Kinana katika ziara ya kuimarisha Chama na kukagua utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya Mwaka 2010
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akiwahutubia wananchi wa Kata ya Kimanzichana jana wakati alipoanza ziara yake ya mikoa ya Pwani ,Tanga na Iringa Ikiwa ni kuimarisha Chama na kukagua utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya Mwaka 2010 huku akihimiza wananchi kushiriki katika shughuli za kujiletea maendeleo katika maeneo yao, Katibu Mkuu Abdulrahman Kinana anaongozana na Nape Nnauye Katibu wa NEC Siasa Itikadi na Uenezi na leo amefanya shughuli mbalimbali katika ziara hiyo. (PICHA NA...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-PREf2LnUxEU/XuobkqB7WjI/AAAAAAALuPQ/sw-CMhavQnIwfKylieP0YEclPpOzp7LWQCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200616_164101_872%2B%25281%2529.jpg)
BAADHI YA CHANGAMOTO ZILIZOTATULIWA KATIKA UTEKELEZAJI WA ILANI YA UCHAGUZI YA 2015-2020
Diwani aliyemaliza muda wake wa kata ya Tumbi wilayani Kibaha mkoa wa Pwani Hemed Mnkai Chanyika akiwasilisha taarifa ya utekelezaji ilani ya uchaguzi ya mwaka 2015-2020 ameeleza kuwa katika kipindi chake cha uongozi amefanikiwa kutatua changamoto mbalimbali za wananchi ikiwemo miundombinu ,elimu,Afya,maji
michezo na ardhi.
Ameeleza hayo Jana Kibaha kuwa katika kusimamia tatizo la ajira kwa vijana aliweza kutoa mikopo mbalimbali kwa vijana,ili waweze kujiajiri na hivyo...
10 years ago
MichuziDkt. Shein aendelea kukutana na Mabalozi na wenyeviti wa maskani katika mfululizo wa ziara zake za mikutano ya kuimarisha Chama,Zanzibar
5 years ago
CCM Blog14 Jun
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-kfG2pfmK9Tw/XtTc399KAeI/AAAAAAACL14/lVUC0bdc0vsJb68L_on_vnGktM47IcKbACLcBGAsYHQ/s72-c/KABATI.jpg)
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-dwIpE_Wlqd4/XuNIhyic_II/AAAAAAACNEM/_hXoLYwtjfkVHtfqDVRRlCfPtI-mawsowCLcBGAsYHQ/s72-c/MBUNGE2.jpg)
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-U86T7URQ8e0/XuHXGDxyDmI/AAAAAAACM8E/f0Kf48ZkEM0zRAhh0XOsoQbfsNJ74z8lQCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200611-WA0033.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/HJsWC1-Gzng/default.jpg)
10 years ago
Dewji Blog06 Oct
Ziara ya kuimarisha chama ya MNEC manispaa ya Singida, Hassan Mazala
Mjumbe wa halmashauri kuu CCM (NEC) taifa manispaa ya Singida, Hassan Philip Mazala, akizindua tawi la wajasiriamali wa Msimbazi kata ya Mwankoko.
![DSC00913](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/10/DSC00913.jpg)
10 years ago
MichuziDKT. SHEIN AENDELEA NA ZIARA YA KUIMARISHA CHAMA,AKUTANA NA MABALOZI WILAYA KATI,UNGUJA