Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wagonjwa walazimika kujisaidia porini

Zahanati ya Kijiji cha Sandulula wilayani Sumbawanga mkoani Rukwa, inakabiliwa na changamoto kadhaa ikiwamo kukosa choo, hivyo kusababisha wagonjwa kujisaidia haja ndogo na kubwa porini.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Wanafunzi washauriwa 'kujisaidia' bafuni

Wanafunzi wa vyuo vikuu nchini Uingereza wametakiwa kwenda haja ndogo bafuni katika juhudi za kuzuia matumizi mabaya ya maji.

 

10 years ago

BBCSwahili

Wanaume huru kujisaidia wakiwa wamesimama

Mahakama moja nchini Ujerumani imempa idhini mwanamaume mmoja kujisaidia haja ndogo akiwa amesimama baada ya mwenye nyumba kutaka alipwe akidai kuwa sakafu ya bafu lake iliharibiwa na mkojo wa mpangaji wake.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wakazi walazimika kula mizizi

WAKAZI wa Kata za Mashewa na Mkomazi, wilayani Korogwe, mkoani Tanga wamelazimika kula mizizi ya miti na matunda ili kunusuru maisha yao kutokana na kukabiliwa na baa la njaa. Kufuatia...

 

11 years ago

Mwananchi

Shule yafungwa Bunda baada ya watu kujisaidia ovyo madarasani

>Shule ya Msingi Kibara B, iliyoko wilayani Bunda mkoani Mara, imefungwa na wananchi kwa muda kutokana na watu wasiofahamika kujisaidia kwenye vyumba vya madarasa, hali inayohatarisha afya za wanafunzi.

 

10 years ago

Mtanzania

Wafanyakazi Muhimbili walazimika kuchangia damu

TUNU NASSOR NA MWANTUMU SAADI,
DAR ES SALAAM
KUTOKANA na uhaba wa damu ulioikumba Hospitali ya Taifa ya Muhimbili (MNH) wafanyakazi wa hospitali hiyo na ndugu wa wagonjwa, wamelazimika kuchangia damu kunusuru maisha ya wagonjwa .

Akizungumza na MTANZANIA Dar es Salaam jana, Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano na Huduma kwa Wateja wa hospitali hiyo, Aminieli Aligaesha, alisema wamelazimika kutumia wafanyakazi wa hospitali hiyo na ndugu wa wagonjwa kama chanzo cha ndani na kwa siku ya jana...

 

11 years ago

Habarileo

Walazimika kutoa Sh 2000/- kupata barua za utambulisho

WANAFUNZI waliohitimu darasa la saba katika shule za msingi Kizuiani na Kibonde Maji katika Manispaa ya Temeke, Dar es Salaam wamelazimika kulipa fedha kati ya Sh 1,000 na 2,000 ili waweze kupatiwa barua za utambulisho.

 

5 years ago

Michuzi

WALAZIMIKA KUHAMA MAKAZI YAO KUKWEPA ADHA YA MAFURIKO

Mvua zinazoendelea kunyesha katika maeneo tofauti nchini zimeendelea kuleta  madhara,ambapo  Wilayani Kilombero Wakazi wa Kijiji Cha Nyange Kichangini kitongiji Cha Msolwa Stesheni  wameladhimika kuyahama makazi yao  kutokana  na mafuriko



 

5 years ago

BBCSwahili

Katika harusi ya pamoja nchini Ufilipino wanadoa walazimika kuvaa barakoa

Katika harusi ya pamoja nchini Ufilipino wanadoa walazimika kuvaa barakoa kwa hofu ya ugonjwa wa Corona

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani