Chama tawala nchini Itali chapata pigo
Matokeo ya kwanza ya uchaguzi nchini Itali yanaonyesha kuwa chama tawala kimepata pigo.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili25 May
Mgombea wa chama tawala nchini Burundi ashinda urais
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-pNAou09XKWs/XsywxDDAkhI/AAAAAAACLsc/d34UisiBLVsWV2RUMWZC_WiuGjDqqafuACLcBGAsYHQ/s72-c/ndayish.jpg)
CHAMA TAWALA NCHINI BURUNDI CNDD-FDD CHASHINDA KITI CHA URAIS, AGATHON RWASA WA UPINZANI CHALI
![](https://1.bp.blogspot.com/-pNAou09XKWs/XsywxDDAkhI/AAAAAAACLsc/d34UisiBLVsWV2RUMWZC_WiuGjDqqafuACLcBGAsYHQ/s400/ndayish.jpg)
Tume ya uchaguzi nchini Burundi imemtangaza mgombea wa chama tawala nchini humo CNDD-FDD Jenerali mstaafu Evariste Ndayishimiye kuwa mshindi wa uchaguzi wa urais uliofanyika juma lililopita.
Jenerali mstaafu huyo ameshinda kwa 68.72% ya kura zilizopigwa, wakati Agathon Rwasa, kutoka chama kikuu cha upinzani akipata 24.19% ,matokeo yaliyotangazwa na tume hiyo hii leo.
Kwa kuwa Ndayishimiye amepata zaidi ya 50% ya kura, ameepuka kufanyika kwa duru ya pili ya...
11 years ago
BBCSwahili11 May
Chama cha ANC chapata ushindi mkubwa
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-hq4kPePBrfM/VAVJC7LkN4I/AAAAAAAGaqE/ACmDFZHPKII/s72-c/New%2BPicture%2B(1).png)
CHAMA CHA MAPINDUZI UINGEREZA CHAPATA MWENYEKITI MPYA
Aanza kwa kuunda timu itakayounda upya Jumuiya ya Watanzania UK na kuhusisha wadau wote;Azungumzia suala la uraia pacha na Rais Ajaye katika uchaguzi 2015;Kuunda Saccoss ya watanzania UK na Jumuiya ya Wanawake.Na Abraham Sangiwa Itikadi Siasa na Uenezi - CCM – UNITED KINGDOM.
![](http://3.bp.blogspot.com/-hq4kPePBrfM/VAVJC7LkN4I/AAAAAAAGaqE/ACmDFZHPKII/s1600/New%2BPicture%2B(1).png)
![](http://2.bp.blogspot.com/-HshDBq4p8e8/VAVJKdzSphI/AAAAAAAGaqc/LkPWmwVxn5o/s1600/New%2BPicture%2B(2).png)
9 years ago
MichuziCHAMA CHA MADEREVA WA SERIKALI TANZANIA CHAPATA USAJILI RASMI
9 years ago
Dewji Blog18 Sep
Chama cha Madereva wa Serikali Tanzania (CMST) chapata usajili rasmi
Mwenyekiti wa Chama cha Madereva wa Serikali Tanzania (CMST) wa kwanza kushoto mstari wa mbele Bw. Bahatisha Selemani Mkala akipokea Cheti cha Usajili wa Chama hicho kutoka kwa Afisa usajili Bw. Hashim Mwanga wakati wa. makabidhiano yaliyofanyika katika ofisi za msajili zilizopo Wizara ya Mambo ya Ndani ya nchi.Hafla hiyo imefanyika jijini Dar es Salaam leo. (Picha na Benjamin Sawe)
Mwenyekiti wa Chama cha Madereva wa Serikali Tanzania (CMST) aliyeshika cheti cha usajili Bw. Bahatisha...
9 years ago
StarTV23 Nov
Chama cha Mapinduzi chapata ushindi Uchaguzi Mdogo Jimbo La Ulanga
Mbunge wa jimbo la Ulanga mkoani Morogoro amepatikana mara baada ya matokeo ya uchaguzi mdogo wa ubunge uliofanyika jimboni humo kukamilika na msimamizi wa jimbo hilo kumtangaza Goodluck Mlinga kuwa ndiye mshindi.
Katika uchaguzi huo uliofanyika Novemba 22 na kushirikisha vyama vitatu vya CCM, CHADEMA na ACT Wazalendo, Goodluck Mlinga ameshinda kwa kupata kura 25902 sawa na asilimia 69.78, mgombea wa CHADEMA akipata kura 10592 sawa na asilimia 28.53 na mgombea kupitia ACT wazalendo akipata...
10 years ago
MichuziCHAMA KIPYA CHA SIASA CKUT CHAPATA USAJILI JIJINI DAR LEO.
9 years ago
Mzalendo Zanzibar22 Aug
Anguko la makada wa chama tawala
Salma Said, TUNAPOULIZANA sababu “hasa” za anguko la makada wakubwa wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) katika kura za maoni za kutafuta uteuzi wa kugombea uwakilishi na ubunge majimboni Zanzibar, muhimu kwanza tukumbushane ukweli kuwa kisiasa, CCM […]
The post Anguko la makada wa chama tawala appeared first on Mzalendo.net.