Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wamvamia mwekezaji, waharibu mali

>Zaidi ya wananchi 200 wamevamia shamba la mwekezaji mwenye asili ya Asia, Pradeep Lodhia na kufanya uharibifu mkubwa ikiwamo kuvunja nyumba za wafanyakazi na kuharibu mali mbalimbali zilizokuwa shambani kwa madai kuwa shamba hilo ni mali yao.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Serikali ilivyouza wananchi na mali zao kwa mwekezaji

>Hivi karibuni Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Profesa Anna Tibaijuka alifika katika Kijiji cha Kapunga wilayani Mbarali na kutamka wazi kwamba mgogoro uliodumu karibu miaka 10 umesababishwa na makosa ya  watendaji wa Serikali.

 

11 years ago

Habarileo

Wanafunzi waharibu shule

WANAFUNZI wa shule ya msingi na sekondari ya St Anne Marie Academy ya Dar es Salaam, wamefanya vurugu zilizoambatana na uharibifu mkubwa wa mali ikiwamo kuvunja vioo vya magari, mabweni, madarasa na kompyuta, chanzo kikidaiwa kuwa ni hatua ya uongozi wa shule kuwapa walinzi mamlaka makubwa ya kuwaadhibu.

 

10 years ago

BBCSwahili

Islamic State waharibu mji wa Nimrod

Wanamgambo wa Islamic State wametoa kanda ya video ikiwaonyesha wakiharibu maeneo ya thamani kubwa mjini Nimrod nchini Iraq.

 

11 years ago

Habarileo

Kweleakwelea waharibu hekari 300 za mazao

Zaidi ya hekari 300 za mashamba ya mpunga katika vijiji vya Wami Luhindo, Wami Dakawa na Sagayo wilayani Mvomero mkoani, zimeharibiwa na ndege waharibifu aina ya kweleakwelea.

 

10 years ago

Habarileo

Abiria waharibu vifaa treni mpya

Waziri wa Uchukuzi, Samuel SittaSIKU chache baada ya kuzinduliwa kwa treni mpya ya abiria (Deluxe), abiria wa awali kutumia usafiri huo kutoka Dar es Salaam kwenda Kigoma, wamekosa ustaarabu na kufanya uharibifu katika baadhi ya mabehewa.

 

10 years ago

GPL

MOTO WAHARIBU BWENI LA WANAWAKE MABIBO, DAR

Wanafunzi wakiwa nje ya jengo lililoungua wakati wakitafakari pakwenda. Sehemu ya paa la jengo hilo iliyoungua. Baadhi ya vitu vilivyookolewa.…

 

11 years ago

Habarileo

Abiria wa treni wamvamia RC

ZAIDI ya abiria 500 waliokuwa wakisafiri kwa treni kutoka Kigoma kwenda Dar es Salaam jana waliandamana hadi Ofisi za Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Dk Rehema Nchimbi wakitaka watafutiwe usafiri mbadala baada ya kukwama stesheni mbalimbali kwa zaidi ya siku saba.

 

10 years ago

Mtanzania

Mashabiki wamvamia Diamond Zanzibar

Diamond-PlatnumzNA FESTO POLEA, ZANZIBAR
KATIKA hali isiyotarajiwa askari wanaolinda katika Tamasha la Sauti za Busara walijikuta wakifanya kazi ya ziada kutawanya idadi kubwa ya mashabiki wa msanii, Nassib Abdul (Diamond), baada ya kumvamia walipomuona katika eneo hilo akiwa na mpenzi wake, Zari.
Mashabiki hao walimvamia msanii huyo na mpenzi wake kwa lengo la kupiga naye picha na wengine wakitaka kumsalimu kwa kumkumbatia lakini kutokana na kila shabiki kutaka kupata nafasi hiyo kwa haraka wakajikuta...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Walemavu wamvamia Meya Ilala

UMOJA wa Wafanyabiashara Walemavu Dar es Salaam (UWAWADA), wamevamia ofisi za Meya wa Manispaa ya Ilala, Jerry Silaa kwa madai ya kushindwa kutekeleza ahadi ya kuwapatia maeneo ya kujenga vibanda...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani