Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Bawacha yapanga kumuona Kikwete kwa maandamano

>Baraza la Wanawake wa Chadema (Bawacha) limetangaza maandamano kwenda Ikulu kumuomba Rais Jakaya Kikwete asikubali kutia saini Rasimu ya Katiba inayopendekezwa iwapo itapitishwa na Bunge.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

Mbunge apania kumuona Kikwete

MBUNGE wa Korogwe Vijijni, Stephen Ngonyani ameahidi kumuona Rais Jakaya Kikwete kufikisha malalamiko ya vijana wa jimbo lake, ambao wamechanga zaidi ya Sh milioni 14 kwa ajili ya mikopo, lakini haijatolewa hadi sasa.

 

11 years ago

Michuzi

WANANCHI WAFURAHI KUMUONA RAIS KIKWETE AKIJUMUIKA NAO KWENYE MAONESHO YA SABASABA

Rais Jakaya Mrisho Kikwete jana Jumapili Julai 6, 2014 alitembelea kwa mara ya pili maonesho ya kimataifa ya bishara katika viwanja vya Mwalimu Nyerere barabara ya Kilwa jijini Dar es salaam, baada ya ratiba yake kutokamilika katika ziara yake aliyoifanya siku ya Jumamosi kutokana na muda. Na kama ilivyo ada wananchi walifurahi kuwa naye karibu kama ambavyo yeye pia alifurahi kujumuika nao kwenye maonesho hayo ya kila mwaka. Watoto ndio waliokuwa wakimvutia zaidi Rais Kikwete ambapo kila...

 

10 years ago

Vijimambo

ZIARA YA BAWACHA YAANZA KWA KISHINDO KWA KUTIKISA MWANZA

Viongozi wa BAWACHA wakiongozwa na Mhe. Halima Mdee wakipata picha ya pamoja mara tu walipowasili jijini Mwanza,Wananchi mkoani Mwanza wakiwa kwenye wenye wingi wa fuaraha baada ya kupokea ujiwa wa viongozi wao wa BAWACHA.Ni vigelegele na vifijoMsafala wa wanachi wa Mwanza na viongozi wa BAWACHA

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kumuona mgonjwa Amana kwa kadi

KATIBU wa Afya wa Hospitali ya Amana, Zamzam Ndossy amesema kwa kwa sasa wameanzisha utaratibu wa kuona wagonjwa katika hospitali hiyo kwa kutumia karatasi yenye namba. Akizungumza na Tanzania Daima...

 

10 years ago

Vijimambo

WADAU WAJITOKEZA KUMUONA DIAMOND SAFARI CLUB WENGINE WAKINUNUA TIKETI KWA WINGI

Shabiki wa Diamond Mariam Mashaka akiwa na tiketi 6 alizonunua siku ya Ijumaa Desemba 5, 2014 wakati alipokuwepo Safari Club na mgahawa wa Afrika mashariki walipokuja mashabiki wa Diamond kmsalimia lakini Diamond anawasili leo Jumamosi muda wowte kuanzia sasa.kutoka kushoto ni Rama Tonsa, Moses Iyobo, Dj Romy Jones na Bahia shabiki kutoka New York.Mkuu wa Utawala na fedha Ubalozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Marekani, Mama Lily Munanka akiwa na mwanae na Sunday Shomari wakiwa...

 

10 years ago

Michuzi

KAMANDA KOVA APIGA ‘STOP’ MAANDAMANO YA UVCCM ILALA,MAANDAMANO YA BAVICHA YAACHWA KIPORO.

 Na Chalila Kibuda ,Globu ya Jamii
Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam imezuia maandamano ya Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi Wilaya Ilala (UVCCM) ya kuadhimisha miaka 38 ya kuzaliwa kwa chama hicho pamoja na kuacha kiporo  maandamano ya Baraza la Vijana wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Bawacha).


Akizungumza leo na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam Kamanda wa Kanda Maalumu ya Dar es Salaam ,Kamishina wa Jeshi la Polisi ,Suleiman Kova ,amesema kuzuia kwa maandamano...

 

9 years ago

Bongo5

Diamond akanusha kuwalipisha pesa wanaotaka kumuona Tiffah uso kwa uso

Kwa umaarufu alionao mtoto wa Diamond na Zari, Latiffah Nasib Abdul au kama baba yake anavyopenda kumuita Tiffah, ni wazi kwamba mashabiki wengi wa staa huyo wangependa kumuona ama kumbeba mtoto huyo aliyejipatia umaarufu toka siku yake ya kwanza duniani. Hiyo inatokana pia na uamuzi wa wazazi wake kutomuonesha mapema sura yake hadi Jumapili iliyopita, […]

 

10 years ago

BBCSwahili

Iraq yapanga kuwashambulia IS

Majeshi ya Iraq na Wakurd yanapanga kuutwaa mji wa Mosul kwa kuwashambulia wapiganaji wa IS wanaouudhibiti mji huo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani