Kweleakwelea waharibu hekari 300 za mazao
Zaidi ya hekari 300 za mashamba ya mpunga katika vijiji vya Wami Luhindo, Wami Dakawa na Sagayo wilayani Mvomero mkoani, zimeharibiwa na ndege waharibifu aina ya kweleakwelea.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi22 May
Kweleakwelea ni janga, inafaa washughulikiwe ipasavyo
10 years ago
MichuziWAKALA WA TAIFA WA HIFADHI YA CHAKULA (NFRA) KANDA YA DODOMA INAKABILIWA NA UFINYU WA ENEO LA KUHIFADHIA MAZAO MSIMU HUU WA UNUNUZI WA MAZAO
Vilevile Dr. Nchimbi ameelekeza ukarabati wa Maghala ya hifadhi ya “National Milling” yaliyopo eneo la Makole ambayo uwezo wake ni kuhifadhi takribani tani elfu 10 kwa ghala uwekewe mkakati ili kusaidia kuleta suluhisho la...
11 years ago
Habarileo04 Feb
Wanafunzi waharibu shule
WANAFUNZI wa shule ya msingi na sekondari ya St Anne Marie Academy ya Dar es Salaam, wamefanya vurugu zilizoambatana na uharibifu mkubwa wa mali ikiwamo kuvunja vioo vya magari, mabweni, madarasa na kompyuta, chanzo kikidaiwa kuwa ni hatua ya uongozi wa shule kuwapa walinzi mamlaka makubwa ya kuwaadhibu.
11 years ago
Mwananchi03 Mar
Wamvamia mwekezaji, waharibu mali
10 years ago
Habarileo05 Apr
Abiria waharibu vifaa treni mpya
SIKU chache baada ya kuzinduliwa kwa treni mpya ya abiria (Deluxe), abiria wa awali kutumia usafiri huo kutoka Dar es Salaam kwenda Kigoma, wamekosa ustaarabu na kufanya uharibifu katika baadhi ya mabehewa.
10 years ago
BBCSwahili12 Apr
Islamic State waharibu mji wa Nimrod
10 years ago
GPLMOTO WAHARIBU BWENI LA WANAWAKE MABIBO, DAR
9 years ago
Mwananchi30 Dec
Hekari 200 za mirungi zagunduliwa Same
11 years ago
Tanzania Daima13 Jul
Mwekezaji adaiwa kupora ardhi hekari 3,700
BAADHI ya wananchi wa Kijiji cha Bihata, Kata ya Kyebitembe Wilaya ya Muleba mkoani Kagera, wamedai kuporwa ardhi yao ipatayo hekari 3,700 na mwekezaji, Diolex Joseph. Pia wananchi hao wanalalamikia...