Mashabiki kiduchu Zanzibar
Waandaaji wa michuano Kombe la Mapinduzi wamelalamikia kitendo cha mashabiki kuingia ‘kiduchu’ uwanjani huku wakionekana wakiishobokea zaidi timu ya Simba.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi04 May
Walalamikia posho kiduchu kucheza halaiki Zanzibar
9 years ago
Habarileo18 Aug
Mashabiki kwenda Zanzibar kuishangilia
KUNDI la mashabiki wa soka nchini limejipanga kwenda Zanzibar kushuhudia mechi ya kirafiki kati ya timu ya soka ya taifa ya wanawake, Twiga Stars na Kenya.
10 years ago
Mtanzania16 Feb
Mashabiki wamvamia Diamond Zanzibar
NA FESTO POLEA, ZANZIBAR
KATIKA hali isiyotarajiwa askari wanaolinda katika Tamasha la Sauti za Busara walijikuta wakifanya kazi ya ziada kutawanya idadi kubwa ya mashabiki wa msanii, Nassib Abdul (Diamond), baada ya kumvamia walipomuona katika eneo hilo akiwa na mpenzi wake, Zari.
Mashabiki hao walimvamia msanii huyo na mpenzi wake kwa lengo la kupiga naye picha na wengine wakitaka kumsalimu kwa kumkumbatia lakini kutokana na kila shabiki kutaka kupata nafasi hiyo kwa haraka wakajikuta...
11 years ago
Mwananchi10 Feb
CAF: Azam yashinda kiduchu
11 years ago
Tanzania Daima26 Feb
Tangasisi wasusia fidia kiduchu
WAKAZI wa Mwambani, Kata ya Tangasisi, wilayani Tanga wameelezea kutoridhishwa na fidia waliyolipwa ili kupisha ujenzi wa reli kwenye Bandari mpya ya Mwambani. Wakazi hao zaidi ya 200 wanaoishi kandokando...
9 years ago
Mwananchi09 Oct
Serikali yasema madini ‘kiduchu’ yamechimbwa
11 years ago
Tanzania Daima09 Jan
Tanzania yaongoza kwa bajeti kiduchu ya elimu
IMEELEZWA kuwa Tanzania ni nchi inayotenga bajeti ndogo katika sekta ya elimu barani Afrika ukilinganisha na nchi nyingine na kusababisha kushuka kwa kiwango cha elimu nchini. Hayo yamebainishwa jana na...
10 years ago
Mwananchi26 May
Wabunge wahoji wizara kupewa fedha kiduchu