa IS wanaouudhibiti mji huo.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

Obama na mpango wake kuwashambulia IS

Rais Barack Obama
Rais Barack Obama ameliomba baraza la Congress kupitisha mpango wa amiaka mitatu wa mashambulizi dhidi ya kundi la wapiganaji wa Kiislam la Islamic State ambalo linashikilia baadhi ya maeneo nchini Iraq. Mpango huo wa Marekani dhidi ya wapiganaji wa IS unahusisha vikosi vya mashambulizi ya ardhini katika jitihada za kutokomeza kundi hilo la kigaidi. Hata hivyo Rais Obama amesema kuwa si kwamba anaomba idhini ya kufanya mashambulizi hayo kwani kwa mjibu wa mamlaka yake hakuna...

 

10 years ago

GPL

YEMI AELEZA SABABU YA KUWASHAMBULIA WAANDAJI WA TUZO ZA BET

Mwimbaji maarufu wa Nigeria, Yemi Alade. Lagos Nigeria BAADA ya mwimbaji maarufu wa Nigeria, Yemi Alade, maarufu kama  Jonny Crooner kutokana na wimbo wake, kushindwa katika mpambano wa Tuzo za BET nchini Marekani, amewashambulia waandaji wa mashindano hayo kwamba hawakuwafanyia haki waimbaji kutoka Afrika. “Kusema ukweli Waafrika hatutendewi haki kama wenzetu kutoka mabara mengine,” alisema mwimbaji huyo mrembo...

 

10 years ago

GPL

BUNGE LAAHIRISHWA BAADA YA VURUGU KUHUSU POLISI KUWASHAMBULIA WAFUASI WA CUF

Mbunge wa NCCR–Mageuzi, James  Mbatia. Baada ya James Francis Mbatia kuleta hoja ya dharura juu nguvu iliyotumiwa na polisi dhidi ya maandamano ya CUF jana, ili ijadiliwe na wabunge kama hoja ya dharura, Spika Makinda aliamuru serikali ilete majibu kesho ndipo ijadiliwe.
Spika wa Bunge, Anne Makinda, akiongozwa na mpambe kuingia kwenye ukumbi wa Bunge. Wabunge walisimama kushinikiza hoja ijadiliwe lakini...

 

10 years ago

BBCSwahili

Nigeria yapanga kuunda silaha zake

Rais wa Nigeria Muhammadu Buhari ameiamuru wizara ya ulinzi kujenga uwezo wa taifa hilo kujitengenezea silaha zake

 

9 years ago

BBCSwahili

ECOWAS yapanga kupiga marufuku mtandio

Nchi wanachama wa ECOWAS zinasema mtandio wa hadi usoni umekua ukitumiwa na wanawake wanaojitoa mhanga

 

10 years ago

Mwananchi

Bawacha yapanga kumuona Kikwete kwa maandamano

>Baraza la Wanawake wa Chadema (Bawacha) limetangaza maandamano kwenda Ikulu kumuomba Rais Jakaya Kikwete asikubali kutia saini Rasimu ya Katiba inayopendekezwa iwapo itapitishwa na Bunge.

 

11 years ago

Bongo5

Sony Pictures yapanga kuja na filamu ya Spider-Woman

Kampuni ya Sony Pictures imepanga kuanza kutumia waigizaji wa kike katika filamu ya Spider Man, yaani kupata Spider- Woman. Filamu hiyo ya Spider- Woman itatoka mapema mwaka 2017. Filamu mpya ya Spider-Man inatarajiwa kutoka Nov. 11, 2016. Katika filamu hiyo maadui wote waliowahi kuigiza kwenye filamu hiyo wataungana kwa pamoja kwenda kuliteketeza jiji la New […]

 

10 years ago

Michuzi

Simba yapanga kumpa gari mchezaji bora wa timu hiyo

Uongozi wa Klabu ya Simba umepanga kumpa gari mchezaji bora wa klabu hiyo katika sherehe za Simba maarufu 'Simba Day' inayofanyika kila mwaka Agosti 8.
Akizungumza leo jijini Dar es salaam, Rais wa Simba Evans Aveva alisema kuwa chini ya uongozi wake wameanzisha tuzo hizo kwa wachezaji wa Simba ili kuibua morali ya wachezaji na kuthamini mchango wao na hiyo imekuja baada ya klabu hiyo ya wekundu wa Msimbazi kuingia mkataba wa miaka mitano na Kampuni ya EAG ambao watakuwa na jukumu la...

 

10 years ago

GPL

MANISPAA YA ILALA YAPANGA UBORESHAJI WA UKUSANYAJI WA MAPATO YATOKANAYO NA VYANZO VYAKE

Afisa Uhusiano wa Manispaa ya Ilala, Tabu Shaibu (wa pili kushoto) akizungumza jambo katika tamko hilo, Mkuu wa Idara ya Kilimo na Ushirika wa Ilala (wa kwanza kushoto) pamoja na viongozi wengine. Wanahabari wakichukua tukio.…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani