Wananchi wateketeza vifaa vya kupiga kura Sumbawanga
Watu wapatao 200 wameteketeza kwa moto vifaa vya kupiga kura huku wengine wakiwajeruhi wasimamizi wa uchaguzi kwa kile kinachoonekana kuwa ni hofu ya kusambazwa kwa kura feki.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi18 Dec
Vifaa vya daftari la kupiga kura tatizo
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-to1uhDJ4EnI/VkXYIJr2PaI/AAAAAAAIFtE/TpDGyYWRtpY/s72-c/002.jpg)
WANANCHI WA KATA YA SARANGA KUPIGA KURA JUMAPILI
![](http://1.bp.blogspot.com/-to1uhDJ4EnI/VkXYIJr2PaI/AAAAAAAIFtE/TpDGyYWRtpY/s320/002.jpg)
Akizungumza na waandishi wa habari leo, Mkurugenzi wa Manispaa ya Kinondoni, Mhandisi Mussa Natty amesema kuwa kufanya uchaguzi huo kunatokana na kuharibika kwa uchaguzi wa Oktoba 25 ulisababishwa na vurugu.
Amesema wananchi wanaotakiwa kupiga kura kwa kata hiyo ni wale waliojiandikisha katika daftari la kudumu la mpiga kura.Natty amesema...
9 years ago
Mwananchi08 Dec
‘Marufuku kupiga picha vifaa vya kijeshi’
10 years ago
GPLCHADEMA YAZIDI KUWAHAMASISHA WANANCHI KUJIANDIKISHA KUPIGA KURA
10 years ago
Dewji Blog14 May
Wananchi wenye sifa ya kupiga kura Mkalama washauriwa kujiandikisha
Mwenyekiti wa halmashauri ya wilaya ya Mkalama mkoa wa Singida,James John Mkwenga,akizungumza kwenye ufunguzi wa kikao cha baraza la madiwani kilichofanyika katika kijiji cha Nduguti.Kushoto ni Makamu Mwenyekiti Asma Seif na kulia ni Kaimu Mkurugenzi wa halmashauri ya Mkalama,Cusbert Mwinuka.
Mkuu wa wilaya ya Mkalama mkoani Singida, Edward Ole Lenga, akizungumza mbele ya kikao cha kawaida cha baraza la madiwani wa halmashauri ya wilaya ya Mkalama. Ele Lenga alitumia nafasi hiyo kuagiza...
10 years ago
Michuzi21 Sep
Maoni ya Kinana juu ya muungano baada ya wananchi wa scotland kupiga kura
Kinana alisema amekuwa akipigiwa simu siku nzima na waandishi wa habari kutaka kusikia maoni yake juu ya kura iliyopigwa Scotland.
Wananchi wa Scotland wamepiga kura na kuunga mkono muungano wa miaka 307 baina ya nchi hiyo na Uingereza katika...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/hf-ryTpxXBO9nPGcclp6Aty1L513u20v2GBaTKDGqonDt27Gfa*aB5yekO7bA*WrF5POuAeIyadLiSZ3hDu0AmVlCmI-iR*U/KIEMBE.jpg?width=650)
WANANCHI WENGI WAJITOKEZA KUPIGA KURA KATIKA UCHAGUZI JIMBO LA KIEMBESAMAKI
10 years ago
Bongo524 Apr
Chege, Young Killer, Bob Junior wawasihi wananchi kujiandikisha na kupiga kura
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-lkhunC8oj5E/VTOJNJNBG-I/AAAAAAAAaJ8/aPLP2jBtswY/s72-c/1.jpg)
KINANA ASHIRIKI BONANZA LA KUHAMASISHA WANANCHI KUJIANDIKISHA KWENYE DAFTARI LA KUPIGA KURA
![](http://1.bp.blogspot.com/-lkhunC8oj5E/VTOJNJNBG-I/AAAAAAAAaJ8/aPLP2jBtswY/s1600/1.jpg)
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akisalimiana na Viongozi na waratibu wa Bonanza maalum la kuhamasisha wananchi kujiandikisha katika Daftari Maalum la kupiga kura mara baada ya kuwasili kwenye viwanja vya Gonga, Karakata tayari kushiriki mchaka mchaka na vijana zaidi ya 500 kutoka vikundi mbali mbali vya wilaya ya Ilala na Temeke.
![](http://1.bp.blogspot.com/-PmYbB_Xa1y8/VTOJOsl63pI/AAAAAAAAaKI/oHFPf0hv7R8/s1600/2.jpg)
Vijana wakiwa wamekusanyika tayari kuanza kushiriki mazoezi ya jogging kwenye uwanja wa Gonga, Karakata ambapo mgeni rasmi alikuwa Katibu Mkuu wa CCM...