Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kinara wa usambazaji, uingizaji Mirungi anaswa

 NA BALTAZAR MASHAKA, MWANZA Jeshi la Polisi jijini Mwanza, limefanikiwa kumtia mbaroni kinara wa usafirishaji na muuzaji wa dawa za kulevya aina ya mirungi, Peter Charles Mwita alimaaarufu Peter Mirungi (46) mkazi wa Mtaa wa Rufiji, kwa makosa ya kusafirisha, kusambaza na kuuza mirungi jijini Mwanza.
Mbali na Peter jeshi hilo linawashilia watu wengine wawili kwa tuhuma za namna hiyo huku mmoja akiwakimbia polisi baada ya kuruka kutoka ndani ya gari alilokuwa akiliendesha kwenye kizuizi...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

KINARA USAMBAZAJI ZANA HARAMU ZA UVUVI MBARONI MWANZA, POLISI WANNE WADAKWA KWA RUSHWA


NA BALTAZAR MASHAKA,Mwanza
KIGOGO na kinara wa uingizaji na usambazaji wa zana haramu za uvuvi katika Ziwa Victoria , Jeremiah Asama ( 48),mkazi wa Bwiru, Manispaa ya Ilemela  ni miongoni mwa watu sita wanaoshikiliwa na Jeshi la Polisi  jijini Mwanza, huku mtuhumiwa wa saba  akidaiwa kutoroka.

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mwanza, Jumanne Muliro alisema juzi wakati akizungumza na waandishi wa habari kuhusu  kukamatwa kwa watu hao wakiwemo askari wanne wa jeshi hilo wanaodaiwa kukiuka maadili ya...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Uingizaji shehena waongezeka bandarini

UINGIZAJI wa shehena katika bandari za mamlaka umeongezeka kutoka tani 1.185 wakati wa uhuru mwaka 1961 hadi kufikia tani 13,500  mwaka jana. Hayo yalibainishwa jijini Dar es Salaam jana na...

 

5 years ago

Michuzi

ITALI YAONGOZA UINGIZAJI WATALII ZANZIBAR

Na Mwashungi Tahir    Imeelezwa kwamba idadi walioingia nchini kwa mwezi wa January 2020 ni 58.761 sawa na ongezeko la asilimia 27.4 ikilinganishwa  na wageni 46,133 walioingia  mwezi wa January mwaka 2019.
Hayo amewasilisha  Raya Mohammed Mahfoudh Afisa Takwimu Ofisi ya Mtakwimu Mkuu wa Serikali  huko katika Ukumbi wa Ofisi ya Mtakwimu wa Serikali  uliopo Mazizini wakati alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari kuhusiana na uingiaji wa wageni Zanzibar.
Amesema Nchi inayoongoza kuleta...

 

10 years ago

Mwananchi

Uingizaji wa saruji kiholela wawaliza wazawa

Kiwanda cha Saruji cha Tanga (Tanga Cement) kimeiomba Serikali kudhibiti uingizwaji wa saruji kutoka nje ya nchi.

 

10 years ago

Tanzania Daima

‘Tumefanikiwa kudhibiti uingizaji dawa za kulevya’

MKUU wa kitengo cha kudhibiti dawa za kulevya nchini, Godfrey Nzowa amesema mawasiliano baina ya nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki yamefanikisha kudhibiti uingizwaji wa dawa za kulevya hapa nchini....

 

10 years ago

Habarileo

Waziri aagiza uingizaji wa bidhaa udhibitiwe

WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais (Mazingira), Dk Binilith Mahenge amezitaka mamlaka husika kuimarisha ulinzi mipakani na bandarini ili kudhibiti uingizwaji wa bidhaa hafifu zisizo na viwango, ikiwamo mifuko ya plastiki ambayo imekuwa ikizagaa mitaani na kuchafua mazingira.

 

9 years ago

Mwananchi

Hekari 200 za mirungi zagunduliwa Same

Jumla ya vijiji 28 vya ukanda wa milimani iliyopo wilayani Same Mkoa wa Kilimanjaro, vimebainika kuwa na mashamba makubwa ya mirungi zaidi ya hekari 260.

 

10 years ago

Mwananchi

Kortini kwa kusafirisha mirungi

Watu watatu wakiwamo madereva wawili wa Kampuni ya Mwananchi Communications Ltd (MCL) jana walifikishwa mahakamani wakituhumiwa kusafirisha dawa za kulevya aina ya mirungi.

 

11 years ago

Mwananchi

Tanzania inavyopambana na biashara ya mirungi

Tanzania ni moja ya nchi duniani ambayo imeharamisha (imezuia) ulaji wa mirungi lakini inakabiliwa na changamoto kubwa kudhibiti biashara hiyo hasa ikizingatiwa nchini Kenya ni zao la biashara.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani