Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Pinda, Polisi, Sitta, ‘wamjeruhi’ JK

IGP Mangu

Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini, IGP Mangu

Na Waandishi Wetu

KWA nyakati tofauti; Waziri Mkuu, Mizengo Pinda, Jeshi la Polisi na Mwenyekiti wa Bunge Maalumu la Katiba, Samuel Sitta, kwa kauli na vitendo vyao, bila kujua wamejikuta wanamweka pabaya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Kikwete.

Uchunguzi uliofanywa na gazeti hili juzi na jana umebaini kuwa mitaani watu wanasema wazi kuwa kupigwa ovyo kwa watu na askari polisi, wakiwamo waandishi wa habari, katika siku za hivi...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

Wananchi wamvamia mlinzi, wamjeruhi

MLINZI wa Tanzania Plantation, Hamis Michael (25) amejeruhiwa sehemu ya kichwani na kuumizwa kidole cha mkono cha mwisho kwa kukatwa na mapanga na wakazi wa kijiji cha Msitu wa Mbogo.

 

10 years ago

Raia Mwema

Kilichowafika Bilal, Pinda, Jaji Ramadhani, Sitta

SABABU za kukatwa kwa viongozi waandamizi na watu mashuhuri kwenye mchakato wa kuwania urais kupi

Mwandishi Wetu

 

10 years ago

Dewji Blog

Pinda azindua wodi ya wanawake wajawazito jimboni kwa Sitta

DSC03597

Mbunge wa Urambo Mashariki na Waziri wa Ushirikiano wa Afrika ya Mashariki, Samuel Sitta akizungumza katika sherehe za kuzindua wodi ya wanawake wajawazito wanaosubiri kujifungua katika hospitali ya wilaya ya Urambo, Oktoba 12, 2014. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

DSC03611

 Mbunge wa Viti Maalum mkoa wa Tabora, Margareth Sitta akizungumza katika  sherehe za kuzindua wodi ya wanawake wajawazito wanaosubiri kujifungua katika hospitali ya wilaya ya Urambo, Oktoba 12, 2014. 

PG4A5363

Waziri Mkuu, Mizengo...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Pinda akera polisi

HATUA ya Waziri Mkuu, Mizengo Pinda kwenda kuhani msiba wa mtoto wa Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Charles Kitwanga ‘Mawe Matatu’, bila kufika hospitalini Bugando kumjulia hali askari aliyejeruhiwa...

 

10 years ago

Michuzi

PINDA AFUNGUA KITUO CHA POLISI WILAYA YA UYUI


Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akifungua kituo cha polisi cha wilaya ya Uyui akiwa katika ziara ya kikazi mkoani Tabora, Oktoba 11, 2014. Kushoto ni Mkuu wa Mkoa wa Tabora, Mhe Fatuma Mwasa na Kulia ni Mkuu wa Wilaya ya Uyui, Mhe. Lucy Mayenga.(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Tabora, ACP Suzan Kaganda (kulia) baada ya kufungua kituo cha polisi cha wilaya ya Uyui akiwa katika ziara ya kikazi mkoani Tabora, Oktoba 11, 2014.(Picha...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani