Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


‘Marufuku kupiga picha vifaa vya kijeshi’

Jeshi  la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania  (JWTZ) limetoa onyo  kwa wananchi kutokujihusisha na upigaji picha wa vifaa vya kijeshi na kuvisambaza katika mitandao ya kijamii.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Vifaa vya daftari la kupiga kura tatizo

Wakati panzia la majaribio ya uandikishaji wa wapiga kura kwa kutumia teknolojia ya mashine za kisasa za Biometric Voter Registration (BVR), likifunguliwa jana katika Jimbo la Kawe, Wilaya ya Kinondoni, mwitikio wa wananchi ulikuwa mdogo.

 

9 years ago

Mwananchi

Wananchi wateketeza vifaa vya kupiga kura Sumbawanga

Watu wapatao 200 wameteketeza  kwa moto vifaa vya kupiga kura  huku wengine wakiwajeruhi wasimamizi wa uchaguzi kwa kile kinachoonekana kuwa ni hofu ya kusambazwa kwa kura feki.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Je Kupiga marufuku uuzaji pombe ni suluhisho la kuzuia maambukizi?

Mwandishi wa BBC Andrew Harding anaangazia marufuku ya uuzaji pombe wakati wa amri ya kutotoka nje nchini Afrika Kusini.

 

10 years ago

Bongo5

Picha: Vodacom yamwaga vifaa vya timu 14 za ligi kuu

Meneja Uhusiano wa Nje wa Vodacom Tanzania Salum Mwalim,akiongea na waandishi wa habari(hawapo pichani)wakati wa kukabidhi vifaa kwa timu zinazoshiriki Ligi Kuu ya Vodacom. kushoto ni Meneja biashara wa TFF Peter Simon na kulia ni Afisa mtendaji mkuu wa bodi ya ligi Silas Mwakibinga.Timu 14 zimekabidhiwa vifaa vyenye thamani ya zaidi ya shilingi milioni 430 […]

 

9 years ago

Michuzi

KUPIGA PICHA NA KOMBE LA BARCLAYS PREMIER LEAGUE KESHO LITAKUWA IPP MEDIA, MLIMANI CITY, MAZESE, BIAFRA NA VIWANJA VYA KARUME JIJINI DAR.

 Mkuu wa Kitengo cha Biashara wa Benki ya Barclays hapa nchini, Osca Mwakyusa akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo kuhusiana na ratiba ya kutembeza Kombe la Ligi kuu ya Uingereza limeanza kutembezwa jijini Dar es Salaam kuanzia leo  Disemba 3, mwaka huuNa kesho wapenzi wa soka na ligi kuu ya Uingereza  waombwa kujitokeza kwaajili ya kupiga picha na kombe hilo ambalo limeaanza kutembezwa leo asubuhi. Ikiwa kwa kesho asubuhi Kombe hilo litaanzia katika tawi kuu la benki...

 

10 years ago

Bongo5

Picha: Wema Sepetu na Penny wamaliza tofauti zao, wakumbatiana na kupiga picha pamoja

Hatimaye mpenzi wa sasa (Wema) na mpenzi wa zamani (Penny) wa msanii wa Bongo fleva Naseeb Abdul a.k.a Diamond Platnumz wamemaliza tofauti zao zilizotokana na ‘penzi’ la hit maker huyo wa ‘Number 1’. Penny, Junaithar aliyewapatanisha, na Wema Muigizaji wa Bongo Movie Wema Sepetu na mtangazaji wa E-FM Penny Mungilwa a.k.a VJ Penny walikutana usiku […]

 

11 years ago

Habarileo

DC apongezwa kupiga marufuku Kata K

MKUU wa Wilaya ya Sumbawanga, Mathew Sedoyeka amepongezwa na vijana wilayani humo kwa uamuzi wake wa kuwapiga marufuku vijana wote wa kiume popote wilayani humo kuvaa suruali kwa mtindo wa mlegezo maarufu kama Kata K .

 

10 years ago

BBCSwahili

FIFA yatishia kupiga marufuku Nigeria

FIFA imetishia kutimua Nigeria kutoka kwa shirikisho hilo iwapo Giwa ataendelea kuwa rais wa NFF

 

9 years ago

BBCSwahili

ECOWAS yapanga kupiga marufuku mtandio

Nchi wanachama wa ECOWAS zinasema mtandio wa hadi usoni umekua ukitumiwa na wanawake wanaojitoa mhanga

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani