Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kijiwe: Landani uwe mji mkuu wa Bongo

BAADA ya kijiwe kugundua kuwa mkuu anapata sana taabu kukesha kwenye pipa akienda kueleza na kupokea sera kule Landani, kimependekeza Landani uwe mji mkuu wa Bongo. Leo hakuna maroroso wala...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Mafuriko yakumba mji mkuu wa Ghana

Mafuriko yamerudi tena katika mji mkuu wa Ghana ,Accra baada ya saa mbili za mvua kubwa mapema siku ya Ijumaa kulingana na mwandishi wa BBC Sammy Darko.

 

9 years ago

BBCSwahili

Jeshi la Burkina Faso lawasili mji mkuu

Jeshi la Burkina Faso limewasili Ouagadougou likilenga kushurutisha walinzi wa rais waliopindua serikali kusalimu amri.

 

9 years ago

BBCSwahili

Wanajeshi Burkina Faso walenga mji mkuu

Wakuu wa jeshi la Burkina Faso wametangaza kwamba wanaelekea Ouagadougou na kuwataka walioongoza mapinduzi kuweka silaha chini.

 

9 years ago

BBCSwahili

Raia wafagia mji mkuu Burkina Faso

Raia wamejitokea Ouagadougou kuufagia mji huo baada ya wiki ya maandamano yaliyosababishwa na mapinduzi ya serikali.

 

11 years ago

BBCSwahili

Rais wa Ukrain auhama mji mkuu wa Kiev

Rais wa Ukrain Victor Yanukovych ameondoka mjini kiev na anadaiwa kuwa mashariki mwa taifa hilo.

 

10 years ago

Dewji Blog

Mingurumo ya pikipiki yapamba hewa ya mji mkuu

Na Abou Shatry Swahilivilla Blog Washington DC

Kila ifikapo wikiendi ya Siku Ya Mashujaa nchini Marekani, maelfu ya mapikipiki na watazamaji humiminika katika barabara za jiji la Washington kushuhudia mtiririko wa ngurumo za mapikipiki katika kile waanadalizi wanachokiita kama na “Ride for Freedom” (Kuendesha kwa ajili ya Uhuru”. Ada hii ilianzia mwaka 1988 ikiwa na lengo la kuwakumbuka na kuwaenzi mashujaa wa kijeshi waliohai na waliokufa au kupotea vitani.

Polisi wa Mji Mkuu Washington...

 

11 years ago

Michuzi

Ijue Guinea ya Ikweta na mji mkuu wake, malabo

Jamhuri ya Guinea ya Ikweta ni nchi iliyopo magharibi Afrika ya Kati. Ni nchi mojawapo ndogo kwa bara la Afrika.Imepakana na Kamerun upande wa kaskazini, Gabon kusini na mashariki, na Guba la Guinea magharibi, ambapo kisiwa cha São Tomé na Príncipe chapatikana kusini-magharibi mwa Guinea ya ikweta. Ilikuwa koloni ya Uhispania ambapo iliitwa Guinea ya Uhispania, na eneo zake ambazo zajulikana (kwa bara kama Río Muni) za husu eneo kadhaa visiwa, na pia kisiwa kama Bioko ambapo mji mkuu humo,...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani