Kinana- Watendaji CCM tekelezeni Ilani
KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Abdulrahman Kinana, amewaasa viongozi na watendaji wa chama hicho kutekeleza ilani kwa kuwa chama hicho hakiko tayari kupoteza imani kwa wananchi hasa katika kipindi kijacho cha uchaguzi Mkuu wa mwaka 2015.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Habarileo30 Oct
Kinana: Kazi sasa ni kutekeleza Ilani
KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abdulrahman Kinana, amesema ushindi wa urais wa Dk John Magufuli kupitia chama hicho, ni ishara kuwa wananchi wameendelea kuiamini CCM.
10 years ago
Mwananchi08 Jan
Kinana awalipua watendaji, viongozi
10 years ago
Habarileo01 Oct
Kinana ataka watendaji wawajibike
KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abdulrahman Kinana amekosoa tabia ya watendaji wa serikali, kushindwa kuwajibika katika nafasi zao na kusukuma matatizo yote kwa Waziri Mkuu na Rais.
9 years ago
Michuzi30 Aug
MGOMBEA MWENZA WA CCM SAMIAH SULUHU ANADI ILANI YA CCM MWAKA 2015 KATIKA KATA YA KYENGEGE,WILAYA YA IRAMBA
![](https://ci4.googleusercontent.com/proxy/VHUbjDslBuVE2gAltUkkYrsJ4lKAWP0rpseRTiaAWgEbDDwSPTcn2j-YkfjIY5vvtMChACdir1h71dLURHHh7HjkwVgZW8K0lSFRZETVRkzKv7RO_x6qLb9d6r10RrFx9j4uAbBwHRZ5CQlEVGwo1ou3dtqCoftIWgXsAhLXV5Bz15tm9cmKR0fTqjPHTJEof4Dghps0ms-zataDjtf3KsSPbijPLX0JJrsO5Un2VF5ZMaKgk1lsMWwAsvGXQij2sigyoJ9jEXCJwASLMp-cmbK4TAxHnE7F_H-WErJcIFrKzCpUQy-FBFYVkmDX=s0-d-e1-ft#https://fbcdn-sphotos-c-a.akamaihd.net/hphotos-ak-xtp1/v/t1.0-9/11923258_971530522909019_4441548453771867672_n.jpg?oh=17876588a3e6c8daa613e9cb724c2183&oe=5665378F&__gda__=1450162361_40222b815672b6ea61115438f8e1dc29)
![](https://ci3.googleusercontent.com/proxy/0MJ6zhqkxdsKoRfwtburWfwub6VcXzDgv_ze_MjIk9RM8N3oF9ZZ0f7AxRNYjciyqpAOrL8X133klkZK2JycbM0XZM21ACtjGqvNFB8bURj9a3t5YOhxMQl2Q-unzYWis59CIH3St4RnDFPKsnMWvtalsBjBClFn7cE1nIR2Tz7RS0c4xua1pB1F0hudATTDgE6N9IQqzuB0kNfrqL1zWVHZIL1mfGWxlqIaXKU=s0-d-e1-ft#https://scontent.xx.fbcdn.net/hphotos-xpf1/v/t1.0-9/11904675_971530912908980_5205937262880160537_n.jpg?oh=a979cd598292289a807c3e63c56ebe26&oe=56761299)
10 years ago
Dewji Blog14 Sep
Kinana katika ziara ya kuimarisha Chama na kukagua utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya Mwaka 2010
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akiwahutubia wananchi wa Kata ya Kimanzichana jana wakati alipoanza ziara yake ya mikoa ya Pwani ,Tanga na Iringa Ikiwa ni kuimarisha Chama na kukagua utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya Mwaka 2010 huku akihimiza wananchi kushiriki katika shughuli za kujiletea maendeleo katika maeneo yao, Katibu Mkuu Abdulrahman Kinana anaongozana na Nape Nnauye Katibu wa NEC Siasa Itikadi na Uenezi na leo amefanya shughuli mbalimbali katika ziara hiyo. (PICHA NA...
10 years ago
Mwananchi16 Sep
Kinana azidi kulia na watendaji wabovu
11 years ago
Dewji Blog17 Jul
Kamati Kuu CCM yamteua Mangula kuongoza kamati maalum kuandaa ilani ya CCM uchaguzi wa Serikali za Mitaa
Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akizungumza na Waandishi wa Habari katika ukumbi wa Sekretarieti, Makao Makuu ya CCM Ofisi Ndogo Lumumba, ambapo aliwaeleza kuwa Kamati Kuu imemteua Ndugu Philipo Mangula kuongoza Timu ya Kamati Maalum ya CCM itakayoandaa Ilani ya CCM katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa pia Kamati Kuu imemteua Ndugu Adam Kimbisa kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Uhuru Media tarehe 16 Julai 2014.
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
10 years ago
Habarileo05 Jul
Ilani ya Uchaguzi ya CCM yaiva
KIKAO Maalumu cha Kamati Kuu (CC) ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimeanza jana Mjini Dodoma chini ya Mwenyekiti wake Jakaya Kikwete, kwa ajili ya kupitisha Ilani ya Uchaguzi ya CCM ya mwaka 2015.
9 years ago
Michuzi14 Sep