Mirungi ya kidonge yateka mamia ya Watanzania
Unapolitaja neno ‘mirungi’ macho na hisia zako zitakupeleka katika dawa za kulevya zilizo katika mfumo wa majani au mimea ambazo ni maarufu Afrika Mashariki. Hapa nchini mirungi imeharamishwa kulingana na sheria ya dawa za kulevya.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/NvWHU5oq4TZR7AAHndwj5mfuZua1CePKIGXhH9jR*5ir8oESuYj7Kz4LkCy6*MDD0daMcKIdxr4TM0AXHPtCsrgT8o6C3wnU/lo2.jpg?width=650)
RAIS KIKWETE AONGEA NA MAMIA YA WATANZANIA WAISHIO UINGEREZA
Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akihutubia mamia ya Watanzania waishio Uingereza alipokutana nao usiku wa Machi 30, 2014 katika Ukumbi wa Sattavis Patidar Centre, Wembley, London, aliko katika ziara ya kiserikali ya siku tatu kwa…
11 years ago
GPL![](http://1.bp.blogspot.com/-JC3MeRrR-XU/UzvTMaOiKtI/AAAAAAAFXzU/G5TGLcGdwxU/s1600/lo1.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/OuPZ78ZnNY0/default.jpg)
11 years ago
Mwananchi09 Jan
Tanzania inavyopambana na biashara ya mirungi
Tanzania ni moja ya nchi duniani ambayo imeharamisha (imezuia) ulaji wa mirungi lakini inakabiliwa na changamoto kubwa kudhibiti biashara hiyo hasa ikizingatiwa nchini Kenya ni zao la biashara.
10 years ago
Mwananchi14 Nov
Kortini kwa kusafirisha mirungi
Watu watatu wakiwamo madereva wawili wa Kampuni ya Mwananchi Communications Ltd (MCL) jana walifikishwa mahakamani wakituhumiwa kusafirisha dawa za kulevya aina ya mirungi.
10 years ago
Mwananchi10 Nov
Madereva Mwananchi wakamatwa na mirungi
Polisi mkoani Iringa wanawashikilia watu watatu wakiwamo madereva wawili wa Kampuni ya Mwananchi Communications Limited (MCL) kwa tuhuma za kusafirisha dawa za kulevya aina ya mirungi.
9 years ago
Mwananchi30 Dec
Hekari 200 za mirungi zagunduliwa Same
Jumla ya vijiji 28 vya ukanda wa milimani iliyopo wilayani Same Mkoa wa Kilimanjaro, vimebainika kuwa na mashamba makubwa ya mirungi zaidi ya hekari 260.
11 years ago
Mwananchi28 Dec
Wakamatwa wakisafirisha mirungi kilo 30
>Jeshi la Polisi mkoani hapa linawashikilia watu wawili kwa tuhuma za kukutwa na dawa za kulevya aina ya mirungi ndani ya viroba 30 yenye uzito wa kilo 30.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania