Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Milipuko miwili yatikisa Mugadishu

Magari mawili yamelipuka nje ya hoteli moja katika mji mkuu wa Somalia Mogadishu na kuwaua watu 10

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Maandamano na milipuko yatikisa Congo Brazzaville

Milipuko imesikika katika mji mkuu wa Congo, Brazzaville, kufuatia maandamano makubwa yaliyoitishwa kupinga rais Sassou Nguesso kuwania muhula wa tatu.

 

11 years ago

BBCSwahili

Milipuko yatikisa mji wa Cairo, Misri

Mabomu mawili madogo yamelipuka karibu na mji mkuu wa Misri, Cairo na kuwajeruhi maafisa sita wa polisi

 

11 years ago

BBCSwahili

Milipuko miwili yaitikisa Cairo

Mabomu mawili yamelipuka karibu na mji mkuu wa Misri, Cairo katika daraja linalopita juu ya kizuizi cha polisi.

 

11 years ago

IPPmedia

Milipuko miwili ya mabomu yaitikisa Zanzibar


IPPmedia
Milipuko miwili ya mabomu yaitikisa Zanzibar
IPPmedia
Milipuko miwili imetokea leo Zanzibar maeneo tofauti na kuzua hofu, mmoja katika Hoteli ya Kitalii ya Mercury iliyopo eneo la Forodhani na kwenye lango la kanisa Kuu la Anglikana eneo la Mkunazini. Home » Editorial ...

 

11 years ago

BBCSwahili

Milipuko miwili yatokea,Gikomba, Nairobi

Milipuko miwili ya maguruneti imetokea katika Soko kubwa zaidi nchini Kenya la Gikomba linalopakana na mtaa wa Easteleigh

 

11 years ago

BBCSwahili

Milipuko miwili yakumba mji moja Nigeria

Mji wa Maiduguri uliopo kazkazini mwa Nigeria wakumbwa na milipuko miwili huku ripoti zikiarifu kwamba watu kumi wameuawa

 

10 years ago

Mtanzania

10 wakamatwa na milipuko msikitini

IMG-20150415-WA0015Na Ramadhan Libenanga, Morogoro

JESHI la Polisi mkoani Morogoro, linawashikilia watu 10 waliokamatwa msikitini wakiwa na vifaa mbalimbali, ikiwamo milipuko 30, sare za Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) na bendera nyeusi.
Akizungumza na waandishi wa habari mjini hapa jana, Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Morogoro, Leonald Paul alisema tukio hilo lilitokea Aprili 14, mwaka huu saa 3.30 usiku katika Kitongoji cha Nyandero, Tarafa ya Kidadu wilayani Kilombero.
Kamanda Paul alisema watu hao...

 

10 years ago

Habarileo

Mrundi akamatwa na milipuko

RAIA wa Burundi amekamatwa mkoani Morogoro akituhumiwa kukutwa na vifaa vya milipuko na vyombo vingine vya kufanyia uhalifu.

 

11 years ago

BBCSwahili

Milipuko yarindima Zanzibar

Milipuko minne imetokea katika maeneo tofauti mjini Zanzibar leo

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani