Muswada wa kodi, ushuru watua bungeni
SERIKALI imewasilisha bungeni muswada wa Sheria ya Fedha ya Mwaka 2015 wenye lengo la kuzifanyia marekebisho sheria 16 zinazohusu masuala ya fedha, kodi, ushuru na tozo mbalimbali nchini.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo20 Mar
Muswada wa udhibiti silaha watua bungeni
SERIKALI imewasilisha Muswada wa Sheria ya Usimamizi na Udhibiti wa Silaha na Risasi wa mwaka 2014 bungeni, ambao pamoja na kuweka kikomo cha umri wa kumiliki silaha, pia umepiga marufuku na kudhibiti uingizwaji na uuzwaji wa silaha bandia nchini.
10 years ago
Habarileo23 Mar
Muswada sheria ya malipo ya fedha watua bungeni
SERIKALI itawasilisha muswada wa sheria ya mifumo ya malipo ya fedha ambayo itasimamia mifumo ya malipo ya elektroniki, ikiwemo utumaji wa fedha kwa kutumia simu za kiganjani.
11 years ago
Tanzania Daima29 Jun
Muswada wa kodi Novemba
SERIKALI imesema italeta bungeni muswada wa Kodi ya Ongezeko la Thamani (VAT) Novemba ili Bunge liweze kuupitisha kuwa sheria. Kauli hiyo ilitolewa bungeni mjini hapa jana na Waziri wa Fedha...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-x19a3hd2EvM/VcAseKo150I/AAAAAAAHts0/RISIqPIdMyE/s72-c/dar%252Bport.jpg)
MAKALA YA SHERIA: IJUE NAMNA YA KUPATA MSAMAHA WA KODI NA USHURU BANDARINI.
![](http://4.bp.blogspot.com/-x19a3hd2EvM/VcAseKo150I/AAAAAAAHts0/RISIqPIdMyE/s640/dar%252Bport.jpg)
11 years ago
Mwananchi20 Dec
Rais asaini muswada kuondoa kodi ya simu
10 years ago
Habarileo27 Jun
Muswada wa habari waondolewa bungeni
SERIKALI imeondoa muswada wa Sheria ya Haki ya Upatikanaji Habari wa mwaka 2015, uliokuwa usomwe kwa mara ya pili bungeni na hivyo utasubiri hadi Bunge jipya litakapokaa, baada ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba.
10 years ago
Mtanzania28 Mar
Muswada wa habari waondolewa bungeni
Na Fredy Azzah, Dodoma
HATIMAYE Serikali imekubali kuuondoa muswada wa habari na ule wa vyombo vya habari iliyopangwa kuwasilishwa kwa hati ya dharura na badala yake itasomwa kwa mara ya kwanza kisha wadau watapata nafasi ya kuijadili.
Ratiba ya awali ilionyesha kuwa Machi 31, mwaka huu Serikali ilitarajiwa kuwasilisha muswada wa Sheria ya kupata Habari wa mwaka 2015 na ule wa Vyombo vya Habari wa mwaka 2015 yote kwa hati ya dharura.
Ratiba iliyotolewa jana ilikuwa haina miswada hiyo,...
10 years ago
Mwananchi30 Jun
Wabunge 33 wapitisha muswada bungeni
10 years ago
Mtanzania17 Mar
Muswada wa habari kuwasilishwa bungeni
Na Debora Sanja, Dodoma
HATIMAYE Muswada wa Sheria ya kupata Habari na Muswada wa Sheria ya Vyombo vya Habari ya Mwaka 2015, inatarajiwa kuwasilishwa bungeni katika mkutano wa 19 wa Bunge unaoanza leo mjini hapa.
Miswada hiyo inatarajiwa kuwasilishwa kwa hati ya dharura na inakusudiwa kupitishwa na Bunge katika hatua zake zote.
Kwa mujibu wa ratiba iliyotolewa mjini hapa jan,a mbali na miswada hiyo kuwasilishwa, pia miswada mingine minne inatarajiwa kuwasilishwa kwa hati ya dharura.
“Miswada...