Wananchi wamvamia mlinzi, wamjeruhi
MLINZI wa Tanzania Plantation, Hamis Michael (25) amejeruhiwa sehemu ya kichwani na kuumizwa kidole cha mkono cha mwisho kwa kukatwa na mapanga na wakazi wa kijiji cha Msitu wa Mbogo.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mtanzania21 Sep
Pinda, Polisi, Sitta, ‘wamjeruhi’ JK
![IGP Mangu](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/06/IGP-Mangu.jpg)
Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini, IGP Mangu
Na Waandishi Wetu
KWA nyakati tofauti; Waziri Mkuu, Mizengo Pinda, Jeshi la Polisi na Mwenyekiti wa Bunge Maalumu la Katiba, Samuel Sitta, kwa kauli na vitendo vyao, bila kujua wamejikuta wanamweka pabaya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Kikwete.
Uchunguzi uliofanywa na gazeti hili juzi na jana umebaini kuwa mitaani watu wanasema wazi kuwa kupigwa ovyo kwa watu na askari polisi, wakiwamo waandishi wa habari, katika siku za hivi...
11 years ago
Habarileo10 Jan
Abiria wa treni wamvamia RC
ZAIDI ya abiria 500 waliokuwa wakisafiri kwa treni kutoka Kigoma kwenda Dar es Salaam jana waliandamana hadi Ofisi za Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Dk Rehema Nchimbi wakitaka watafutiwe usafiri mbadala baada ya kukwama stesheni mbalimbali kwa zaidi ya siku saba.
10 years ago
Habarileo10 Jan
Walimu wamvamia Mkurugenzi Dar
ZAIDI ya walimu 100 wa shule za msingi na sekondari za Manispaa za Kinondoni, Dar es Salaam jana wameandamana hadi katika Ofisi ya Mkurugenzi wa Manispaa hiyo wakitaka kutekelezewa madai mbalimbali wanayoidai manispaa hiyo, zikiwamo fedha za likizo pamoja na kupandishwa madaraja.
11 years ago
Tanzania Daima25 Dec
Walemavu wamvamia Meya Ilala
UMOJA wa Wafanyabiashara Walemavu Dar es Salaam (UWAWADA), wamevamia ofisi za Meya wa Manispaa ya Ilala, Jerry Silaa kwa madai ya kushindwa kutekeleza ahadi ya kuwapatia maeneo ya kujenga vibanda...
10 years ago
Mtanzania16 Feb
Mashabiki wamvamia Diamond Zanzibar
NA FESTO POLEA, ZANZIBAR
KATIKA hali isiyotarajiwa askari wanaolinda katika Tamasha la Sauti za Busara walijikuta wakifanya kazi ya ziada kutawanya idadi kubwa ya mashabiki wa msanii, Nassib Abdul (Diamond), baada ya kumvamia walipomuona katika eneo hilo akiwa na mpenzi wake, Zari.
Mashabiki hao walimvamia msanii huyo na mpenzi wake kwa lengo la kupiga naye picha na wengine wakitaka kumsalimu kwa kumkumbatia lakini kutokana na kila shabiki kutaka kupata nafasi hiyo kwa haraka wakajikuta...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/LoK3NXOIwpH*N*3Pyle0kKvpZYXVlFTqMaDCOWBFzX4bGHyEWkMYOOEvEF0fjXPk*0lV0OBe*61PcU8vjfzUeb*f7Gt83TIf/WAZUNGU.gif?width=650)
Wazungu wamvamia Mrundi wa Simba
11 years ago
Mwananchi03 Mar
Wamvamia mwekezaji, waharibu mali
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/72Jod1iYAGG4O97GEDq*NrShM2zAAKQsWqYO5CvSQtv0fcNDenX-iHMNitJ0niH30L1epGbUqMfjO93hcKWKEy7bXyW5oTVb/shabiki.jpg?width=650)
Mashabiki wamvamia Okwi apoteza pumzi
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/aGsIBoQ0cKndiz1lxtCFcTdABqNz5XlDV0n-J3*W4fO7bMLbSzrnW8K0aWS0pGHwUMWD10GeL1MDfFGBtGvRL9-18kzRee7W/isha.jpg)
AL-SHABAAB WAMVAMIA ISHA MASHAUZI KENYA