DIAMOND AFIKISHA MASHABIKI MIL. 1 INSTAGRAM
![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/09/diamond-pic-2.jpg)
Nasibu Abdul 'Diamond Platnumz'. STAA wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul 'Diamond Platnumz' amefikisha mashabiki milioni moja katika ukurasa wake wa Instagram. Staa huyo anayekimbiza na ngoma yake ya Nana aliyomshirikisha staa wa muziki kutoka nchini Nigeria, Mr. Flavour amekuwa Mtanzania wa kwanza kufikisha idadi ya mashabiki hao. Diamond akiwa na mwanaye Princess Tiffah. Tovuti hii inachukua fursa hii kumpongeza Diamond a.k.a 'Baba...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/qmsUgHzH5lMW6OROGs8NK6JpTmoMwk-lHTzWwjCXhJkPGTGTxYWdLc3yqkvi4mX15iWCdsQg073bQILSfxAdw9Bn4enBGVwJ/10948950_321686791362831_755237401_n.jpg)
DIAMOND AFIKISHA FOLLOWERS LAKI TANO INSTAGRAM
9 years ago
MillardAyo28 Dec
Sentensi za Wema Sepetu kwa mashabiki baada ya kuimba wimbo wa Diamond Platnumz…..#Instagram
Dec 27 mashabiki wa Diamond Platnumz walipost video ya msanii wa Bongo Movies, Wema Sepetu katika mtandao wa instagam ambayo ikionesha akiimba wimbo wa Diamond uitwao ‘Utanipenda’. Baada ya kusambaa kwa video hiyo yenye dakika 15 Wema akuchukua muda kuwajibu mashabiki hao na kuandika’Mwenzangu niache na kisauti changu ila swali la kizushi kwa hao wanaojiita […]
The post Sentensi za Wema Sepetu kwa mashabiki baada ya kuimba wimbo wa Diamond Platnumz…..#Instagram appeared first on...
9 years ago
Mtanzania17 Dec
Vanessa awashukuru mashabiki wa Instagram
NA MWANDISHI WETU
NYOTA wa muziki wa kizazi kipya nchini, Vanessa Mdee, amewashukuru mashabiki wa mtandao wa Instagram kwa kumuunga mkono na kufanya afikishe wafuasi milioni moja.
Venessa anaungana na wakali kama Diamond Platnumz, Millard Ayo, Jokate Mwegelo, Jackline Wolper na Wema Sepetu ambao ni watu maarufu wachache wenye wafuasi wengi kwenye mtandao huo.
Akiwashukuru mashabiki wake, Vanessa alisema moja ya mtaji mkubwa kwenye biashara ya muziki ni watu hivyo idadi hiyo kubwa ya wafuasi...
9 years ago
Bongo502 Nov
#Filledthedome: Mashabiki wa Cassper Nyovest wamkejeli AKA Instagram baada ya kupost picha ya show yake
![Cassper n AKA](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/09/Cassper-n-AKA-94x94.jpg)
9 years ago
Global Publishers30 Dec
WizKid azawadia mashabiki wake mil 11
Wiz Kid akizungumza kabla ya kugawa zawadi ya pesa kwa mashabiki
Kijana aliyepanda jukwaani kuimba nyimbo za Wizzy.
STAA wa Ngoma ya Ojuelegba kutoka Nigeria, Wizkid jana Desemba 29, ametoa zawadi ya pesa taslim Naira milioni 1 (sawa na Tsh. mil 10.9) kwa mashabiki wake alifanya shoo yake ya nguvu ya Industry Night kwenye Ukumbi ujulikanao kama Oriental Hotel huko Lagos Nigeria. Shoo iliyojaza na kuwavutia mashabiki kwa aina yake.
Kijana akiimba moja ya nyimbo za Wizzy
Siku chache kabla ya...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/VKfK12aD*TX5q1m7kQNKOI5-LGb4CNH3-CptmeA7Py1kTeZ3pphghNlBmLw*k3NNKLqp5Le7lbQmSn2FQK--1wzThMEtaoFJ/tempFileForShare.jpg)
ZARI UTUPIA NENO LA DIAMOND INSTAGRAM!