Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Muswada wa udhibiti silaha watua bungeni

Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Pereira Ame SilimaSERIKALI imewasilisha Muswada wa Sheria ya Usimamizi na Udhibiti wa Silaha na Risasi wa mwaka 2014 bungeni, ambao pamoja na kuweka kikomo cha umri wa kumiliki silaha, pia umepiga marufuku na kudhibiti uingizwaji na uuzwaji wa silaha bandia nchini.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Muswada wa kodi, ushuru watua bungeni

Waziri wa Fedha, Saada Mkuya Salum.SERIKALI imewasilisha bungeni muswada wa Sheria ya Fedha ya Mwaka 2015 wenye lengo la kuzifanyia marekebisho sheria 16 zinazohusu masuala ya fedha, kodi, ushuru na tozo mbalimbali nchini.

 

10 years ago

Habarileo

Muswada sheria ya malipo ya fedha watua bungeni

SERIKALI itawasilisha muswada wa sheria ya mifumo ya malipo ya fedha ambayo itasimamia mifumo ya malipo ya elektroniki, ikiwemo utumaji wa fedha kwa kutumia simu za kiganjani.

 

10 years ago

Dewji Blog

Kamati ya Masuala ya Ukimwi na Madawa ya Kulevya yajadili Muswada wa Sheria ya Usimamizi na Udhibiti wa Dawa za Kulevya ya mwaka 2014

PIX 1

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia mambo ya Bunge, Sera na Uratibu Mhe. William Lukuvi akifungua kikao cha Kamati ya Masuala ya Ukimwi na Madawa ya Kulevya kujadili Muswada wa Sheria ya Usimamizi na Udhibiti wa Dawa za Kulevya ya mwaka 2014 kilichofanyika 22/01/2015 katika Ukumbi wa Mwalimu Nyerere jijini Dar es Salaam.

PIX 2

Baadhi ya wadau toka Taasisi mbalimbali zisizo za Kiserikali wakichangia mada kupitia vifungu mbalimbali vya Muswada wa Sheria ya Usimamizi na Udhibiti wa...

 

11 years ago

Michuzi

TANZANIA YAPIGA HATUA KATIKA UDHIBITI WA SILAHA NDOGO NDOGO NA NYEPESI

Na Frank Geofray-Jeshi la Polisi. 
 Imeelezwa kuwa Tanzania imepiga hatua kubwa katika kukabiliana na tatizo la uzagaaji wa silaha ndogo ndogo na nyepesi kutokana na nchi nyingine za Afrika kuja kujifunza jinsi ya kukabiliana na tatizo hilo hapa nchini. 
 Hayo yalisemwa na Mkurugenzi wa maendeleo ya Jinsia kutoka Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto Bw.Meshack Ndaskoi wakati akifungua semina ya jinsia na uthibiti wa silaha ndogondogo na nyepesi iliyofanyika katika chuo cha Taaluma...

 

10 years ago

Mwananchi

Wabunge 33 wapitisha muswada bungeni

Wabunge 33 jana walipitisha Muswada wa Benki ya Posta Tanzania (kufuta sheria iliyoanzisha Sheria ya Benki ya Posta na kuweka masharti ya mpito).

 

10 years ago

Mtanzania

Muswada wa habari kuwasilishwa bungeni

Na Debora Sanja, Dodoma
HATIMAYE Muswada wa Sheria ya kupata Habari na Muswada wa Sheria ya Vyombo vya Habari ya Mwaka 2015, inatarajiwa kuwasilishwa bungeni katika mkutano wa 19 wa Bunge unaoanza leo mjini hapa.
Miswada hiyo inatarajiwa kuwasilishwa kwa hati ya dharura na inakusudiwa kupitishwa na Bunge katika hatua zake zote.
Kwa mujibu wa ratiba iliyotolewa mjini hapa jan,a mbali na miswada hiyo kuwasilishwa, pia miswada mingine minne inatarajiwa kuwasilishwa kwa hati ya dharura.
“Miswada...

 

10 years ago

Mtanzania

Muswada wa habari waondolewa bungeni

agNa Fredy Azzah, Dodoma

HATIMAYE Serikali imekubali kuuondoa muswada wa habari na ule wa vyombo vya habari iliyopangwa kuwasilishwa kwa hati ya dharura na badala yake itasomwa kwa mara ya kwanza kisha wadau watapata nafasi ya kuijadili.

Ratiba ya awali ilionyesha kuwa Machi 31, mwaka huu Serikali ilitarajiwa kuwasilisha muswada wa Sheria ya kupata Habari wa mwaka 2015 na ule wa Vyombo vya Habari wa mwaka 2015 yote kwa hati ya dharura.

Ratiba iliyotolewa jana ilikuwa haina miswada hiyo,...

 

10 years ago

Habarileo

Muswada wa habari waondolewa bungeni

WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Rais, Kazi Maalumu, Profesa Mark MwandosyaSERIKALI imeondoa muswada wa Sheria ya Haki ya Upatikanaji Habari wa mwaka 2015, uliokuwa usomwe kwa mara ya pili bungeni na hivyo utasubiri hadi Bunge jipya litakapokaa, baada ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba.

 

10 years ago

Habarileo

Muswada sheria ya maafa wawasilishwa bungeni

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera na Bunge), Jenista MhagamaSERIKALI imewasilisha bungeni muswada wa sheria ya usimamizi wa maafa ambao unalenga kuanzisha chombo kinachojitegemea ambacho kitashughulikia maafa.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani