RAIS KIKWETE ALIPOKABIDHIWA KITAMBULISHO NAMBA 1 CHA USHIRIKI KATIKA MAONESHO YA 38 YA BIASHARA YA KIMATAIFA YA SABASABA (DITF) KUTOKA MAXMALIPO .
![](http://3.bp.blogspot.com/-1kW92Ugu4yI/U72cd1G0jvI/AAAAAAAClOM/upORAE4Bvgw/s72-c/New+Picture.png)
Rais Dr.Jakaya Mrisho Kikwete akabidhiwa kitambulisho Maalumu cha kielektoniki kwaajili ya Kuingia katika Maonesho ya 38 ya biashara ya Kimataifa ya Sabasaba kutika Kwa bwana Ahmed Lussasi Mkurugenzi uendeshaji wa kampuni ya Maxmalipo
Rais. Jakaya Mrisho alipata Nafasi ya kuzungumza na Maafisa wa Maxmalipo Juu ya Mfumo wa Kieletroniki wa Ticket (e-Ticketing System) uliofungwa na Maxmalipo Katika viwanja Vya Sabasaba. Pia Mheshimiwa Rais alijionea Jinsi Mfumo huu unavyodhibiti na kuboresha...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-DocMlwLY0Sk/Xt35G728GEI/AAAAAAALtAg/n49-yg2NHhQhmYkBD99phhVM7ylCSl1TwCLcBGAsYHQ/s72-c/Saba_Crowd1.jpg)
MAONESHO YA 44 YA KIMATAIFA YA BIASHARA YA DAR ES SALAAM (44th DITF) KUANZA JULAI 1 – 13, 2020 KATIKA UWANJA WA MAONESHO WA MWL. J.K. NYERERE
![](https://1.bp.blogspot.com/-DocMlwLY0Sk/Xt35G728GEI/AAAAAAALtAg/n49-yg2NHhQhmYkBD99phhVM7ylCSl1TwCLcBGAsYHQ/s640/Saba_Crowd1.jpg)
Lengo la Maonesho haya ni kutoa fursa ya kutafuta masoko ya...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-nN61TXATLVw/VZ0WJVSCSFI/AAAAAAAHnxQ/Ui4MhmB-sKE/s72-c/IMG_20150707_125754.jpg)
BANDA LA TAWLA KATIKA MAONESHO YA BIASHARA YA KIMATAIFA YA SABASABA
![](http://4.bp.blogspot.com/-nN61TXATLVw/VZ0WJVSCSFI/AAAAAAAHnxQ/Ui4MhmB-sKE/s640/IMG_20150707_125754.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-cXBsDagkGZ4/VZ0WJFa6AzI/AAAAAAAHnxU/Q4CJzc21eJQ/s640/IMG_20150707_125832.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-ShLKUsF6M5U/VZ0WKNRWfCI/AAAAAAAHnxg/ltEyQKf-cPM/s640/IMG_20150707_131321.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-v8-oGbvPMUY/VZ0WOU_KfRI/AAAAAAAHnxw/wpznu8aRgI0/s640/IMG_20150707_134206%2B%25282%2529.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-tEJoC3S2nPw/U7J-D5-n5SI/AAAAAAABBgA/oanR2ayhuSQ/s72-c/1.jpg)
NSSF YANG’ARA KATIKA MAONESHO YA 38 YA KIMATAIFA YA BIASHARA ‘SABASABA
![](http://2.bp.blogspot.com/-tEJoC3S2nPw/U7J-D5-n5SI/AAAAAAABBgA/oanR2ayhuSQ/s1600/1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-DO4OSSt4y7o/U7J-GZCVUbI/AAAAAAABBgo/Ylq5s7sJo20/s1600/2.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-qqnIO6flexk/U7J-Gjl5SyI/AAAAAAABBgs/3abbaRnW458/s1600/3.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-kRqXkrUnE4Q/VZMGlo3qc2I/AAAAAAAHmC4/1xtugH6DQ2c/s72-c/unnamed%2B%252828%2529.jpg)
MAHAKAMA YA TANZANIA YASHIRIKI KATIKA MAONESHO YA 39 YA BIASHARA YA KIMATAIFA ‘SABASABA’ 2015
![](http://2.bp.blogspot.com/-kRqXkrUnE4Q/VZMGlo3qc2I/AAAAAAAHmC4/1xtugH6DQ2c/s640/unnamed%2B%252828%2529.jpg)
10 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/07/12.jpg?width=650)
TASWIRA YA UZINDUZI RASMI WA MAONESHO YA 39 YA BIASHARA YA KIMATAIFA KATIKA VIWANJA VYA SABASABA DAR
10 years ago
VijimamboJESHI LA MAGEREZA LAIBUKA MSHINDI WA KWANZA KATIKA UTENGENEZAJI WA SAMANI MAONESHO YA 39 YA BIASHARA KIMATAIFA, "SABASABA", MWAKA 2015
Na; Lucas Mboje wa Jeshi la Magereza
Jeshi la Magereza limeibuka Mshindi wa kwanza kwa upande wa Utengenezaji bidhaa za Samani kwenye Maonesho ya 39 ya Biashara ya Kimataifa yanayoendelea Jijini, Dar es Salaam Maarufu "SABASABA" kwa Mwaka huu 2015.
Akizungumzia ushindi huo Kamishna...
11 years ago
Dewji Blog07 Jul
Rais Kikwete atembelea banda la TTCL maonesho ya kimataifa ya biashara
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiwa kwenye banda la TTCL kwenye maonesho ya kimataifa ya biashara maarufu kama SabaSaba alipotembelea tena jana Julai 6, 2014 baada ya ziara yake ya juzi kutokamilika kutokana na muda.
Baadhi ya wafanyakazi na viongozi wakipiga picha ya pamoja na Rais Jakaya Kikwete nje ya Banda la TTCL kwenye maonesho ya Kimataifa ya Biashara maarufu kama SabaSaba jana Juai 6, 2014.
Rais Jakaya Kikwete akipata maelezo juu ya utendaji kazi wa shughuli za mkongo wa taifa wa...
10 years ago
MichuziJAJI MKUU WA TANZANIA ATEMBELEA MAONESHO YA 39 YA BIASHARA YA KIMATAIFA ‘SABASABA, AZURU KATIKA BANDA LA MAHAKAMA YA TANZANIA, POLISI, MAGEREZA NA MENGINEYO
10 years ago
Dewji Blog08 Jul
Banda la TAWLA lang’ara maonesho ya Biashara ya Kimataifa Sabasaba
Baadhi ya watu waliohudhuria kwenye banda la chama cha wanasheria wanawake (TAWLA) kwenye maonesho ya kimataifa sabasaba.
Mkurugenzi wa Programu wa TAWLA, Naseku Kisambu akitoa maelezo kwa watu waliohudhuria banda lao kwenye maonesho ya sabasaba jinsi gani Tawla inavyosaidia kisheria.
Afisa habari wa TAWLA Goodness Mrema akitoa maelezo kwa watu waliohudhuria bandani kwao.
Mkurugenzi mtendaji wa TAWLA, Tike Mwambipile akihojiwa na mwandishi wa TBC kwenye maonesho ya kimataifa...