Mrundi akamatwa na milipuko
RAIA wa Burundi amekamatwa mkoani Morogoro akituhumiwa kukutwa na vifaa vya milipuko na vyombo vingine vya kufanyia uhalifu.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi17 Aug
Hatima ya Mrundi wa Simba
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/LoK3NXOIwpH*N*3Pyle0kKvpZYXVlFTqMaDCOWBFzX4bGHyEWkMYOOEvEF0fjXPk*0lV0OBe*61PcU8vjfzUeb*f7Gt83TIf/WAZUNGU.gif?width=650)
Wazungu wamvamia Mrundi wa Simba
9 years ago
Habarileo15 Dec
Mrundi akutwa na kitambulisho cha kura
POLISI mkoani Kigoma imemkamata mkimbizi wa Burundi akiwa na kadi ya kupigia kura akijiandikisha kama raia wa Tanzania na kukutwa na kadi za vyama mbalimbali za kuomba kugombea ubunge katika majimbo tofauti nchini.
10 years ago
Habarileo13 Jun
Mkenya, Mrundi jela kwa wizi wa gari, mafuta
RAIA wa Kenya na mwingine wa Burundi waliokuwa wakikabiliwa na kesi ya wizi wa gari na mafuta ya petroli wamehukumiwa kwenda jela mwaka mmoja kila mmoja, huku Watanzania watatu wakiachiwa huru kwa kukosekana ushahidi.
11 years ago
BBCSwahili24 Feb
10 years ago
Mtanzania16 Apr
10 wakamatwa na milipuko msikitini
Na Ramadhan Libenanga, Morogoro
JESHI la Polisi mkoani Morogoro, linawashikilia watu 10 waliokamatwa msikitini wakiwa na vifaa mbalimbali, ikiwamo milipuko 30, sare za Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) na bendera nyeusi.
Akizungumza na waandishi wa habari mjini hapa jana, Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Morogoro, Leonald Paul alisema tukio hilo lilitokea Aprili 14, mwaka huu saa 3.30 usiku katika Kitongoji cha Nyandero, Tarafa ya Kidadu wilayani Kilombero.
Kamanda Paul alisema watu hao...
10 years ago
BBCSwahili15 Mar
Milipuko yalenga makanisa Pakistan
10 years ago
BBCSwahili06 May
Milipuko yatokea jeshini Sudan
9 years ago
BBCSwahili03 Oct
Milipuko ya bomu yawaua 15 Nigeria