ITALI YAONGOZA UINGIZAJI WATALII ZANZIBAR
Na Mwashungi Tahir Imeelezwa kwamba idadi walioingia nchini kwa mwezi wa January 2020 ni 58.761 sawa na ongezeko la asilimia 27.4 ikilinganishwa na wageni 46,133 walioingia mwezi wa January mwaka 2019.
Hayo amewasilisha Raya Mohammed Mahfoudh Afisa Takwimu Ofisi ya Mtakwimu Mkuu wa Serikali huko katika Ukumbi wa Ofisi ya Mtakwimu wa Serikali uliopo Mazizini wakati alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari kuhusiana na uingiaji wa wageni Zanzibar.
Amesema Nchi inayoongoza kuleta...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima28 Feb
Watalii kupungua Zanzibar
KAMPUNI inayojishughulisha na kupokea watalii imesema hali ya kuwepo milipuko ya mabomu mara kwa mara katika visiwa vya Zanzibar inaweza kuchangia kupungua kwa watalii katika visiwa hivyo iwapo hali hiyo...
11 years ago
Mwananchi16 Feb
Kuvamiwa watalii kwatia doa Zanzibar
10 years ago
Vijimambo30 Sep
Watalii bado kivutia kikubwa Zanzibar
9 years ago
Mwananchi11 Sep
Polisi wawatoa hofu watalii Zanzibar
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Ub5nufmFQwY/XmJfQDr5nsI/AAAAAAALhlg/j43I41doM-kxJtK9VuwkpywS8Uzgh3TKACLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
ZANZIBAR WAPIGA MARUFUKU NDEGE ZA WATALII WANAOTOKEA NCHINI ITALY
Serikali ya Mapinduzi Zanzibar imezuia uingiaji wa ndege za kitalii kutoka nchini Italy kuja Zanzibar ili kuzuia kusambaa kwa virusi vya ugonjwa wa maradhi ya Corona.
Akizungumza na waandishi wa Habari Waziri wa Afya Hamad Rashid Mohammed huko katika Ukumbi wa Wizara ya Afya Mnazimmoja kuhusu mwenendo wa maradhi ya Corona yaliyosambaa Ulimwenguni amesema wamezuia uingiaji wa ndege hizo ili kuchukua tahadhari na ugonjwa huo usisambae nchini.
Alifahamisha kuwa...
10 years ago
BBCSwahili10 May
Kanisa labadilishwa kuwa msikiti Itali
10 years ago
BBCSwahili01 Jun
Chama tawala nchini Itali chapata pigo
11 years ago
Tanzania Daima19 Apr
Uingizaji shehena waongezeka bandarini
UINGIZAJI wa shehena katika bandari za mamlaka umeongezeka kutoka tani 1.185 wakati wa uhuru mwaka 1961 hadi kufikia tani 13,500 mwaka jana. Hayo yalibainishwa jijini Dar es Salaam jana na...
10 years ago
MichuziZOEZI LA MAOMBI YA PASIPOTI KWA WATANZANIA NCHINI ITALI LAENDELEA
Haya ni matunda ya Kamati ya Diaspora iliyokutana na Mh Balozi James Alex Msekela, mwezi juni mwaka huu. Kamati ilikutana na balozi na maofisa wa juu wa kibalozi kwa ajili ya kutambulisha kamati na uongozi wake,na pia kuwakilisha kero na matatizo ya...