Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


DIAMOND AFIKISHA MASHABIKI MIL. 1 INSTAGRAM

Nasibu Abdul 'Diamond Platnumz'. STAA wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul 'Diamond Platnumz' amefikisha mashabiki milioni moja katika ukurasa wake wa Instagram. Staa huyo anayekimbiza na ngoma yake ya Nana aliyomshirikisha staa wa muziki kutoka nchini Nigeria, Mr. Flavour amekuwa Mtanzania wa kwanza kufikisha idadi ya mashabiki hao. Diamond akiwa na mwanaye Princess Tiffah. Tovuti hii inachukua fursa hii kumpongeza Diamond a.k.a 'Baba...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

DIAMOND AFIKISHA FOLLOWERS LAKI TANO INSTAGRAM

Msanii mahiri wa muziki wa kizazi kipya, Naseeb Abdul 'Diamond Platinumz'. Muonekano wa Account yake Instagram.…

 

9 years ago

MillardAyo

Sentensi za Wema Sepetu kwa mashabiki baada ya kuimba wimbo wa Diamond Platnumz…..#Instagram

Dec 27 mashabiki wa Diamond Platnumz walipost video ya msanii wa Bongo Movies, Wema Sepetu katika mtandao wa instagam ambayo ikionesha akiimba wimbo wa Diamond uitwao ‘Utanipenda’. Baada ya kusambaa kwa video hiyo yenye dakika 15 Wema akuchukua muda kuwajibu mashabiki hao na kuandika’Mwenzangu niache na kisauti changu ila swali la kizushi kwa hao wanaojiita […]

The post Sentensi za Wema Sepetu kwa mashabiki baada ya kuimba wimbo wa Diamond Platnumz…..#Instagram appeared first on...

 

9 years ago

Mtanzania

Vanessa awashukuru mashabiki wa Instagram

vanessaMdee_001_lrgNA MWANDISHI WETU

NYOTA wa muziki wa kizazi kipya nchini, Vanessa Mdee, amewashukuru mashabiki wa mtandao wa Instagram kwa kumuunga mkono na kufanya afikishe wafuasi milioni moja.

Venessa anaungana na wakali kama Diamond Platnumz, Millard Ayo, Jokate Mwegelo, Jackline Wolper na Wema Sepetu ambao ni watu maarufu wachache wenye wafuasi wengi kwenye mtandao huo.

Akiwashukuru mashabiki wake, Vanessa alisema moja ya mtaji mkubwa kwenye biashara ya muziki ni watu hivyo idadi hiyo kubwa ya wafuasi...

 

9 years ago

Bongo5

#Filledthedome: Mashabiki wa Cassper Nyovest wamkejeli AKA Instagram baada ya kupost picha ya show yake

Cassper n AKAUshindani baina ya rappers wa Afrika Kusini AKA na Cassper Nyovest sasa umehamia kwa mashabiki wao. Baada ya Cassper kuweka historia mpya Jumamosi iliyopita kwa kuwa msanii wa kwanza wa Afrika Kusini kujaza ukumbi wa The Dome peke yake wenye uwezo wa kuchukua watazamaji 20,000 mashabiki wake wamemkejeli mpinzani wake AKA kwenye mitandao ya kijamii. […]

 

9 years ago

Global Publishers

WizKid azawadia mashabiki wake mil 11

Wizkid-dashes-out-ONE-MILLION-Naira-to-fans-at-concert-1- Wiz Kid akizungumza kabla ya kugawa zawadi ya pesa kwa mashabiki
Wizkid-dashes-out-ONE-MILLION-Naira-to-fans-at-concert-8-Kijana aliyepanda jukwaani kuimba nyimbo za Wizzy.

STAA wa Ngoma ya Ojuelegba kutoka Nigeria, Wizkid jana Desemba 29, ametoa zawadi ya pesa taslim Naira milioni 1 (sawa na Tsh. mil 10.9) kwa mashabiki wake alifanya shoo yake ya nguvu ya Industry Night  kwenye Ukumbi ujulikanao kama Oriental Hotel huko Lagos Nigeria. Shoo iliyojaza na kuwavutia mashabiki kwa aina yake.

Wizkid-dashes-out-ONE-MILLION-Naira-to-fans-at-concert-11-Kijana akiimba moja ya nyimbo za Wizzy

Siku chache kabla ya...

 

10 years ago

GPL

ZARI UTUPIA NENO LA DIAMOND INSTAGRAM!

Mwanadada matata Zarina Hassan 'Zarithebosslady', ametupia neno la kumtakia kila kheri mpenzi wake Diamond Platnumz katika shoo yake ya leo usiku. Takriban dakika 45 zilizopita, Zari ametupia kwenye akaunti yake ya Intagram maneno yasemayo: Usiku huu nakutakia kila la kheri, nipo pamoja nawe kiroho ...mahabbat hayo, lol!

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani