Hekari 200 za mirungi zagunduliwa Same
Jumla ya vijiji 28 vya ukanda wa milimani iliyopo wilayani Same Mkoa wa Kilimanjaro, vimebainika kuwa na mashamba makubwa ya mirungi zaidi ya hekari 260.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo07 Jan
Mbegu mpya za kilimo zagunduliwa
KATIBU Mkuu Wizara ya Kilimo, Chakula na Ushirika, Sophia Kaduma ametangaza kugundulika kwa aina mpya 27 za mbegu za mazao ya kilimo, zitakazofikishwa kwa wakulima kwa matumizi katika msimu wa kilimo wa 2015/2016.
10 years ago
Vijimambo09 Apr
Maiti 421 zagunduliwa ndani ya kaburi moja huko DRC
![Mfano wa moja ya kaburi lililozikwa watu wengi kwa pamoja](http://gdb.voanews.com/D73F8023-E3B5-41AC-B2B2-3A0C6F9EA87A_w640_r1_s.jpg)
Mjadala mkali umezuka huko Kinshasa kufuatia kuzinduliwa kwa kaburi la pamoja ambalo lilizika watu 421 nje ya mji wa Kinshasa nchini Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo-DRC.
Serikali ilielezea kwamba maiti zilizozikwa humo nyingi ni za watoto wachanga waliofariki wakati wa kuzaliwa kwenye mahospitali kadhaa pamoja na watu wazima ambao familia zao kwa kipindi kirefu walishindwa kugharamia mazishi. Lakini mashirika ya kutetea haki za...
10 years ago
Mwananchi14 Nov
Kortini kwa kusafirisha mirungi
10 years ago
Mwananchi10 Nov
Madereva Mwananchi wakamatwa na mirungi
11 years ago
Mwananchi28 Dec
Wakamatwa wakisafirisha mirungi kilo 30
11 years ago
Mwananchi09 Jan
Tanzania inavyopambana na biashara ya mirungi
11 years ago
Habarileo16 May
Kweleakwelea waharibu hekari 300 za mazao
Zaidi ya hekari 300 za mashamba ya mpunga katika vijiji vya Wami Luhindo, Wami Dakawa na Sagayo wilayani Mvomero mkoani, zimeharibiwa na ndege waharibifu aina ya kweleakwelea.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/*EqvtGjmCN5fxic*XWeDO*WEMidH6iHBvTjmZhcFiJphj75zDJnqRrpnrjXtjjqFwzVUnq1DcOVrlI*8apYOnamU7pDWcWoG/gabo.jpg)
BOND, GABO WANASWA WAKISAGA MIRUNGI
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-WAjmuPqLqzk/XmU5pXhoSxI/AAAAAAALiCE/v4BHI-AkCtwnyYZw5kl3x_HI0XdZPkdkwCLcBGAsYHQ/s72-c/0.jpg)
Kinara wa usambazaji, uingizaji Mirungi anaswa
Mbali na Peter jeshi hilo linawashilia watu wengine wawili kwa tuhuma za namna hiyo huku mmoja akiwakimbia polisi baada ya kuruka kutoka ndani ya gari alilokuwa akiliendesha kwenye kizuizi...