Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Muswada wa habari kuwasilishwa bungeni

Na Debora Sanja, Dodoma
HATIMAYE Muswada wa Sheria ya kupata Habari na Muswada wa Sheria ya Vyombo vya Habari ya Mwaka 2015, inatarajiwa kuwasilishwa bungeni katika mkutano wa 19 wa Bunge unaoanza leo mjini hapa.
Miswada hiyo inatarajiwa kuwasilishwa kwa hati ya dharura na inakusudiwa kupitishwa na Bunge katika hatua zake zote.
Kwa mujibu wa ratiba iliyotolewa mjini hapa jan,a mbali na miswada hiyo kuwasilishwa, pia miswada mingine minne inatarajiwa kuwasilishwa kwa hati ya dharura.
“Miswada...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Muswada wa Vyombo vya Habari kuwasilishwa

MKUTANO wa 19 wa Bunge unatarajiwa kuendelea leo mjini Dodoma, ambapo mambo mbalimbali yatajadiliwa ukiwemo, Muswada wa Sheria ya Vyombo vya Habari wa mwaka 2015 na Muswada wa Sheria ya Kupata Habari wa mwaka 2015.

 

10 years ago

Mwananchi

Miswada miwili ya habari kuwasilishwa ‘kimafia’ bungeni

Licha ya wadau wa habari kuwasilisha ombi kwa Spika wa Bunge, Anne Makinda wakitaka miswada miwili ya habari ya mwaka 2015 iwasilishwe kwa mfumo wa kawaida, Serikali imeing’ang’ania huku ikisema itawasilishwa chini ya hati ya dharura Jumanne ijayo.

 

10 years ago

Habarileo

Muswada wa habari waondolewa bungeni

WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Rais, Kazi Maalumu, Profesa Mark MwandosyaSERIKALI imeondoa muswada wa Sheria ya Haki ya Upatikanaji Habari wa mwaka 2015, uliokuwa usomwe kwa mara ya pili bungeni na hivyo utasubiri hadi Bunge jipya litakapokaa, baada ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba.

 

10 years ago

Mtanzania

Muswada wa habari waondolewa bungeni

agNa Fredy Azzah, Dodoma

HATIMAYE Serikali imekubali kuuondoa muswada wa habari na ule wa vyombo vya habari iliyopangwa kuwasilishwa kwa hati ya dharura na badala yake itasomwa kwa mara ya kwanza kisha wadau watapata nafasi ya kuijadili.

Ratiba ya awali ilionyesha kuwa Machi 31, mwaka huu Serikali ilitarajiwa kuwasilisha muswada wa Sheria ya kupata Habari wa mwaka 2015 na ule wa Vyombo vya Habari wa mwaka 2015 yote kwa hati ya dharura.

Ratiba iliyotolewa jana ilikuwa haina miswada hiyo,...

 

10 years ago

Vijimambo

SERIKALI YAUONDOA MUSWADA WA HABARI BUNGENI

Waziri wa nchi ofisi ya rais (kazi maalumu) Prof Mark Mwandosya(picha kutoka Maktaba)


Serikali imeuondoa muswaada wa sheria ya haki ya kupata habari 2015 uliokuwa uwasilisilishwe na kujadiliwa katika mkutano unaoendelea wa bunge mjini Dodoma ili kutoa nafasi kwa wadau kutoa maoni yao.

Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais (asiye na wizara maalum) Prof Mark Mwandosya ameliambia bunge leo asubuhi kuwa serikali imefikia uamuzi huo kutokana na maoni ya kamati ya kudumu ya bunge ya maendeleo ya jamiii...

 

11 years ago

Habarileo

Muswada wa vyombo vya habari kufikishwa bungeni

Juma NkamiaMUSWADA wa Sheria ya Kusimamia Vyombo vya Habari umekamilika baada ya kupitia hatua zote muhimu na unatarajia kufikishwa bungeni wakati wowote mwaka huu.

 

10 years ago

Mwananchi

Wadau wapania kukwamisha Muswada wa Habari bungeni

>Jopo la wadau wa habari kutoka asasi, taasisi na vyombo vya habari nchini, limepanga kuwatumia wabunge kuwashawishi wakatae kupitisha muswada wa sheria ya habari uliopangwa kuwasilishwa bungeni kwa hati ya dharura.

 

10 years ago

Mwananchi

Moat yatuma timu bungeni kupinga muswada wa habari

>Chama cha Wamiliki wa vyombo vya Habari Tanzania (Moat) kimeunda timu maalumu itakayokwenda bungeni  Dodoma kuwashawishi wabunge wasiupitishe muswada wa sheria wa vyombo vya habari baada ya kubaini umejaa kasoro.

 

10 years ago

BBCSwahili

Ripoti ya ufisadi kuwasilishwa bungeni

Kamati ya kudumu ya bunge ya Hesabu za Serikali, inatarajiwa kuwasilisha bungeni leo ripoti ya uchunguzi kuhusu sakata la ufisadi

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani