Malalamiko ya wakulima yashughulikiwe ipasavyo
Ijumaa ya wiki hii, Waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika, Mhandisi Christopher Chiza alitangaza kiama kwa mawakala wanaonunua mazao kwa wakulima, ambao kwa jina jepesi aliwaita ‘makanjanja.’
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog02 Oct
Majaji waendesha mahakama ya wazi kusikiliza na kupokea malalamiko ya wakulima walionyang’anywa Ardhi,Wafugaji na Migogoro ya wakulima na wafugaji
![IMG_0113](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/10/IMG_0113.jpg)
10 years ago
VijimamboMAJAJI WAENDESHA MAHAKAMA YA WAZI KUSIKILIZA NA KUPOKEA MALALAMIKO YA WAKULIMA
11 years ago
Tanzania Daima06 Mar
Tamisemi tekelezeni sheria ipasavyo
UTEKELEZAJI wa sheria ni suala linalopaswa kufanywa pasipo kuacha chembe ya shaka juu ya sheria husika. Pia sheria inapaswa kumgusa mdogo na mkubwa katika jamii kwa ajili ya kuleta heshima...
10 years ago
MichuziSIMAMIENI IPASAVYO MIUNDOMBINU YA MAJI: MH. MWANRI
Serikali imetoa wito kwa taasisi za umma kusimamia kwa umakini miundombinu ya miradi ya maji pindi inapokamilika ili kuweza kuwapatia wananchi huduma ya maji ya uhakika mara miradi hiyo inapokabidhiwa kwa kamati za usimamizi wa maji.
Wito huo umetolewa na kiongozi wa timu ya ukaguzi wa miradi ya maendeleo kutoka Ofisi ya Rais, Tume ya Mipango, Bibi Florence Mwanri wakati timu hiyo ilipokuwa ikifanya ukaguzi wa ujenzi wa miundombinu ya maji ya utekelezaji wa...
11 years ago
Mwananchi22 May
Kweleakwelea ni janga, inafaa washughulikiwe ipasavyo
11 years ago
Mwananchi13 May
Je, tumewekeza ipasavyo katika elimu ya awali?
11 years ago
Habarileo30 Mar
‘Tumieni ipasavyo fursa za madini, gesi, mafuta’
WATANZANIA wametakiwa kubadilika kifikra kwa kutumia ipasavyo fursa zilizopo katika tasnia ya madini, mafuta na gesi ili kujiletea maendeleo na kakabiliana na changamoto zake. Wito huo umetolewa na Mshauri Mwandamizi wa Kanda wa Masuala ya Mapato wa Taasisi ya Revenue Watch (RWI), Silas Ola'g .
11 years ago
Mwananchi23 Jun
MAONI: Vipindi vya michezo vitumike ipasavyo
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-HGBN5_VXB54/XlzI_aHYsZI/AAAAAAALgVY/IG2HFwkLIWEtUOhfk7Vss2laEOV14In-ACLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
Waziri Mwakyembe aagiza maadili ya kitanzania yasimamiwe ipasavyo
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Dkt. Harrison Mwakyembe ameagiza Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA), Bodi ya Filamu pamoja na Kamati ya Maudhui ya Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) wafanye kazi yao ya kisheria ya kulinda maadili ya jamii ya Kitanzania ili taifa liendelee kufuata misingi imarya utamaduni na sanaa iliyoasisiwa na viongozi wetu.
Dkt. Mwakyembe ametoa agizo hilo wakati wa mashindano ya Bonanza ya kuibua vipaji vya uimbaji...