Wachinja mifugo porini washughulikiwe
ONYO lililotolewa na Waziri wa Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi, Dk Titus Kamani kwamba serikali itaanza kuwafungia moja kwa moja wafanyabiashara wa nyama, wanaofanya uchinjaji holela, halina budi kuungwa mkono kwa kila hali ili kulinda afya ya walaji.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-NhEWNeZFDm0/U8l-SsEqEOI/AAAAAAAF3iA/F0tGINjlIQM/s72-c/c12d840eef0bf692177f.jpg)
WACHINJA NYAMA MJINI KIBAHA WAGOMA
![](http://2.bp.blogspot.com/-NhEWNeZFDm0/U8l-SsEqEOI/AAAAAAAF3iA/F0tGINjlIQM/s1600/c12d840eef0bf692177f.jpg)
SAKATA la Umoja wa wafanyabiashara wa nyama na mazao yake wilayani Kibaha mkoani Pwani (UWABINK) leo umechukua sura mpya baada ya kufanya mgomo wa kutochinja ngombe na kusababisha nyama kukosekana kwenye mji wa Kibaha na vitongoji vyake.
Kutokana na mgomo huo wa kutochinja ngombe kumesababisha nyama kukosekana katika maeneo ya kuanzia Maili Moja hadi Visiga na Kibamba CCM wilaya ya Kinondoni Jijijini Dar es Salaam.
Akizungumza na waandishi wa habari msemaji wa umoja...
11 years ago
Tanzania Daima07 Feb
Pugu waomba ‘Mbwa Mwitu’ washughulikiwe
WAKAZI wa Pugu Mnadani wilayani Ilala, nje kidogo ya Jiji la Dar es Salaam wameliomba Jeshi la Polisi kuimarisha ulinzi kutokana na tishio la kundi la vijana wanyang’anyi liitwalo ‘Mbwa...
11 years ago
Mwananchi22 May
Kweleakwelea ni janga, inafaa washughulikiwe ipasavyo
11 years ago
Tanzania Daima04 Feb
Wezi wa fedha za Operesheni Ujangili washughulikiwe
WAKATI serikali ikitangaza kuwa deni la taifa limepanda kiasi cha kufikia shilingi trilioni 27, hivyo kuzusha hofu kwa Watanzania, habari za kusikitisha zimeeleza kuwa takriban sh bilioni nne zilizotolewa kugharimia...
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Rdn9YWzJVzE/VgEbIeHaMAI/AAAAAAAH6xo/jodfMwKabwk/s72-c/Shared%2Bleadership_%2BSophia%2BMoshi%2Band%2BClaus%2BHeim%25281%2529.jpg)
WANAOWAFICHA WATOTO WALEMAVU NCHINI WASHUGHULIKIWE
![](http://3.bp.blogspot.com/-Rdn9YWzJVzE/VgEbIeHaMAI/AAAAAAAH6xo/jodfMwKabwk/s640/Shared%2Bleadership_%2BSophia%2BMoshi%2Band%2BClaus%2BHeim%25281%2529.jpg)
Ombi hilo limetolewa hivi karibuni na uongozi wa chuo cha walemavu cha Usa River Rehabilitation Centre huku wakiiomba...
10 years ago
Mwananchi11 Oct
Wagonjwa walazimika kujisaidia porini
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/dzJVcnA3Xm3hv03q0ZsSTfWOQ6IOPl4XTC0WteS1NGXgkWONKPui5GIhXQKLd4b0Nn23Xk9dK4xn8u7Lz5AY3wSl8n00mPqv/TFABORA.gif?width=650)
ADAIWA MSUKULE, AANGUKA PORINI
10 years ago
Habarileo12 Dec
Mama atupa watoto watatu porini
KATIKA hali isiyokuwa ya kawaida, mama wa watoto watatu, mkazi wa wilayani hapa, mwanzoni mwa wiki hii aliwatekeleza porini watoto hao, akiwemo mwenye umri wa miezi mitatu.
11 years ago
Mwananchi05 Jul
Mbaroni kwa kutupa kichanga porini