Madereva Mwananchi wakamatwa na mirungi
Polisi mkoani Iringa wanawashikilia watu watatu wakiwamo madereva wawili wa Kampuni ya Mwananchi Communications Limited (MCL) kwa tuhuma za kusafirisha dawa za kulevya aina ya mirungi.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi28 Dec
Wakamatwa wakisafirisha mirungi kilo 30
>Jeshi la Polisi mkoani hapa linawashikilia watu wawili kwa tuhuma za kukutwa na dawa za kulevya aina ya mirungi ndani ya viroba 30 yenye uzito wa kilo 30.
10 years ago
MichuziSABA WAKAMATWA KWA KUJIHUSISHA NA UTENGENEZAJI WA NOTI BANDIA ZA DOLA ZA KIMAREKANI WAKAMATWA
Watuhumiwa hao walikamatwa mnamo tarehe 04/8/2014 wakiwa na noti bandia zipatazo 10,640 za dola mia (100) ambazo ni sawa na dola 1,064,000 ambazo ni zaidi ya shilingi za Kitanzania...
10 years ago
Mwananchi14 Nov
Kortini kwa kusafirisha mirungi
Watu watatu wakiwamo madereva wawili wa Kampuni ya Mwananchi Communications Ltd (MCL) jana walifikishwa mahakamani wakituhumiwa kusafirisha dawa za kulevya aina ya mirungi.
11 years ago
Mwananchi09 Jan
Tanzania inavyopambana na biashara ya mirungi
Tanzania ni moja ya nchi duniani ambayo imeharamisha (imezuia) ulaji wa mirungi lakini inakabiliwa na changamoto kubwa kudhibiti biashara hiyo hasa ikizingatiwa nchini Kenya ni zao la biashara.
9 years ago
Mwananchi30 Dec
Hekari 200 za mirungi zagunduliwa Same
Jumla ya vijiji 28 vya ukanda wa milimani iliyopo wilayani Same Mkoa wa Kilimanjaro, vimebainika kuwa na mashamba makubwa ya mirungi zaidi ya hekari 260.
11 years ago
Mwananchi12 Apr
Mirungi ya kidonge yateka mamia ya Watanzania
Unapolitaja neno ‘mirungi’ macho na hisia zako zitakupeleka katika dawa za kulevya zilizo katika mfumo wa majani au mimea ambazo ni maarufu Afrika Mashariki. Hapa nchini mirungi imeharamishwa kulingana na sheria ya dawa za kulevya.
9 years ago
Mwananchi22 Nov
Adaiwa kubeba kilo 22 za mirungi JNIA
Jeshi la Polisi Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Mwalimu Julius Nyerere (JNIA), limemkamata raia wa Uingereza, Faiz Abdullah Ali (55) kwa tuhuma za kukutwa na kilo 22 za dawa za kulevya aina ya mirungi ikiwa imefungwa kwenye kanga na kuhifadhiwa ndani ya mabegi mawili.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/*EqvtGjmCN5fxic*XWeDO*WEMidH6iHBvTjmZhcFiJphj75zDJnqRrpnrjXtjjqFwzVUnq1DcOVrlI*8apYOnamU7pDWcWoG/gabo.jpg)
BOND, GABO WANASWA WAKISAGA MIRUNGI
Stori: Gladness Mallya
WASANII wa filamu nchini, Bond Bin Sinan na Salim Ahmed ‘Gabo’ hivi karibuni walinaswa wakisaga mirungi hadharani bila kujali kadamnasi. Meza ya wasanii wa filamu Gabo na Bond ikiwa na dozi ya kutosha ya mirungi. Ishu hiyo ilitokea katika Ukumbi wa Dar West, Tabata Dar kulikokuwa na sherehe ya bethdei ya Wastara Juma ambapo wasanii hao walikuwa wamejaza mirungi kwenye mfuko wa nailoni na...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-WAjmuPqLqzk/XmU5pXhoSxI/AAAAAAALiCE/v4BHI-AkCtwnyYZw5kl3x_HI0XdZPkdkwCLcBGAsYHQ/s72-c/0.jpg)
Kinara wa usambazaji, uingizaji Mirungi anaswa
NA BALTAZAR MASHAKA, MWANZA Jeshi la Polisi jijini Mwanza, limefanikiwa kumtia mbaroni kinara wa usafirishaji na muuzaji wa dawa za kulevya aina ya mirungi, Peter Charles Mwita alimaaarufu Peter Mirungi (46) mkazi wa Mtaa wa Rufiji, kwa makosa ya kusafirisha, kusambaza na kuuza mirungi jijini Mwanza.
Mbali na Peter jeshi hilo linawashilia watu wengine wawili kwa tuhuma za namna hiyo huku mmoja akiwakimbia polisi baada ya kuruka kutoka ndani ya gari alilokuwa akiliendesha kwenye kizuizi...
Mbali na Peter jeshi hilo linawashilia watu wengine wawili kwa tuhuma za namna hiyo huku mmoja akiwakimbia polisi baada ya kuruka kutoka ndani ya gari alilokuwa akiliendesha kwenye kizuizi...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania