Walazimika kutoa Sh 2000/- kupata barua za utambulisho
WANAFUNZI waliohitimu darasa la saba katika shule za msingi Kizuiani na Kibonde Maji katika Manispaa ya Temeke, Dar es Salaam wamelazimika kulipa fedha kati ya Sh 1,000 na 2,000 ili waweze kupatiwa barua za utambulisho.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog24 Feb
Serikali na wadau mbalimbali kuendelea kutoa elimu kwa makundi yaliyo katika hatari ya kupata maambukizi ya VVU
Na Aron Msigwa – MAELEZO
SERIKALI imesema kuwa itaendelea kushirikiana na wadau mbalimbali wa sekta ya Afya kutoa elimu kwa makundi ya watu wanaotumia dawa za kulevya na wale wanaojihusisha na biashara ya ngono katika maeneo...
11 years ago
Tanzania Daima11 Feb
Wakazi walazimika kula mizizi
WAKAZI wa Kata za Mashewa na Mkomazi, wilayani Korogwe, mkoani Tanga wamelazimika kula mizizi ya miti na matunda ili kunusuru maisha yao kutokana na kukabiliwa na baa la njaa. Kufuatia...
10 years ago
Mwananchi11 Oct
Wagonjwa walazimika kujisaidia porini
10 years ago
Mtanzania13 May
Wafanyakazi Muhimbili walazimika kuchangia damu
TUNU NASSOR NA MWANTUMU SAADI,
DAR ES SALAAM
KUTOKANA na uhaba wa damu ulioikumba Hospitali ya Taifa ya Muhimbili (MNH) wafanyakazi wa hospitali hiyo na ndugu wa wagonjwa, wamelazimika kuchangia damu kunusuru maisha ya wagonjwa .
Akizungumza na MTANZANIA Dar es Salaam jana, Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano na Huduma kwa Wateja wa hospitali hiyo, Aminieli Aligaesha, alisema wamelazimika kutumia wafanyakazi wa hospitali hiyo na ndugu wa wagonjwa kama chanzo cha ndani na kwa siku ya jana...
5 years ago
MichuziWALAZIMIKA KUHAMA MAKAZI YAO KUKWEPA ADHA YA MAFURIKO
10 years ago
Dewji Blog29 Sep
MISA-TAN yaadhimisha siku ya kimataifa ya haki ya kupata taarifa na kutoa matokeo ya utafiti wa upatikanaji wa taarifa kwenye ofisi za umma nchini Tanzaniaâ€â€Ž
5 years ago
BBCSwahili26 Feb
Katika harusi ya pamoja nchini Ufilipino wanadoa walazimika kuvaa barakoa
5 years ago
BBCSwahili28 Apr
Wakimbizi wa Rohingya 'walazimika kunywa maji ya bahari kuokoa maisha' baada ya kufurushwa
10 years ago
Daily News15 May
Kagera region gets 2000 new teachers
Kagera region gets 2000 new teachers
Daily News
A TOTAL of 1,935 teachers out of 2,168 who were posted to Kagera region this year have already reported for duty, while 683 others have not showed up for various reasons, the Kagera Regional Academic Officer, Mr Renatus Bampoliki, has said. He noted ...