Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


ECOWAS yapanga kupiga marufuku mtandio

Nchi wanachama wa ECOWAS zinasema mtandio wa hadi usoni umekua ukitumiwa na wanawake wanaojitoa mhanga

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

DC apongezwa kupiga marufuku Kata K

MKUU wa Wilaya ya Sumbawanga, Mathew Sedoyeka amepongezwa na vijana wilayani humo kwa uamuzi wake wa kuwapiga marufuku vijana wote wa kiume popote wilayani humo kuvaa suruali kwa mtindo wa mlegezo maarufu kama Kata K .

 

10 years ago

BBCSwahili

FIFA yatishia kupiga marufuku Nigeria

FIFA imetishia kutimua Nigeria kutoka kwa shirikisho hilo iwapo Giwa ataendelea kuwa rais wa NFF

 

9 years ago

Mwananchi

‘Marufuku kupiga picha vifaa vya kijeshi’

Jeshi  la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania  (JWTZ) limetoa onyo  kwa wananchi kutokujihusisha na upigaji picha wa vifaa vya kijeshi na kuvisambaza katika mitandao ya kijamii.

 

11 years ago

Habarileo

Zanzibar kupiga marufuku nguo za ndani za mitumba

SERIKALI ya Mapinduzi ya Zanzibar imesema nguo za ndani za mitumba zitapigwa marufuku mara baada ya kuanza kutekelezwa kwa sheria ya biashara ya mwaka 2013. Kauli hiyo imetolewa na Kaimu Waziri wa Biashara Viwanda na Masoko Juma Duni Haji wakati akiwasilisha utekelezaji wa majukumu ya wizara yake kwa Kamati ya Biashara Fedha na Kilimo kwa mwaka 2014.

 

9 years ago

Mwananchi

IGP apiga marufuku mikusanyiko ya watu siku ya kupiga kura

Jeshi la Polisi nchini, limepiga marufuku mikusanyiko ya watu siku ya  kupiga kura kwa madai kwamba imekuwa ndiyo chanzo cha uvunjifu wa amani.

 

9 years ago

StarTV

Wanasiasa wapigwa marufuku kutumia maeneo ya shule kupiga kampeni

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Mji wa Tarime na msimamizi wa uchaguzi Venance Mwamengo amevitaka vyama vya siasa kuacha kutumia maeneo ya shule na vyuo kuendesha mikutano yao ya kampeni ili kuepuka kuvuruga masomo kwa wanafunzi husika.

Amesema hayo wakati mgombea ubunge katika Jimbo la Tarime Mjini Ester Matiko alipochukua fomu ya kuwania ubunge.

Mwamengo amesema kwamba hata ruhusu ratiba ya chama chochote cha siasa, kuendesha mikutano yao ya kampeni katika maeneo ya taasisi yoyote ya...

 

5 years ago

BBCSwahili

Shenzhen yawa mji wa kwanza kupiga marufuku kula paka na mbwa

Hukumu hiyo ni hatua kali zaidi ya kuzuia ulaji wa nyama ya mwituni, baada ya kuhusishwa na virusi.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Je Kupiga marufuku uuzaji pombe ni suluhisho la kuzuia maambukizi?

Mwandishi wa BBC Andrew Harding anaangazia marufuku ya uuzaji pombe wakati wa amri ya kutotoka nje nchini Afrika Kusini.

 

9 years ago

Vijimambo

JESHI LA POLISI MBEYA LAPIGA MARUFUKU KWENDA KUPIGA KURA UKIWA UMEVAA SARE ZA VYAMA

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mbeya


Jeshi la Polisi Mkoani Mbeya limetoa rai kwa wafuasi wa vyama vishiriki katika uchaguzi mkuu Octoba 25 mwaka huu kujiepusha kufika katika kituo cha kupigia kura wakiwa wamevaa nguo zenye picha za wagombea, maneno au nembo ama rangi za chama cha siasa.

Aidha wametakiwa , kuepuka kutumia uvumi, maneno ya uongo, hisia au visingizio vyenye lengo la kuwazuia wengine kwenda kupiga kura.
Pia amewataka  kuepuka kufanya kampeni katika kituo cha kupigia kura iwe kwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani