FIFA:Webb akanusha mashtaka ya ufisadi
Makamu wa rais wa zamani wa shirikisho la Soka duniani FIFA Jeffery Webb amekanusha mashtaka ya ufisadi mbele ya mahakama mjini New York.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili22 Sep
Jack Warner akanusha mashtaka yake
Mwanasheria Mkuu wa Serikali ya Trinidad na Tobago ametoa kibali juu ya kesi iliyofunguliwa na Marekani dhidi ya aliyekuwa Makamu wa Rais wa FIFA Jack Warner
9 years ago
BBCSwahili27 Aug
Lamorde akanusha madai ya ufisadi
Mkurugenzi mkuu wa shirika la kupambana na ufisadi nchini Nigeria akanusha madai kuwa zaidi ya $5bn zimetoweka kutoka shirika hilo
11 years ago
BBCSwahili01 Jun
Madai ya ufisadi dhidi ya FIFA yatolewa
Madai mapya ya ufisadi yametolewa dhidi ya shirikisho la soka duniani FIFA kuhusiana na maandalizi ya Qatar.
10 years ago
BBCSwahili30 Nov
FIFA:Madai mapya ya ufisadi yazuka
Madai mapya ya ufisadi uliofanyika wakati wa shughuli ya kuwatafuta waandalizi wa kombe la dunia la mwaka 2018 na 2022 yamezuka
10 years ago
BBCSwahili02 Jun
Ufisadi:FIFA yamtetea Jerome Valcke
Shirikisho la kandanda duniani,FIFA, limekanusha madai kwamba katibu wao mkuu,Jerome Valcke,alihusika katika kashfa ya ufisadi ambapo hongo ya mamilioni ya dola ilitolewa.
9 years ago
BBCSwahili04 Dec
Maafisa 16 wa FIFA kizimbani kwa ufisadi
Waendesha mashtaka nchini Marekani wametangaza mashtaka mapya dhidi ya maafisa wapatao kumi na sita wa shirikisho la kandanda duniani FIFA kwa kuhusika na tuhuma za rushwa baada ya uchunguzi ndani ya shirikisho hilo.
10 years ago
BBCSwahili04 Jun
Jack Warner aapa kufichua ufisadi FIFA
Aliyekuwa makamu wa rais wa FIFA Jack Warner amesema atafichua kila anachojua kuhusu ufisadi katika shirikisho hilo.
10 years ago
Africanjam.Com![](http://1.bp.blogspot.com/-5NjO-_VYVXo/VW3skJ7QijI/AAAAAAAAB4g/u7uMJuZpdSI/s72-c/CGFqQnjWMAA-3Wu.jpg)
RAISI WA FIFA SEPP BLATTER AJIUZULU KUFUATIA KASHFA YA UFISADI
![](http://1.bp.blogspot.com/-5NjO-_VYVXo/VW3skJ7QijI/AAAAAAAAB4g/u7uMJuZpdSI/s400/CGFqQnjWMAA-3Wu.jpg)
Rais wa shirikisho la soka duniani FIFA Sepp Blatter amejiuzulu kama rais wa shirikisho hilo kufuatia kashfa ya ufisadi.Akitangaza kujiuzulu,kwake Sepp Blatter mwenye umri wa miaka 79 ameitisha kikao cha dharura mara moja ili kumchagua rais mpya.Blatter alichaguliwa tena wiki iliopita licha ya maafisa wake saba wakuu kukamatwa siku mbili kabla ya uchaguzi .
![](http://1.bp.blogspot.com/-h7zsaeBgLMw/VW3retfdFmI/AAAAAAAAB4M/4VXz4CMEQe0/s640/CGGF8qHWIAAPXh4.jpg)
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania