Tamisemi tekelezeni sheria ipasavyo
UTEKELEZAJI wa sheria ni suala linalopaswa kufanywa pasipo kuacha chembe ya shaka juu ya sheria husika. Pia sheria inapaswa kumgusa mdogo na mkubwa katika jamii kwa ajili ya kuleta heshima...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-3IXg8ym2_l4/VkXLDr34JnI/AAAAAAAIFss/e6E8hRt5gqk/s72-c/Cholera_bacteria_SEM-640x360.jpg)
WATENDAJI WA JIJI LA DAR ES SALAAM WAHIMIZWA KUSIMAMIA USAFI IPASAVYO -KATIBU MKUU TAMISEMI
![](http://2.bp.blogspot.com/-3IXg8ym2_l4/VkXLDr34JnI/AAAAAAAIFss/e6E8hRt5gqk/s320/Cholera_bacteria_SEM-640x360.jpg)
Katika agizo hilo la Serikali ametoa wiki mbili kwa watendaji wote kuhakikisha wanaliweka jiji katika hali ya usafi na endapo halitatekelezwa hatua zitachukuliwa dhidi yao.
Akizungumza na watendaji wa Serikali leo jijini Dar es Salaam, Katibu Mkuu, Ofisi ya Waziri Mkuu Tawala za...
9 years ago
MichuziWATENDAJI WA TAMISEMI WATAKIWA KUSIMAMIA SHERIA KUHUSU USAFI, UJENZI HOLELA, WANAOFANYA BIASHARA MAENEO YA DART
11 years ago
Habarileo26 Mar
Kinana- Watendaji CCM tekelezeni Ilani
KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Abdulrahman Kinana, amewaasa viongozi na watendaji wa chama hicho kutekeleza ilani kwa kuwa chama hicho hakiko tayari kupoteza imani kwa wananchi hasa katika kipindi kijacho cha uchaguzi Mkuu wa mwaka 2015.
11 years ago
Dewji Blog28 May
Tekelezeni mawazo na maagizo ya baraza la wawakilishi kikamilifu- Balozi seif
Makamu Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Baraza la Wawakilishi wa mwanzo kulia Mh. Saleh Nassor Juma akiwa pamoja na Mkuu wa Mkoa Mjini Magharibi Mh. Abdulla Mwinyi na Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mh. Mohamed Aboud Mohamed wakijipatia mlo kwenye dhifa maalum iliyoandaliwa na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi Nyumbani kwake Mazizini.
Na Othman Khami Ame, Visiwani
WATENDAJI wa Wizara ya Nchi Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar wana...
11 years ago
Mwananchi22 Jun
Malalamiko ya wakulima yashughulikiwe ipasavyo
11 years ago
Mwananchi22 May
Kweleakwelea ni janga, inafaa washughulikiwe ipasavyo
10 years ago
MichuziSIMAMIENI IPASAVYO MIUNDOMBINU YA MAJI: MH. MWANRI
Serikali imetoa wito kwa taasisi za umma kusimamia kwa umakini miundombinu ya miradi ya maji pindi inapokamilika ili kuweza kuwapatia wananchi huduma ya maji ya uhakika mara miradi hiyo inapokabidhiwa kwa kamati za usimamizi wa maji.
Wito huo umetolewa na kiongozi wa timu ya ukaguzi wa miradi ya maendeleo kutoka Ofisi ya Rais, Tume ya Mipango, Bibi Florence Mwanri wakati timu hiyo ilipokuwa ikifanya ukaguzi wa ujenzi wa miundombinu ya maji ya utekelezaji wa...
11 years ago
Mwananchi13 May
Je, tumewekeza ipasavyo katika elimu ya awali?