Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Nigeria: afisa wa usalama apekuliwa

Nyumba za mshauri wa zamani wa usalama Nigeria zavamiwa kwa upekuzi

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Afisa jela kuhatarisha usalama wa ndege

Afisa mtendaji wa zamani wa shirika la ndege la Korea amefungwa jela kwa kosa la kuhatarisha usalama wa ndege

 

10 years ago

GPL

AFISA USALAMA FEKI, SILAHA ZAKAMATWA NA POLISI

Baadhi ya silaha zilizokamatwa na jeshi la polisi. Kamanda Suleiman Kova akionyesha  silaha zilizokamatwa kwa wanahabari (hawapo pichani).…

 

11 years ago

Michuzi

ASHIKILIWA NA JESHI LA POLISI KWA KUJIFANYA AFISA USALAMA WA TAIFA

Kijana aliyetambulika kwa jina la Musa Mbeko(24) anayedaiwa kuwa ni mwandishi wa habari mkoani Tabora akiwa mikononi mwa Jeshi la Polisi mkoani humo baada ya kujifanya kuwa ni afisa kutoka idara ya usalama wa taifa (TISS).kijana huyo inadaiwa aliwahi kufanya kazi kituo cha radio cha Voice of Tabora (VOT) kinachomilikiwa na mbunge wa Jimbo la Tabora mjini,Ismail Rage,hata hivyo Uongozi wa VOT umekana kijana huyo kuwa ni mwandishi wao na kwamba ulikwisha mfukuza kutokana na makosa...

 

10 years ago

Michuzi

JAJI MKUU AKIWA KATIKA PICHA NA AFISA WA USALAMA WA UMOJA WA MATAIFA

Jaji Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania , Mhe. Mohamed Chande Othman akiwa na Mlinzi wa Usalama katika Umoja wa Mataifa, Afisa Ally Baruti kutoka Tanzania, Mhe. Jaji Mkuu yupo hapa Umoja wa Mataifa akiongoza Jopo Huru la Wataalam wanaopitia na kuchambua taarifa mpya kuhusu kifo cha Bw. Dag Hammarskjold ambaye aliwahi kuwa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa. Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Ban Ki Moon alimteua Mhe. Jaji Mkuu kuongoza jopo hilo mwezi uliopita, ...

 

9 years ago

BBCSwahili

Nigeria yamkamata afisa aliyeiba pesa

Wakuu nchini Nigeria wamemkamata afisa wa zamani anayeshtumiwa kuiba dola bilioni mbili zilizonuiwa kupambana na Boko Haram

 

9 years ago

BBCSwahili

Afisa wa soka Nigeria auawa kwa risasi

Afisa wa shirikisho la soka la Nigeria Ibrahim Abubakar amepigwa risasi na kuuawa kwenye nyumba yake mjini Abuja.

 

5 years ago

BBCSwahili

Afisa wa juu wa Shirikisho la Soka Nigeria ahojiwa kwa madai ya ubadhirifu wa pesa

Makamu rais wa Shirikisho la Soka Nigeria, Seyi Akinwunmi, aachiliwa na tume ya kupambana na ufisadi baada ya kuhojiwa.

 

11 years ago

BBCSwahili

Usalama wa Nigeria kuangaziwa Ufaransa

Rais wa Ufaransa Franswa Hollande anaanda mkutano hii leo mjini Paris kuangazia hali ya usalama nchini Nigeria.

 

10 years ago

BBCSwahili

Hali ya usalama nchini Nigeria

BBC inaendelea kukujuza takwimu muhimu kabla ya uchaguzi mkuu ulioratibiwa kufanyika tarehe 28 Machi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani