Waziri aagiza uingizaji wa bidhaa udhibitiwe
WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais (Mazingira), Dk Binilith Mahenge amezitaka mamlaka husika kuimarisha ulinzi mipakani na bandarini ili kudhibiti uingizwaji wa bidhaa hafifu zisizo na viwango, ikiwamo mifuko ya plastiki ambayo imekuwa ikizagaa mitaani na kuchafua mazingira.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-LR2iS9vPrrw/VOUKiUYZacI/AAAAAAAHEbc/FHDP4h8PyLQ/s72-c/unnamed%2B(15).jpg)
MAREKANI KUSHIRIKIANA NA TANZANIA KUDHIBITI UINGIZAJI WA BIDHAA HARAMU NCHINI
![](http://2.bp.blogspot.com/-LR2iS9vPrrw/VOUKiUYZacI/AAAAAAAHEbc/FHDP4h8PyLQ/s1600/unnamed%2B(15).jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/sRY-hG6lRQ-7-ByR5t2kDW51B0pganxbe1K0qw6o8PVg*Hr-NSsDt*T85kyVmARMnrzISmYwqyYrzW4u4udWxy7rQIXLzZtP/unnamed1.jpg?width=650)
WASIRA AAGIZA WADAU WA SUKARI KUINGIZA SOKONI BIDHAA HIYO BADALA YA KUIFUNGIA GHALANI
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-rOupGOl8G-U/VNw0WXwIh9I/AAAAAAAHDPA/4h6EAezEPGk/s72-c/unnamed%2B(1).jpg)
Wasira aagiza wadau wa Sukari kuingiza sokoni bidhaa hiyo badala ya kuifungia ghalani
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-RCRb0-lSfa0/XsldA4nyjZI/AAAAAAALrY0/zIPOBGqaw54y7vknjfoz5xFs7RhTa-wMwCLcBGAsYHQ/s72-c/2.-1-768x512.jpg)
MANYANYA AAGIZA BIDHAA ZA SAMAKI ZOTE ZINAZIUZWA NJE YA NCHI KUWEKEWA ALAMA ILI KUONYESHA KUWA ZINATOKA TANZANIA
![](https://1.bp.blogspot.com/-RCRb0-lSfa0/XsldA4nyjZI/AAAAAAALrY0/zIPOBGqaw54y7vknjfoz5xFs7RhTa-wMwCLcBGAsYHQ/s640/2.-1-768x512.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/3.-1024x683.jpg)
Wafanyakazi wa kiwanda cha kuchakata samaki cha Tanzania Fish Processors Ltd wakiendelea na kazi ya uchakataji wa samakiwanaosafirishwa na kuuzwa katika nchi mbalimbali
Picha na Eliud Rwechungura – Wizara ya viwanda na Biashara...
11 years ago
Mwananchi28 Jan
Waziri Nyalandu aagiza wavamizi kuondoka
11 years ago
Mwananchi14 Jan
Waziri ambana mkandarasi, aagiza asilipwe
10 years ago
Habarileo21 Aug
Waziri aagiza fedha za CHF zipelekwe MSD
WAZIRI wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dk Seif Suleiman Rashid ameviagiza vituo vyote vya huduma za afya nchini kuwasilisha Bohari Kuu ya Dawa (MSD) asilimia 50 ya fedha zote zinazokusanywa kwenye Mfuko wa Afya ya Jamii (CHF) pamoja na zile za “Papo kwa Papo”.
9 years ago
StarTV24 Dec
Waziri Kitwanga aagiza ukaguzi wa kina Uhamiaji
Waziri wa Mambo ya Ndani, Charles Kitwanga amemwagiza Katibu Mkuu wa Mambo ya Ndani kupeleka wakaguzi katika Idara ya Uhamiaji ili kuweza kuondoa utata na kujua malipo yanayofanyika kwa njia ya benki.
Waziri Kitwanga ametoa maagizo hayo baada ya kutembelea makao makuu ya Idara ya Uhamiaji na kujadiliana mambo mbalimbali na wakuu wa idara ili kuboresha utendaji kazi.
Mbali na Agizo hilo Waziri Kitwanga pia amewaagiza uhamiaji kukaa pamoja na Kamishna wa kazi ili kuweka utaratibu mzuri wa...
10 years ago
Habarileo06 Dec
Waziri aagiza kuimarishwa bandari ya Mkoani Pemba
WAZIRI wa Mawasiliano na Miundombinu wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, Juma Duni Haji amelitaka Shirika la Bandari kuimarisha bandari ya Mkoani Pemba ambayo imetangazwa kuwa lango kuu la kiuchumi.