Pinda, Polisi, Sitta, ‘wamjeruhi’ JK
Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini, IGP Mangu
Na Waandishi Wetu
KWA nyakati tofauti; Waziri Mkuu, Mizengo Pinda, Jeshi la Polisi na Mwenyekiti wa Bunge Maalumu la Katiba, Samuel Sitta, kwa kauli na vitendo vyao, bila kujua wamejikuta wanamweka pabaya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Kikwete.
Uchunguzi uliofanywa na gazeti hili juzi na jana umebaini kuwa mitaani watu wanasema wazi kuwa kupigwa ovyo kwa watu na askari polisi, wakiwamo waandishi wa habari, katika siku za hivi...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo10 Apr
Wananchi wamvamia mlinzi, wamjeruhi
MLINZI wa Tanzania Plantation, Hamis Michael (25) amejeruhiwa sehemu ya kichwani na kuumizwa kidole cha mkono cha mwisho kwa kukatwa na mapanga na wakazi wa kijiji cha Msitu wa Mbogo.
10 years ago
Raia Mwema22 Jul
Kilichowafika Bilal, Pinda, Jaji Ramadhani, Sitta
SABABU za kukatwa kwa viongozi waandamizi na watu mashuhuri kwenye mchakato wa kuwania urais kupi
Mwandishi Wetu
10 years ago
Dewji Blog13 Oct
Pinda azindua wodi ya wanawake wajawazito jimboni kwa Sitta
Mbunge wa Urambo Mashariki na Waziri wa Ushirikiano wa Afrika ya Mashariki, Samuel Sitta akizungumza katika sherehe za kuzindua wodi ya wanawake wajawazito wanaosubiri kujifungua katika hospitali ya wilaya ya Urambo, Oktoba 12, 2014. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Mbunge wa Viti Maalum mkoa wa Tabora, Margareth Sitta akizungumza katika sherehe za kuzindua wodi ya wanawake wajawazito wanaosubiri kujifungua katika hospitali ya wilaya ya Urambo, Oktoba 12, 2014.
Waziri Mkuu, Mizengo...
10 years ago
Tanzania Daima25 Aug
Pinda akera polisi
HATUA ya Waziri Mkuu, Mizengo Pinda kwenda kuhani msiba wa mtoto wa Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Charles Kitwanga ‘Mawe Matatu’, bila kufika hospitalini Bugando kumjulia hali askari aliyejeruhiwa...
10 years ago
Michuzi13 Oct
PINDA AFUNGUA KITUO CHA POLISI WILAYA YA UYUI
![](https://ci5.googleusercontent.com/proxy/91etWLOcDV20llhI_Lq8qK-Tfiswr16xfCCEDnUgld4vRitecodVl-DzixbqJyhuVCm2_rFD7NEai16HHNfmVjp1x4FIWGw1FCJMfo-wZAuqo3mXnfZGu7G51JE=s0-d-e1-ft#http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/10/PG4A5299.jpg)
![](https://ci5.googleusercontent.com/proxy/CXeF17U035CloUv7aQ9GTvb49iRtnENwZE1bMLK275HqdSNzEzgqG8_-Bz4EfjJzAtbUwLGqEzA0JMITcXMzIjJpZYH65KhhdT2hUan0i_xz7VE0qnu9drquSus=s0-d-e1-ft#http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/10/PG4A5302.jpg)