Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Madai ya ufisadi dhidi ya FIFA yatolewa

Madai mapya ya ufisadi yametolewa dhidi ya shirikisho la soka duniani FIFA kuhusiana na maandalizi ya Qatar.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

FIFA:Madai mapya ya ufisadi yazuka

Madai mapya ya ufisadi uliofanyika wakati wa shughuli ya kuwatafuta waandalizi wa kombe la dunia la mwaka 2018 na 2022 yamezuka

 

10 years ago

BBCSwahili

Chanjo dhidi ya Ebola yatolewa

Wanasayansi kutoka Chuo kikuu cha Oxford wameaza kutoa chanjo dhidi ya Ebola kwa binaadamu kwa mara ya kwanza

 

9 years ago

BBCSwahili

Lamorde akanusha madai ya ufisadi

Mkurugenzi mkuu wa shirika la kupambana na ufisadi nchini Nigeria akanusha madai kuwa zaidi ya $5bn zimetoweka kutoka shirika hilo

 

11 years ago

BBCSwahili

Madai ya ufisadi yakumba soka ya Ghana

Shirikisho la soka nchini Ghana limewataka maafisa wa polisi kuingilia kati baada ya madai ya ufisadi kukumba mmoja wa afisa wake.

 

10 years ago

BBCSwahili

FIFA:Webb akanusha mashtaka ya ufisadi

Makamu wa rais wa zamani wa shirikisho la Soka duniani FIFA Jeffery Webb amekanusha mashtaka ya ufisadi mbele ya mahakama mjini New York.

 

10 years ago

BBCSwahili

Ufisadi:FIFA yamtetea Jerome Valcke

Shirikisho la kandanda duniani,FIFA, limekanusha madai kwamba katibu wao mkuu,Jerome Valcke,alihusika katika kashfa ya ufisadi ambapo hongo ya mamilioni ya dola ilitolewa.

 

9 years ago

BBCSwahili

Maafisa 16 wa FIFA kizimbani kwa ufisadi

Waendesha mashtaka nchini Marekani wametangaza mashtaka mapya dhidi ya maafisa wapatao kumi na sita wa shirikisho la kandanda duniani FIFA kwa kuhusika na tuhuma za rushwa baada ya uchunguzi ndani ya shirikisho hilo.

 

10 years ago

BBCSwahili

Jack Warner aapa kufichua ufisadi FIFA

Aliyekuwa makamu wa rais wa FIFA Jack Warner amesema atafichua kila anachojua kuhusu ufisadi katika shirikisho hilo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani