DC apongezwa kupiga marufuku Kata K
MKUU wa Wilaya ya Sumbawanga, Mathew Sedoyeka amepongezwa na vijana wilayani humo kwa uamuzi wake wa kuwapiga marufuku vijana wote wa kiume popote wilayani humo kuvaa suruali kwa mtindo wa mlegezo maarufu kama Kata K .
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo30 May
Kata K marufuku Sumbawanga
MKUU wa Wilaya ya Sumbawanga mkoani Rukwa, Mathew Sedoyeka amepiga marufuku kwa kijana yeyote wa kiume mahali popote wilayani humo kuvaa suruali kwa staili ya Kata K.
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-to1uhDJ4EnI/VkXYIJr2PaI/AAAAAAAIFtE/TpDGyYWRtpY/s72-c/002.jpg)
WANANCHI WA KATA YA SARANGA KUPIGA KURA JUMAPILI
![](http://1.bp.blogspot.com/-to1uhDJ4EnI/VkXYIJr2PaI/AAAAAAAIFtE/TpDGyYWRtpY/s320/002.jpg)
Akizungumza na waandishi wa habari leo, Mkurugenzi wa Manispaa ya Kinondoni, Mhandisi Mussa Natty amesema kuwa kufanya uchaguzi huo kunatokana na kuharibika kwa uchaguzi wa Oktoba 25 ulisababishwa na vurugu.
Amesema wananchi wanaotakiwa kupiga kura kwa kata hiyo ni wale waliojiandikisha katika daftari la kudumu la mpiga kura.Natty amesema...
9 years ago
BBCSwahili18 Dec
ECOWAS yapanga kupiga marufuku mtandio
10 years ago
BBCSwahili04 Sep
FIFA yatishia kupiga marufuku Nigeria
9 years ago
Mwananchi08 Dec
‘Marufuku kupiga picha vifaa vya kijeshi’
11 years ago
Habarileo31 Jan
Zanzibar kupiga marufuku nguo za ndani za mitumba
SERIKALI ya Mapinduzi ya Zanzibar imesema nguo za ndani za mitumba zitapigwa marufuku mara baada ya kuanza kutekelezwa kwa sheria ya biashara ya mwaka 2013. Kauli hiyo imetolewa na Kaimu Waziri wa Biashara Viwanda na Masoko Juma Duni Haji wakati akiwasilisha utekelezaji wa majukumu ya wizara yake kwa Kamati ya Biashara Fedha na Kilimo kwa mwaka 2014.
9 years ago
Mwananchi22 Oct
IGP apiga marufuku mikusanyiko ya watu siku ya kupiga kura
9 years ago
StarTV22 Aug
Wanasiasa wapigwa marufuku kutumia maeneo ya shule kupiga kampeni
Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Mji wa Tarime na msimamizi wa uchaguzi Venance Mwamengo amevitaka vyama vya siasa kuacha kutumia maeneo ya shule na vyuo kuendesha mikutano yao ya kampeni ili kuepuka kuvuruga masomo kwa wanafunzi husika.
Amesema hayo wakati mgombea ubunge katika Jimbo la Tarime Mjini Ester Matiko alipochukua fomu ya kuwania ubunge.
Mwamengo amesema kwamba hata ruhusu ratiba ya chama chochote cha siasa, kuendesha mikutano yao ya kampeni katika maeneo ya taasisi yoyote ya...
5 years ago
BBCSwahili02 Apr
Shenzhen yawa mji wa kwanza kupiga marufuku kula paka na mbwa