Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


FIFA:Webb akanusha mashtaka ya ufisadi

Makamu wa rais wa zamani wa shirikisho la Soka duniani FIFA Jeffery Webb amekanusha mashtaka ya ufisadi mbele ya mahakama mjini New York.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Jack Warner akanusha mashtaka yake

Mwanasheria Mkuu wa Serikali ya Trinidad na Tobago ametoa kibali juu ya kesi iliyofunguliwa na Marekani dhidi ya aliyekuwa Makamu wa Rais wa FIFA Jack Warner

 

9 years ago

BBCSwahili

Lamorde akanusha madai ya ufisadi

Mkurugenzi mkuu wa shirika la kupambana na ufisadi nchini Nigeria akanusha madai kuwa zaidi ya $5bn zimetoweka kutoka shirika hilo

 

11 years ago

BBCSwahili

Madai ya ufisadi dhidi ya FIFA yatolewa

Madai mapya ya ufisadi yametolewa dhidi ya shirikisho la soka duniani FIFA kuhusiana na maandalizi ya Qatar.

 

10 years ago

BBCSwahili

FIFA:Madai mapya ya ufisadi yazuka

Madai mapya ya ufisadi uliofanyika wakati wa shughuli ya kuwatafuta waandalizi wa kombe la dunia la mwaka 2018 na 2022 yamezuka

 

10 years ago

BBCSwahili

Ufisadi:FIFA yamtetea Jerome Valcke

Shirikisho la kandanda duniani,FIFA, limekanusha madai kwamba katibu wao mkuu,Jerome Valcke,alihusika katika kashfa ya ufisadi ambapo hongo ya mamilioni ya dola ilitolewa.

 

9 years ago

BBCSwahili

Maafisa 16 wa FIFA kizimbani kwa ufisadi

Waendesha mashtaka nchini Marekani wametangaza mashtaka mapya dhidi ya maafisa wapatao kumi na sita wa shirikisho la kandanda duniani FIFA kwa kuhusika na tuhuma za rushwa baada ya uchunguzi ndani ya shirikisho hilo.

 

10 years ago

BBCSwahili

Jack Warner aapa kufichua ufisadi FIFA

Aliyekuwa makamu wa rais wa FIFA Jack Warner amesema atafichua kila anachojua kuhusu ufisadi katika shirikisho hilo.

 

10 years ago

Africanjam.Com

RAISI WA FIFA SEPP BLATTER AJIUZULU KUFUATIA KASHFA YA UFISADI



Rais wa shirikisho la soka duniani FIFA Sepp Blatter amejiuzulu kama rais wa shirikisho hilo kufuatia kashfa ya ufisadi.Akitangaza kujiuzulu,kwake Sepp Blatter mwenye umri wa miaka 79 ameitisha kikao cha dharura mara moja ili kumchagua rais mpya.Blatter alichaguliwa tena wiki iliopita licha ya maafisa wake saba wakuu kukamatwa siku mbili kabla ya uchaguzi .
Lakini alisema kuwa mamlaka yake hayaungwi mkono na kila mtu. Shirikisho la FIFA lilikumbwa na mgogoro wa kukamatwa kwa maafisa wake...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani