Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Muswada sheria ya maafa wawasilishwa bungeni

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera na Bunge), Jenista MhagamaSERIKALI imewasilisha bungeni muswada wa sheria ya usimamizi wa maafa ambao unalenga kuanzisha chombo kinachojitegemea ambacho kitashughulikia maafa.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Muswada wa Marekebisho Sheria ya Ubia wawasilishwa

Waziri wa nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Uwekezaji na Uwezeshaji, Dk Mary NaguSERIKALI imewasilisha bungeni Muswada wa Marekebisho ya Sheria ya Ubia baina ya Sekta ya Umma na Sekta Binafsi (PPP) kwa nia ya kuboresha usimamizi na uratibu wa masuala ya ubia kati ya pande hizo.

 

10 years ago

Habarileo

Muswada sheria ya malipo ya fedha watua bungeni

SERIKALI itawasilisha muswada wa sheria ya mifumo ya malipo ya fedha ambayo itasimamia mifumo ya malipo ya elektroniki, ikiwemo utumaji wa fedha kwa kutumia simu za kiganjani.

 

10 years ago

Michuzi

SERIKALI KUPELEKA BUNGENI MUSWADA WA MAREKEBISHO YA SHERIA

WAZIRI MKUU Mizengo Pinda amesema Serikali itawasilisha Bungeni Muswada wa Marekebisho ya Sheria Mbalimbali wenye sehemu 14 likiwemo suala la Mahakama ya Kadhi.
Akizungumza na waandishi wa habari ofisini kwake Magogoni jijini Dar es Salaam, jana jioni (Jumatano, Machi 11, 2015) Waziri Mkuu alisema Serikali inakusudia kuwasilisha muswada huo kwenye mkutano ujao wa Bunge unaotarajiwa kuanza Jumanne ijayo, (Machi 17).
Hata hivyo, Waziri Mkuu amewasihi Watanzania waondoe hofu iliyoenezwa na tetesi...

 

10 years ago

Dewji Blog

Muswada wa Sheria ya mifumo ya malipo nchini wasomwa Bungeni

PIX 1

Waziri wa Fedha Mhe.Saada Mkuya akisoma Muswada wa Sheria  Mifumo ya Malipo wa Mwaka 2015 katika Mkutano wa 19, Kikao cha Sita Mjini Dodoma.

PIX 2

Naibu Waziri wa Maji Mhe.Amos Makalla akijibu swali kwa  lililoulizwa na Mhe.Prof.David Mwakyusa (Mb)  wa (Rungwe Magharibi) Bungeni Mjini Dodoma.

PIX 3

Naibu Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi Mhe.Anne Kilango akijibu swali liliulizwa na Mhe.Amina Makilagi Mbunge wa Viti Maalum lilohoji juu ya mchang’anuo wa ada za Vyuo vikuu vya Umma,Bungeni Mjini...

 

10 years ago

Michuzi

Muswada wa Sheria ya Mifumo ya Malipo nchini Wasomwa Bungeni leo

Na Anitha Jonas-MAELEZO,Dodoma.
Waziri wa Fedha Mhe. Saada Mkuya amesoma Muswada wa Sheria ya Mifumo ya Malipo nchini wa mwaka 2015 kwa mara ya pili Bungeni Mjini Dodoma,Sheria hii imelenga kudhibiti wizi unaofanyika kupitia mitandao pamoja na kuhakikisha serikali inanufaika kwa kujipatia mapato.
Mhe.Mkuya alisema chimbuko la Muswada huo ni matokeo ya maboresho yaliyofanywa na Serikali katika sekta ya fedha nchini yaliyoanza mwaka 1990 na yanayoendelea mpaka sasa pamoja na maboresho...

 

11 years ago

Ykileo

BUNGE LINATEGEMEA KUWASILISHA BUNGENI MUSWADA SHERIA ZA MAKOSA MTANDAO.

Wizara ya Mawasilano, Sayansi na Teknolojia ipo katika mkakati wa kuandaa muswada wa sheria za matumizi salama ya mtandao ili kukabiliana na changamoto za uhalifu kupitia mtandao.

Kupitishwa kwa miswada hiyo kuwa sheria kutapunguza hali ya kukithiri kwa matukio ya uhalifu wa kutumia mtandao, uvujaji wa taarifa za siri pamoja na upotevu wa haki miliki kutokana na kukosekana kwa sheria ya kudhibiti vitendo hivyo.

Miongoni mwa Miswada ya sheria itakayoandaliwa na Wizara hiyo ni pamoja na muswada...

 

5 years ago

CCM Blog

TAARIFA YA HALI YA UCHUMI WA TAIFA KWA MWAKA 2019 NA MPANGO WA MAENDELEO WA TAIFA WA MWAKA 2020/21 WAWASILISHWA BUNGENI, LEO

MUHTASARI WA HOTUBA YA WAZIRI WA FEDHA NA MIPANGO, MHESHIMIWA DK. PHILIP I. MPANGO (MB), AKIWASILISHA BUNGENI TAARIFA YA HALI YA UCHUMI WA TAIFA KWAMWAKA 2019 NA MPANGO WA MAENDELEOWA TAIFA WA MWAKA 2020/21
UTANGULIZI
1.          Mheshimiwa Spika, naomba kutoa hoja kwamba Bunge lako Tukufu lipokee na kujadili Taarifa ya Hali ya Uchumi wa Taifa kwa Mwaka 2019 na Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa Mwaka 2020/21. Pamoja na hotuba hii ninawasilisha vitabu vya Taarifa ya Hali ya Uchumi wa Taifa kwa...

 

10 years ago

Habarileo

Muswada wa habari waondolewa bungeni

WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Rais, Kazi Maalumu, Profesa Mark MwandosyaSERIKALI imeondoa muswada wa Sheria ya Haki ya Upatikanaji Habari wa mwaka 2015, uliokuwa usomwe kwa mara ya pili bungeni na hivyo utasubiri hadi Bunge jipya litakapokaa, baada ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba.

 

10 years ago

Mtanzania

Muswada wa habari kuwasilishwa bungeni

Na Debora Sanja, Dodoma
HATIMAYE Muswada wa Sheria ya kupata Habari na Muswada wa Sheria ya Vyombo vya Habari ya Mwaka 2015, inatarajiwa kuwasilishwa bungeni katika mkutano wa 19 wa Bunge unaoanza leo mjini hapa.
Miswada hiyo inatarajiwa kuwasilishwa kwa hati ya dharura na inakusudiwa kupitishwa na Bunge katika hatua zake zote.
Kwa mujibu wa ratiba iliyotolewa mjini hapa jan,a mbali na miswada hiyo kuwasilishwa, pia miswada mingine minne inatarajiwa kuwasilishwa kwa hati ya dharura.
“Miswada...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani