Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wazungu wamvamia Mrundi wa Simba

Amissi Cedric. Na Mwandishi Wetu
WAKATI Simba imeshaanza harakati za kumnasa Amissi Cedric ili ajiunge nayo msimu ujao, kuna taarifa timu za Ubelgiji na Ulaya Mashariki zimeanza mipango ya kumnasa. Cedric, raia wa Burundi, anayekipiga katika kikosi cha Rayon Sports ya Rwanda, amekuwa kivutio kwa Simba tangu msimu uliopita na siku chache zilizopita ilifanya naye mazungumzo baada ya kuja nchi akiwa na timu yake ya taifa ya...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

Hatima ya Mrundi wa Simba

Rais wa Simba, Evance Aveva amesema hatima ya usajili wa Mrundi, Kelvin Ndayisenga itajulikana leo baada ya majadiliano kuhusu kiwango cha fedha anachotaka.

 

10 years ago

Habarileo

Mrundi akamatwa na milipuko

RAIA wa Burundi amekamatwa mkoani Morogoro akituhumiwa kukutwa na vifaa vya milipuko na vyombo vingine vya kufanyia uhalifu.

 

9 years ago

Habarileo

Mrundi akutwa na kitambulisho cha kura

POLISI mkoani Kigoma imemkamata mkimbizi wa Burundi akiwa na kadi ya kupigia kura akijiandikisha kama raia wa Tanzania na kukutwa na kadi za vyama mbalimbali za kuomba kugombea ubunge katika majimbo tofauti nchini.

 

10 years ago

Habarileo

Mkenya, Mrundi jela kwa wizi wa gari, mafuta

RAIA wa Kenya na mwingine wa Burundi waliokuwa wakikabiliwa na kesi ya wizi wa gari na mafuta ya petroli wamehukumiwa kwenda jela mwaka mmoja kila mmoja, huku Watanzania watatu wakiachiwa huru kwa kukosekana ushahidi.

 

11 years ago

Habarileo

Abiria wa treni wamvamia RC

ZAIDI ya abiria 500 waliokuwa wakisafiri kwa treni kutoka Kigoma kwenda Dar es Salaam jana waliandamana hadi Ofisi za Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Dk Rehema Nchimbi wakitaka watafutiwe usafiri mbadala baada ya kukwama stesheni mbalimbali kwa zaidi ya siku saba.

 

10 years ago

Mtanzania

Mashabiki wamvamia Diamond Zanzibar

Diamond-PlatnumzNA FESTO POLEA, ZANZIBAR
KATIKA hali isiyotarajiwa askari wanaolinda katika Tamasha la Sauti za Busara walijikuta wakifanya kazi ya ziada kutawanya idadi kubwa ya mashabiki wa msanii, Nassib Abdul (Diamond), baada ya kumvamia walipomuona katika eneo hilo akiwa na mpenzi wake, Zari.
Mashabiki hao walimvamia msanii huyo na mpenzi wake kwa lengo la kupiga naye picha na wengine wakitaka kumsalimu kwa kumkumbatia lakini kutokana na kila shabiki kutaka kupata nafasi hiyo kwa haraka wakajikuta...

 

11 years ago

Habarileo

Wananchi wamvamia mlinzi, wamjeruhi

MLINZI wa Tanzania Plantation, Hamis Michael (25) amejeruhiwa sehemu ya kichwani na kuumizwa kidole cha mkono cha mwisho kwa kukatwa na mapanga na wakazi wa kijiji cha Msitu wa Mbogo.

 

11 years ago

Mwananchi

Wamvamia mwekezaji, waharibu mali

>Zaidi ya wananchi 200 wamevamia shamba la mwekezaji mwenye asili ya Asia, Pradeep Lodhia na kufanya uharibifu mkubwa ikiwamo kuvunja nyumba za wafanyakazi na kuharibu mali mbalimbali zilizokuwa shambani kwa madai kuwa shamba hilo ni mali yao.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Walemavu wamvamia Meya Ilala

UMOJA wa Wafanyabiashara Walemavu Dar es Salaam (UWAWADA), wamevamia ofisi za Meya wa Manispaa ya Ilala, Jerry Silaa kwa madai ya kushindwa kutekeleza ahadi ya kuwapatia maeneo ya kujenga vibanda...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani