Mrundi akutwa na kitambulisho cha kura
POLISI mkoani Kigoma imemkamata mkimbizi wa Burundi akiwa na kadi ya kupigia kura akijiandikisha kama raia wa Tanzania na kukutwa na kadi za vyama mbalimbali za kuomba kugombea ubunge katika majimbo tofauti nchini.
habarileo
Habari Zinazoendana
5 years ago
MichuziCorona isiwe Kisingizio cha kutonunua kitambulisho cha Ujasiliamali- RC Wangabo
Mh. Wangabo amekataza vitambulisho hivyo kuuzwa rejareja kwani jambo hilo huzalisha wadaiwa (defaulters) na hivyo...
5 years ago
Michuzi
MAJALIWA: HAKUNA MTANZANIA ATAKAYEKOSA KITAMBULISHO CHA TAIFA

Amesema waombaji hao watapatiwa vitambulisho hivyo baada ya wahusika kupitia maombi yao na kujiridhisha kwamba wote ni raia wa Tanzania na Serikali inafanya hivyo ili kulinda usalama wa nchi.
Waziri Mkuu ameyasema hayo leo (Ijumaa, Februari 21, 2020) wakati akizungumza katika Mkutano wa Halmashauri Kuu ya Chama Cha...
11 years ago
Michuzi
RAIS KIKWETE ALIPOKABIDHIWA KITAMBULISHO NAMBA 1 CHA USHIRIKI KATIKA MAONESHO YA 38 YA BIASHARA YA KIMATAIFA YA SABASABA (DITF) KUTOKA MAXMALIPO .

Rais. Jakaya Mrisho alipata Nafasi ya kuzungumza na Maafisa wa Maxmalipo Juu ya Mfumo wa Kieletroniki wa Ticket (e-Ticketing System) uliofungwa na Maxmalipo Katika viwanja Vya Sabasaba. Pia Mheshimiwa Rais alijionea Jinsi Mfumo huu unavyodhibiti na kuboresha...
11 years ago
Habarileo21 Mar
Akutwa amekufa choo cha kulipia
MFANYABIASHARA wa mboga mkazi wa Magomeni, Dar es Salaam, Jamhuri Ally (53) amekutwa amekufa ndani ya choo cha kulipia eneo la Kisutu, katikati ya Jiji la Dar es Salaam.
11 years ago
GPLMACHINGA AKUTWA AMEFARIKI KWENYE KITUO CHA MABASI YAENDAYO KWA KASI
11 years ago
Habarileo02 Sep
Mrundi akamatwa na milipuko
RAIA wa Burundi amekamatwa mkoani Morogoro akituhumiwa kukutwa na vifaa vya milipuko na vyombo vingine vya kufanyia uhalifu.
10 years ago
Mwananchi17 Aug
Hatima ya Mrundi wa Simba
11 years ago
GPL
Wazungu wamvamia Mrundi wa Simba
11 years ago
BBCSwahili10 Oct
Kero la kutafuta kitambulisho TZ