ZARI UTUPIA NENO LA DIAMOND INSTAGRAM!
![](http://api.ning.com:80/files/VKfK12aD*TX5q1m7kQNKOI5-LGb4CNH3-CptmeA7Py1kTeZ3pphghNlBmLw*k3NNKLqp5Le7lbQmSn2FQK--1wzThMEtaoFJ/tempFileForShare.jpg)
Mwanadada matata Zarina Hassan 'Zarithebosslady', ametupia neno la kumtakia kila kheri mpenzi wake Diamond Platnumz katika shoo yake ya leo usiku. Takriban dakika 45 zilizopita, Zari ametupia kwenye akaunti yake ya Intagram maneno yasemayo: Usiku huu nakutakia kila la kheri, nipo pamoja nawe kiroho ...mahabbat hayo, lol!
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://lh6.ggpht.com/-22308T7_JHQ/VGDpQmv_2RI/AAAAAAAAfJI/DFl-pLNOf1I/s72-c/mkono%2525252Bna%2525252Bpaja.jpg)
KIMENUKA INSTAGRAM LEO, TEAM WEMA WACHARUKA, WAMWEKA MTU KATI DIAMOND BAADA YA TETESI ZA KUTOKA NA ZARI THE LADY BOSS
![](http://lh6.ggpht.com/-22308T7_JHQ/VGDpQmv_2RI/AAAAAAAAfJI/DFl-pLNOf1I/s640/mkono%2525252Bna%2525252Bpaja.jpg)
mfano JOKATE ukisema mnashot video sawa lkn matokeo yake unashot hadi behind de scene, penny...
10 years ago
Africanjam.Com![](http://2.bp.blogspot.com/-4AWazcB9U-I/VUONB6vGraI/AAAAAAAABbc/BDzktArlrlE/s72-c/Africanjam2.jpg)
TANZANIA: KUELEKEA ZARI WHITE PARTY, DIAMOND AFUNGUKA KUHUSU NDOA YAKE NA ZARI
![](http://2.bp.blogspot.com/-4AWazcB9U-I/VUONB6vGraI/AAAAAAAABbc/BDzktArlrlE/s1600/Africanjam2.jpg)
Diamond Platnumz ambae ni miongoni mwa wasanii wa muziki wanaofanya vizuri sana Africa amefunguka kuhusu Ndoa yake na mwanamama Zari, Diamond amesema kwamba atakuwa ndani ya ndoa kabla ya mwaka huu kuisha.Diamond alifunguka hayo asubuhi ya tar 1 May. 2015 katika kuipigia promo Event ya Zari All All White Party itakayofanyika tar 1 May. Tamasha hilo linatarajiwa kuacha historia ya kipekee kwa kua na kiingilio cha gharama kubwa zaidi kwani ticket za VIP zimeuzwa kwa Millioni tatu na mpaka...
10 years ago
Vijimambo08 Jan
DIAMOND APEWA OFA YA $40,000 AMWACHE ZARI, NJEMBA LAPOST SCREENSHOT YA ZARI AKILIOMBA MKWANJA!
![](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/01/10888399_10205933029869831_1858120712732123108_n.jpg)
![](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/01/1b.jpg)
![](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/01/1a.jpg)
10 years ago
GPLPOST YA ZARI KUMTAKIA HERI YA KUZALIWA WIFI YAKE YAZUA UTATA INSTAGRAM
10 years ago
Vijimambo02 Feb
POST YA ZARI KUMTAKIA HERI YA KUZALIWA WIFI YAKE YAZUA JAMBO INSTAGRAM
![](http://api.ning.com/files/2xPSDbl5pyh9l3r20vG0Iy5xgePUxs*zBI7gMtGbR-56lWab3*oRr1YfQ8LiOgvhdneGAyWNJBMmUi*cFqKQI6dZzpKzWn4Q/zari5.jpg)
Zari ambaye bado yupo Bongo, katika post yake hiyo awali aliandika 'Happy bday to my lovely shemeji wifi' ila baadaye aliamua kubadilisha baada ya baadhi ya mashabiki wake kumkosoa huku wengine wakidai anatafuta kiki na baadhi wakimtolea maneno ya kuudhi. Usahihi...
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/09/diamond-pic-2.jpg)
DIAMOND AFIKISHA MASHABIKI MIL. 1 INSTAGRAM
10 years ago
Dewji Blog02 May
Baada ya Zari All White Party, leo ni Instagram Party ndani ya Jembe Beach Mwanza Hosted by Wema Sepetu na Idirs Sultan
Na Modewji blog team
Ikiwa siku moja tu kufanyika kwa party iliyokua ikisubiriwa kwa hamu Zari All White party kufanyika jijini Dar es Salaam na kuandaliwa na Zari the Boss Lady, mchumba wa mwanamuziki nyota nchini, Diamond Platnumz ‘Chibu Dangote’, Kwa upande wake mpenzi wa zamani staa huyo, Wema Sepetu Jumamosi ya leo Mei 2, wanafanya bonge la shoo ijulikanayo kama ‘Instagram Party Mwanza, ndani ya jiji la Mwanza, katika kiota cha Jembe ni Jembe Club, akiwa na Mshindi wa Big Brother...
9 years ago
Bongo524 Oct
Akaunti ya Instagram ya Diamond Platnumz yawa ‘verified’
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/qmsUgHzH5lMW6OROGs8NK6JpTmoMwk-lHTzWwjCXhJkPGTGTxYWdLc3yqkvi4mX15iWCdsQg073bQILSfxAdw9Bn4enBGVwJ/10948950_321686791362831_755237401_n.jpg)
DIAMOND AFIKISHA FOLLOWERS LAKI TANO INSTAGRAM