Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Walazimika kutoa Sh 2000/- kupata barua za utambulisho

WANAFUNZI waliohitimu darasa la saba katika shule za msingi Kizuiani na Kibonde Maji katika Manispaa ya Temeke, Dar es Salaam wamelazimika kulipa fedha kati ya Sh 1,000 na 2,000 ili waweze kupatiwa barua za utambulisho.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Dewji Blog

Serikali na wadau mbalimbali kuendelea kutoa elimu kwa makundi yaliyo katika hatari ya kupata maambukizi ya VVU

NACP -1

Mkurugenzi wa Udhibiti na Uhakiki wa Wizara ya Afya  Dkt.Mohamed Ally Mohamed akionyesha moja ya chapisho lenye taarifa za tafiti za watu walio katika makundi maalum na hali ya maambukizi ya Virusi vya Ukimwi  katika mikoa 7 lililotambulishwa jana jijini Dar es salaam.

Na Aron Msigwa – MAELEZO

SERIKALI imesema kuwa itaendelea kushirikiana na wadau mbalimbali wa sekta ya Afya kutoa elimu kwa makundi ya watu wanaotumia dawa za kulevya na wale wanaojihusisha na biashara ya ngono katika maeneo...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wakazi walazimika kula mizizi

WAKAZI wa Kata za Mashewa na Mkomazi, wilayani Korogwe, mkoani Tanga wamelazimika kula mizizi ya miti na matunda ili kunusuru maisha yao kutokana na kukabiliwa na baa la njaa. Kufuatia...

 

10 years ago

Mwananchi

Wagonjwa walazimika kujisaidia porini

Zahanati ya Kijiji cha Sandulula wilayani Sumbawanga mkoani Rukwa, inakabiliwa na changamoto kadhaa ikiwamo kukosa choo, hivyo kusababisha wagonjwa kujisaidia haja ndogo na kubwa porini.

 

10 years ago

Mtanzania

Wafanyakazi Muhimbili walazimika kuchangia damu

TUNU NASSOR NA MWANTUMU SAADI,
DAR ES SALAAM
KUTOKANA na uhaba wa damu ulioikumba Hospitali ya Taifa ya Muhimbili (MNH) wafanyakazi wa hospitali hiyo na ndugu wa wagonjwa, wamelazimika kuchangia damu kunusuru maisha ya wagonjwa .

Akizungumza na MTANZANIA Dar es Salaam jana, Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano na Huduma kwa Wateja wa hospitali hiyo, Aminieli Aligaesha, alisema wamelazimika kutumia wafanyakazi wa hospitali hiyo na ndugu wa wagonjwa kama chanzo cha ndani na kwa siku ya jana...

 

5 years ago

Michuzi

WALAZIMIKA KUHAMA MAKAZI YAO KUKWEPA ADHA YA MAFURIKO

Mvua zinazoendelea kunyesha katika maeneo tofauti nchini zimeendelea kuleta  madhara,ambapo  Wilayani Kilombero Wakazi wa Kijiji Cha Nyange Kichangini kitongiji Cha Msolwa Stesheni  wameladhimika kuyahama makazi yao  kutokana  na mafuriko



 

10 years ago

Dewji Blog

MISA-TAN yaadhimisha siku ya kimataifa ya haki ya kupata taarifa na kutoa matokeo ya utafiti wa upatikanaji wa taarifa kwenye ofisi za umma nchini Tanzania‏‎

Mkurugenzi  wa Misa-Tanzania-Media Institute of Southern Africa (Taasisi ya vyombo vya habari Kusini mwa Afrika) Bwana Simon Berege (kushoto) akiwakaribisha wageni waalikwa na waandishi wa habari waliofika kwenye mkutano wao uliofanyika jana kwenye ofisi za MISA Tanzania  zilizopo jijini Dar es Salaam. Kulia ni  Mkurugenzi msaidi wa Misa-Tanzania-Media Institute of Southern Africa (Taasisi ya vyombo vya habari Kusini mwa Afrika) Bwana Andrew Marawiti. Misa-Tanzania-Media Institute of...

 

5 years ago

BBCSwahili

Katika harusi ya pamoja nchini Ufilipino wanadoa walazimika kuvaa barakoa

Katika harusi ya pamoja nchini Ufilipino wanadoa walazimika kuvaa barakoa kwa hofu ya ugonjwa wa Corona

 

5 years ago

BBCSwahili

Wakimbizi wa Rohingya 'walazimika kunywa maji ya bahari kuokoa maisha' baada ya kufurushwa

Taifa la Malaysia lililifurusha boti lililokuwa limebeba mamia ya wakimbizi wa Rohingya , likihofia maambukizi ya virusi vya corona .

 

10 years ago

Daily News

Kagera region gets 2000 new teachers


Kagera region gets 2000 new teachers
Daily News
A TOTAL of 1,935 teachers out of 2,168 who were posted to Kagera region this year have already reported for duty, while 683 others have not showed up for various reasons, the Kagera Regional Academic Officer, Mr Renatus Bampoliki, has said. He noted ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani