ECOWAS yapanga kupiga marufuku mtandio
Nchi wanachama wa ECOWAS zinasema mtandio wa hadi usoni umekua ukitumiwa na wanawake wanaojitoa mhanga
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo02 Jun
DC apongezwa kupiga marufuku Kata K
MKUU wa Wilaya ya Sumbawanga, Mathew Sedoyeka amepongezwa na vijana wilayani humo kwa uamuzi wake wa kuwapiga marufuku vijana wote wa kiume popote wilayani humo kuvaa suruali kwa mtindo wa mlegezo maarufu kama Kata K .
10 years ago
BBCSwahili04 Sep
FIFA yatishia kupiga marufuku Nigeria
9 years ago
Mwananchi08 Dec
‘Marufuku kupiga picha vifaa vya kijeshi’
11 years ago
Habarileo31 Jan
Zanzibar kupiga marufuku nguo za ndani za mitumba
SERIKALI ya Mapinduzi ya Zanzibar imesema nguo za ndani za mitumba zitapigwa marufuku mara baada ya kuanza kutekelezwa kwa sheria ya biashara ya mwaka 2013. Kauli hiyo imetolewa na Kaimu Waziri wa Biashara Viwanda na Masoko Juma Duni Haji wakati akiwasilisha utekelezaji wa majukumu ya wizara yake kwa Kamati ya Biashara Fedha na Kilimo kwa mwaka 2014.
9 years ago
Mwananchi22 Oct
IGP apiga marufuku mikusanyiko ya watu siku ya kupiga kura
9 years ago
StarTV22 Aug
Wanasiasa wapigwa marufuku kutumia maeneo ya shule kupiga kampeni
Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Mji wa Tarime na msimamizi wa uchaguzi Venance Mwamengo amevitaka vyama vya siasa kuacha kutumia maeneo ya shule na vyuo kuendesha mikutano yao ya kampeni ili kuepuka kuvuruga masomo kwa wanafunzi husika.
Amesema hayo wakati mgombea ubunge katika Jimbo la Tarime Mjini Ester Matiko alipochukua fomu ya kuwania ubunge.
Mwamengo amesema kwamba hata ruhusu ratiba ya chama chochote cha siasa, kuendesha mikutano yao ya kampeni katika maeneo ya taasisi yoyote ya...
5 years ago
BBCSwahili02 Apr
Shenzhen yawa mji wa kwanza kupiga marufuku kula paka na mbwa
5 years ago
BBCSwahili23 Apr
Virusi vya corona: Je Kupiga marufuku uuzaji pombe ni suluhisho la kuzuia maambukizi?
9 years ago
VijimamboJESHI LA POLISI MBEYA LAPIGA MARUFUKU KWENDA KUPIGA KURA UKIWA UMEVAA SARE ZA VYAMA
Jeshi la Polisi Mkoani Mbeya limetoa rai kwa wafuasi wa vyama vishiriki katika uchaguzi mkuu Octoba 25 mwaka huu kujiepusha kufika katika kituo cha kupigia kura wakiwa wamevaa nguo zenye picha za wagombea, maneno au nembo ama rangi za chama cha siasa.
Aidha wametakiwa , kuepuka kutumia uvumi, maneno ya uongo, hisia au visingizio vyenye lengo la kuwazuia wengine kwenda kupiga kura.
Pia amewataka kuepuka kufanya kampeni katika kituo cha kupigia kura iwe kwa...