Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mashabiki wamvamia Diamond Zanzibar

Diamond-PlatnumzNA FESTO POLEA, ZANZIBAR
KATIKA hali isiyotarajiwa askari wanaolinda katika Tamasha la Sauti za Busara walijikuta wakifanya kazi ya ziada kutawanya idadi kubwa ya mashabiki wa msanii, Nassib Abdul (Diamond), baada ya kumvamia walipomuona katika eneo hilo akiwa na mpenzi wake, Zari.
Mashabiki hao walimvamia msanii huyo na mpenzi wake kwa lengo la kupiga naye picha na wengine wakitaka kumsalimu kwa kumkumbatia lakini kutokana na kila shabiki kutaka kupata nafasi hiyo kwa haraka wakajikuta...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

Mashabiki wamvamia Okwi apoteza pumzi

Mshambuliaji wa Yanga, Emmanuel Okwi. Na Richard Bukos, Tabora
MSHAMBULIAJI wa Yanga, Emmanuel Okwi, juzi Jumamosi alikuwa katika wakati mgumu baada ya kuvamiwa na mashabiki wa soka kwenye Uwanja wa Ally Hassan Mwinyi mjini hapa, hali iliyosababisha ashindwe kupumua vizuri.…

 

9 years ago

GPL

DIAMOND AFIKISHA MASHABIKI MIL. 1 INSTAGRAM

Nasibu Abdul 'Diamond Platnumz'. STAA wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul 'Diamond Platnumz' amefikisha mashabiki milioni moja katika ukurasa wake wa Instagram. Staa huyo anayekimbiza na ngoma yake ya Nana aliyomshirikisha staa wa muziki kutoka nchini Nigeria, Mr. Flavour amekuwa Mtanzania wa kwanza kufikisha idadi ya mashabiki hao. Diamond akiwa na mwanaye Princess Tiffah. Tovuti hii inachukua fursa hii kumpongeza Diamond a.k.a 'Baba...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Sheddy Clever: Mashabiki wamemtosa Diamond

PRODYUZA wa mkali wa muziki wa kizazi kipya nchini, Naseb Abdul ‘Diamond Platinum’, Sheddy Clever, amesema Watanzania ndio wamemuangusha msanii huyo katika harakati zake za kuwania tuzo za MTV MAMA....

 

10 years ago

Mtanzania

Mashabiki wamaliza ubishi wa Ney na Diamond

diamond nayNA MWANDISHI WETU

MASHABIKI jijini Arusha walimaliza ubishi uliokuwepo kati ya wasanii wa kizazi kipya, Elibariki Emanuel ‘Ney wa Mitego’ na Nassib Abdul ‘Diamond Platinum’ waliokuwa wakibishana stejini kupitia wimbo wao wa ‘Mapenzi pesa ama Ujuzi’.

Tukio hilo lilitokea katika Uwanja wa Sheikh Amri Abeid Jumamosi iliyopita, wakati Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa alipokuwa akitangaza nia yake ya kugombea urais.

Katika shoo yao hiyo iliyochengua mashabiki, Diamond alisimamia upande wa...

 

11 years ago

Mwananchi

Mashabiki kiduchu Zanzibar

Waandaaji wa michuano Kombe la Mapinduzi wamelalamikia kitendo cha mashabiki kuingia ‘kiduchu’ uwanjani huku wakionekana wakiishobokea zaidi timu ya Simba.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani