Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kweleakwelea ni janga, inafaa washughulikiwe ipasavyo

Gazeti hili jana liliandika kuwa ndege aina ya kweleakwelea wamevamia mikoa ya Morogoro na Dodoma na kuharibu maelfu ya ekari za mazao.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

Kweleakwelea waharibu hekari 300 za mazao

Zaidi ya hekari 300 za mashamba ya mpunga katika vijiji vya Wami Luhindo, Wami Dakawa na Sagayo wilayani Mvomero mkoani, zimeharibiwa na ndege waharibifu aina ya kweleakwelea.

 

9 years ago

Habarileo

Kamati ya maji Matarawe yatakiwa kujipima kama inafaa

DIWANI wa kata ya Matarawe mjini hapa Leonard Robert aliitaka kamati ya maji katika kitongoji cha Lulambo na Kipika kujipima kama inatosha vinginevyo wananchi waiadhibu kwa kuchagua kamati nyingine inayoweza kwenda na kasi ya ‘Hapa Kazi Tu’ .

 

11 years ago

Habarileo

Wachinja mifugo porini washughulikiwe

ONYO lililotolewa na Waziri wa Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi, Dk Titus Kamani kwamba serikali itaanza kuwafungia moja kwa moja wafanyabiashara wa nyama, wanaofanya uchinjaji holela, halina budi kuungwa mkono kwa kila hali ili kulinda afya ya walaji.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wezi wa fedha za Operesheni Ujangili washughulikiwe

WAKATI serikali ikitangaza kuwa deni la taifa limepanda kiasi cha kufikia shilingi trilioni 27, hivyo kuzusha hofu kwa Watanzania, habari za kusikitisha zimeeleza kuwa takriban sh bilioni nne zilizotolewa kugharimia...

 

9 years ago

Michuzi

WANAOWAFICHA WATOTO WALEMAVU NCHINI WASHUGHULIKIWE

(Meneja msaidizi wa kituo cha walemavu cha Usa River Rehabilitation Centre,Sophia Moshi akibadilishana mawazo na meneja mkuu wa kituo hicho,Claus Heim).  Mahmoud Ahmad, ArushaSERIKALI imeombwa kuchukua hatua kali kwa baadhi ya wazazi nchini wenye tabia ya kuwaficha watoto wao wenye ulemavu hali ambayo imekuwa ikiwafanya wakose mahitaji ya msingi kama elimu na afya.
Ombi hilo limetolewa hivi karibuni na uongozi wa chuo cha walemavu cha Usa River Rehabilitation Centre  huku wakiiomba...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Pugu waomba ‘Mbwa Mwitu’ washughulikiwe

WAKAZI wa Pugu Mnadani wilayani Ilala, nje kidogo ya Jiji la Dar es Salaam wameliomba Jeshi la Polisi kuimarisha ulinzi kutokana na tishio la kundi la vijana wanyang’anyi liitwalo ‘Mbwa...

 

5 years ago

Michuzi

Naibu Waziri Shonza:Filamu ya Dalton ni inafaa kwa vipindi vya watoto


Naibu Waziri Mhe.Juliana Shonza (katikati)akifungua CD ya Filamu ya Dalton kuashiria uzinduzi wa filamu hiyo leo jijini Mwanza,wakwanza kulia ni Katibu Tawala Wilaya ya Nyamagana Jonas Maduhu na kushoto ni Mtayarishaji wa Filamu hiyo Bw.Cherrif Daudi.
Naibu Waziri Mhe.Juliana Shonza akisisitiza kusambazwa kwa filamu ya Dalton katika vituo vya televisheni mbalimbali nchini ikiwemo TBC ili filamu hiyo itumike kutoa elimu kwa watoto ionyeshwe katika vipindi vya watoto,leo jijini Mwanza alipokuwa...

 

11 years ago

Mwananchi

Malalamiko ya wakulima yashughulikiwe ipasavyo

Ijumaa ya wiki hii, Waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika, Mhandisi Christopher Chiza alitangaza kiama kwa mawakala wanaonunua mazao kwa wakulima, ambao kwa jina jepesi aliwaita ‘makanjanja.’

 

11 years ago

Tanzania Daima

Tamisemi tekelezeni sheria ipasavyo

UTEKELEZAJI wa sheria ni suala linalopaswa  kufanywa pasipo kuacha chembe ya shaka juu ya sheria husika. Pia  sheria inapaswa kumgusa mdogo na mkubwa katika jamii kwa ajili ya kuleta heshima...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani